Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Calvin Marambo mhitimu wa Ilboru sec 2014 ambaye alipata scholarship havard university kwa sasa anafanya kazi kwa bilgate na ni marafiki wakubwa ,wazungu wanamkubali sana pesa nje nje kwa sasa.
4 Reactions
6 Replies
239 Views
Kama vile watu hawataki watoto wafaulu, wanadai kisa one za 7 zimekua nyingi basi elimu imeshuka. Wakati ukweli ni kwamba 1. Sasa walimu ni wengi na wanafundisha kuliko wa zamani 2. Materials ya...
6 Reactions
32 Replies
882 Views
Kwa maisha ya Sasa je ni Elimu gani Ina nguvu na una prefer kati ya elimu ya darasani na Elimu ya mtandoni?
1 Reactions
15 Replies
232 Views
Habari, Ninaomba mtu mwenye hivi vitabu aweke hapa kwenye uzi huu. Nitashukuru sana. NB Nilishapost sana kwenye zile threads za vitabu lakini watu hawaoni hivo sikufanikiwa kuvipata ndio kusudi...
3 Reactions
21 Replies
699 Views
Kuna matukio fulani hutokea kwa namna pekee ya kushangaza na mengine huwa ya kufurahisaha zaidi hasa katika jukwaa letu hili pendwa la ELIMU. Napenda sana kuhudhuria jukwaa hili na ' ITAPENDEZA...
111 Reactions
724 Replies
128K Views
Habari wakuu Kuna jumbe imeingia katika simu ya mzazi wangu kutoka kampuni yenye jina la bodmas ikisema hivi. "HABARI, BODMAS IMEMDHAMINI (UJKE NÀTIKULD) KUSOMA CHETI/DIPLOMA (ADA YOTE/NUSU). FOMU...
0 Reactions
5 Replies
342 Views
Habari wakuu Kuna jumbe imeingia katika simu ya mzazi wangu kutoka kampuni yenye jina la bodmas ikimtaja mdogo wangu aliemaliza kidato cha nne na kufaulu vizuri, ikisema hivi. "HABARI, BODMAS...
1 Reactions
2 Replies
127 Views
Wanajamvi naomba kufahamu shule zenye combination ya ECA na EGM hapa nchini iwe ya kanisa au private au serikalini....
0 Reactions
3 Replies
168 Views
Habari wana JF, Nina rafik yangu alisoma CBG akapata division II ya 12, baada ya hapo akaenda kusoma clinical medicine akapata GPA ya 4.2. Sasa anaomba msaada je akitaka kusoma Bsc pharmacy...
3 Reactions
13 Replies
620 Views
Hi student? Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja...
5 Reactions
176 Replies
24K Views
Wazima wana Jf. Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha habari hapo juu. Nina umri wa miaka 31. Nilimaliza shule ya msingi miaka 18 iliyopita. Sikufanikiwa kuchaguliwa kujiunga na masomo ya...
8 Reactions
80 Replies
13K Views
Habari zenu. Natumaini wote ni wazima wa afya. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, mm nimehitimu kidato cha nne mwaka 2021 shule ya serikali katika wilaya ndogo sana hapa nchini. Ni shule...
6 Reactions
20 Replies
436 Views
mimi nitakuwepo mjengoni pale college ya informatics kupiga "bachelor of science in telecommunication engineering". karibuni tufahamiane wakuu.
3 Reactions
355 Replies
43K Views
Habarini wanaJF, nina mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana na ameomba tumtafutie chuo bora cha VETA akasomee kozi ndefu ya umeme, ana pass ya C 2 na D 4 maana anapenda sana umeme so...
2 Reactions
6 Replies
191 Views
Naomba kama kuna mtu yoyote Mwenye mungozo(soft copy )wa vyuo vya afya ngazi ya diploma. Tafadhali naombeni 🙏🙏🙏
1 Reactions
4 Replies
183 Views
Huyu ni mdogo wangu amepata ufaulu huu Ila Mimi nataka aaende chuo moja kwa moja aanze certificate mpka degree Naona kwenda advance ni kupoteza muda Natamani asome Cyber security Computer...
1 Reactions
14 Replies
376 Views
Habari za wakati huu wana jamiiforum, Rejea kichwa cha Habari hapo juu ni kwamba Nina tafuta mtu anayesoma katika Chuo Kikuu huria OUT, kozi ya procurement and supply ngazi ya Diploma lakini pia...
2 Reactions
3 Replies
164 Views
How virtual assistant can change your freelancing business...? As a virtual assistant, you can provide administrative support to individuals or businesses remotely. Tasks may include managing...
1 Reactions
2 Replies
556 Views
Back
Top Bottom