Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kwa vyuo vilivyopo DSM? Based on management and health not medical
2 Reactions
0 Replies
120 Views
Serikali ilitangaza ujio wa ajira mpya za ualimu, moja ya ajira hizo ni somo la (business studies)na linaonekana lina uhaba wa walimu ilihali kuna kuna lundo kubwa la walimu wa economics wapo...
1 Reactions
8 Replies
508 Views
Habarini wana jf,hamjambo? Kama kilivyo kichwa cha habari,naamini humu kuna wajuzi wengi wa elimu mbalimbali,ni kwamba jambo hili limekuwa likinikereketa kwa mda mrefu sasa,ni hivi huwa...
2 Reactions
2 Replies
144 Views
Kwanza niwape pole walimu na pia wale wote waliohusika hadi kutufikisha hapa na kutupa uelewa kupitia wa elimu.Miaka ya 90 watu walisoma wakubwa lakini walikuwa watiifu sana wa kufata maelekezo na...
1 Reactions
1 Replies
116 Views
Mazeru karate,is a self defense system, that combined techniques from jujitsu,karate,aiki do,Kung Fu and many self defense systems. Students learn to defend against common attack such as punches...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari ya wakati huu, ninaomba msaada juu ya kitu kinaitwa mfumo kwenye elimu,nasikiaga tuu usajili ,uhamisho n.k unafanyika kwenye mfumo,huu mfumo upoje? na mbona waalimu wanautumia vibaya kwa...
0 Reactions
1 Replies
168 Views
Wakuu Baada ya msoto wa miaka kadhaa bila michongo inayoeleweka Nimeamua kuweka pembeni vyeti vyangu vyangu. Sasa wakuu naomba msaada nitapata wapi Chuo kizuri wanachofundisha focal lift? Ada...
13 Reactions
53 Replies
803 Views
Habari zenu wakuu, Leo tunajadili swali moja kubwa: Je, ili kufanikiwa ni lazima umalize chuo? Tukiangalia orodha ya matajiri wakubwa duniani, tunagundua jambo la kushangaza – wengi wao walitoka...
2 Reactions
19 Replies
371 Views
Mimi nataka kujua ni kwa nini matokeo ya Kidato cha Sita mwaka 2008 yamefichwa hayaonekani ila miaka mingine kama 2007 na 2009 yanaonekana.
8 Reactions
86 Replies
10K Views
Rev.Prof. Philbert Vumilia Vice Chancellor ,Mwecau: Changamoto za Wanafunzi wa Masters Chuo Kikuu cha Mwecau kimekuwa kivutio kwa wanafunzi wengi wanaotaka kupata shahada za uzamili (Masters)...
5 Reactions
99 Replies
4K Views
WARAKA WA WANAFUNZI WA ELIMU JUU KWA SERIKALI KUHUSU MIGOMO NA MAANDAMANOYA MARA KWA MARA VYUO VIKUU HAPA NCHINI. Tunapenda kuchukua fulsa hii kwanza kuomba msamaha na...
1 Reactions
17 Replies
14K Views
Dirisha la maombi ya vyuo vikuu linafunguliwa tarehe 15 mwezi ujao. Kwa tunaotarajia kuomba OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA tukutane hapa tujadili mawili matatu, pia wenye uzoefu na Open University...
9 Reactions
84 Replies
4K Views
Anonymous
Serikali yetu inahimiza suala la haki, inapinga unyonyaji. Lakini hii imekuwa tofauti katika baadhi ya wahadhiri wa baadhi ya kozi za kiswahili mwaka wa tatu (CoED & Co. Of social sciences)katika...
1 Reactions
0 Replies
64 Views
Hawa mapacha Daniel na Zakayo walisumbua sana hapo St Joseph Millennium mpaka pale alipohamia Simon Mbangalukela na kusambaratisha utawala wao japo haikuwa kizembe. Mbanga alikuwa anajua sana ila...
2 Reactions
14 Replies
849 Views
Tunaomba mtupe hela ya kujikimu. Tunakufa njaa.
1 Reactions
1 Replies
124 Views
Habari wakuu Natanguliza shukurani Mimi ni muhitimu wa Diploma in Insurance and Risk Management, but nataka niende degree this year, ila nahitaji kubadilisha course ambayo iko marketable...
1 Reactions
12 Replies
250 Views
Habari nduguzangu, Mimi ni muhitimu wa diploma, nahitaji kuendelea na masomo ya degree, ila nina changamoto moja, ni kwamba kwenye account yangu ya kuomba AVN number nimesahau password na...
0 Reactions
3 Replies
112 Views
Naombeni msaada ni file gan au app gani mzuri ambayo unaweza ukaingiza nyaraka na ukaziserch zikaja kama (contacts number)
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Kumekua na sintofahamu huko duniani inayoonekana vijana wengi wasomi wakisota mitaani kwa ugumu wa maisha kuliko vijana ambao hawajaenda shule au ambao siyo wasomi wa kiwango cha juu . Wapo...
3 Reactions
4 Replies
341 Views
Kusema ukweli kuna kitu hakipo sawa kwa sasa! Miaka 20 iliyopita division 3 kuipata ilikuwa kipengele sana, Hata waliopata walikuwa nauwezo flani hivi kiakili! Sasa hivi siyo ajabu mtu ambae...
7 Reactions
27 Replies
724 Views
Back
Top Bottom