Wakuu Habari zenu.
Wale walio tuma mahombi Tax Manger position na Internal Affair Officer tuchangamshe vichwa na Maswali ya Miaka ya nyuma.
IMPORTANT ANNOUNCEMENT
ALL CANDIDATES EXPECTED TO...
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.
Binafsi nilifanya mtihani huu...
Habarini wana JF naombeni kuelimishwa je inawezekana kusoma computer sience ikiwa 4m4 math nilipa F na kama inawezekana ni kivipi au nifanyaje?
na kama haiwezekani nisome it inawezakua na maslah...
Habari wadau wa elimu, nimekuwa nikijiuliza sana juu ya hili lakini sikupata jibu lenye ukweli ndani yake.
Mfano, mimi nina degree/Masters ya engineering, baada ya kuona upepo mtaani hauko vizuri...
Nilikuwa natoelezea moja ya tatizo lililokuwepo pale OPEN university , supervisors wengi wa pale wana utaratibu mbovu katika kusimamia research kwa mwanafunzi.
1. Kama uko mkoani ndiyo utapata...
Habari wakuu.
Mimi kijana niliyesoma Diploma ya uuguzi na ukunga nashukuru Mungu mwaka huu nimebahatika kuajiriwa rasmi Serikali.
Nilikuwa na lengo la muda mrefu kujiendeleza kimasomo lakini...
Habari WanaJamiiForums,
Ninahitaji kuwa competent kwenye kuongea kingereza hivo natafuta mtu au watu ambao wako na mitazamo sawa na mimi ili tutafute namna ya kuongea japo kila siku usiku kwa...
Tunaomba waziri wa sayansi na elimu ya juu na Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) mtusaidie tuweze kupata wahadhiri wa kutufundisha masomo ya tiba kwa njia ya vitendo ngazi ya shahada ya kwanza (...
Wanafunzi wa UDOM college ya Education, wakati chuo kinafungwa kwa wiki moja tu, wanafunzi wanaobaki wanaambiwa kulipia tshs 5,200 ya hosteli ilihali malipo ya hosteli yamefanyika kwa mwaka...
Wanafunzi wa chuo cha afya na sayansi shirikiri Tabora, wamekua wakipitia changamoto ya kupewa matokeo yasiyo sahihi kwa muda mrefu sasa, hali ambayo imepelekea wengine kupewa barua za kusitishiwa...
Asikwambie mtu watu wanataka A's na hela tu mengine mtajua wenyewe wazazi
1. watoto wanakalishwa madarasani kama wafungwa
2. wanakaririshwa midude hadi wanachanganyikiwa
3. watoto hawako huru...
Moja ya mambo ambayo yamekua changamoto kwa wadau wengi ni malalamiko juu ya umeme kuisha haraka pasipokujua nini sababu.
Leo kelphin ntakupa au ntakukumbusha jambo moja au zaidi ya kuzingatia...
Orodha ya Watu Waliosoma Computer Science na Wamefanikiwa
1. Elon Musk - Mwanzilishi wa SpaceX na Tesla(Japo alisoma physics na economics lakini Computer science imemtoa)
2. Mark Zuckerberg -...
Kwanza poleni na majukmu,
Zingatia title ya uzi hapo juu,, kiufupi hii ni kozi ya mwaka mmoja ambayo mara nyingi inachukua wale ambao wamemaliza bachelor degree zao tofauti na education na...
Comrades and colleagues,
Here is the opportunity to develop a career in the teaching profession in a flexible manner. You will study while continuing with your work, without interruption. Read...
Great Lakes University of
Kisumu (GLUK). Kenya.
Diploma in Community Health & Development
DIPLOMA IN
COMMUNITY HEALTH &
DEVELOPMENT
COURSE UNITS
Year I – Semester I
CHD 0111 Introduction to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.