Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wakuu Habari zenu. Wale walio tuma mahombi Tax Manger position na Internal Affair Officer tuchangamshe vichwa na Maswali ya Miaka ya nyuma. IMPORTANT ANNOUNCEMENT ALL CANDIDATES EXPECTED TO...
0 Reactions
0 Replies
130 Views
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri. Binafsi nilifanya mtihani huu...
34 Reactions
539 Replies
8K Views
Habarini wana JF naombeni kuelimishwa je inawezekana kusoma computer sience ikiwa 4m4 math nilipa F na kama inawezekana ni kivipi au nifanyaje? na kama haiwezekani nisome it inawezakua na maslah...
10 Reactions
45 Replies
897 Views
Wapendwa wana jukwaa, bila shaka mu wazima. Naomba kufahamishwa ni chuo gani hapa Tanzania kinatoa kozi za Health and Safety Management?
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari wadau wa elimu, nimekuwa nikijiuliza sana juu ya hili lakini sikupata jibu lenye ukweli ndani yake. Mfano, mimi nina degree/Masters ya engineering, baada ya kuona upepo mtaani hauko vizuri...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Anonymous
Nilikuwa natoelezea moja ya tatizo lililokuwepo pale OPEN university , supervisors wengi wa pale wana utaratibu mbovu katika kusimamia research kwa mwanafunzi. 1. Kama uko mkoani ndiyo utapata...
1 Reactions
3 Replies
116 Views
Habari wakuu. Mimi kijana niliyesoma Diploma ya uuguzi na ukunga nashukuru Mungu mwaka huu nimebahatika kuajiriwa rasmi Serikali. Nilikuwa na lengo la muda mrefu kujiendeleza kimasomo lakini...
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Habari WanaJamiiForums, Ninahitaji kuwa competent kwenye kuongea kingereza hivo natafuta mtu au watu ambao wako na mitazamo sawa na mimi ili tutafute namna ya kuongea japo kila siku usiku kwa...
7 Reactions
89 Replies
4K Views
Anonymous
Tunaomba waziri wa sayansi na elimu ya juu na Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) mtusaidie tuweze kupata wahadhiri wa kutufundisha masomo ya tiba kwa njia ya vitendo ngazi ya shahada ya kwanza (...
8 Reactions
20 Replies
1K Views
Anonymous
Wanafunzi wa UDOM college ya Education, wakati chuo kinafungwa kwa wiki moja tu, wanafunzi wanaobaki wanaambiwa kulipia tshs 5,200 ya hosteli ilihali malipo ya hosteli yamefanyika kwa mwaka...
1 Reactions
21 Replies
504 Views
Anonymous
Wanafunzi wa chuo cha afya na sayansi shirikiri Tabora, wamekua wakipitia changamoto ya kupewa matokeo yasiyo sahihi kwa muda mrefu sasa, hali ambayo imepelekea wengine kupewa barua za kusitishiwa...
0 Reactions
0 Replies
3 Views
Asikwambie mtu watu wanataka A's na hela tu mengine mtajua wenyewe wazazi 1. watoto wanakalishwa madarasani kama wafungwa 2. wanakaririshwa midude hadi wanachanganyikiwa 3. watoto hawako huru...
0 Reactions
4 Replies
135 Views
Wakuu Naombeni msaada nipeta AVN NUMBER lakini kila nikiomba chuo sehemu ya kueka AVN INASEMA no data found shida ni Nini ?!
1 Reactions
11 Replies
672 Views
Moja ya mambo ambayo yamekua changamoto kwa wadau wengi ni malalamiko juu ya umeme kuisha haraka pasipokujua nini sababu. Leo kelphin ntakupa au ntakukumbusha jambo moja au zaidi ya kuzingatia...
28 Reactions
56 Replies
5K Views
Orodha ya Watu Waliosoma Computer Science na Wamefanikiwa 1. Elon Musk - Mwanzilishi wa SpaceX na Tesla(Japo alisoma physics na economics lakini Computer science imemtoa) 2. Mark Zuckerberg -...
7 Reactions
31 Replies
1K Views
Naomba aliye na katiba ya Chama Cha walimu Tanzania (CWT) soft copy anisaidie
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mwenye nazo msaada please!!
0 Reactions
2 Replies
80 Views
Kwanza poleni na majukmu, Zingatia title ya uzi hapo juu,, kiufupi hii ni kozi ya mwaka mmoja ambayo mara nyingi inachukua wale ambao wamemaliza bachelor degree zao tofauti na education na...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Comrades and colleagues, Here is the opportunity to develop a career in the teaching profession in a flexible manner. You will study while continuing with your work, without interruption. Read...
1 Reactions
23 Replies
11K Views
Great Lakes University of Kisumu (GLUK). Kenya. Diploma in Community Health & Development DIPLOMA IN COMMUNITY HEALTH & DEVELOPMENT COURSE UNITS Year I – Semester I CHD 0111 Introduction to...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Back
Top Bottom