Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wana JF, Vipi, samahani nimeshangazwa na utaratibu wa Chuo cha MUM Morogoro kwamba lectures zinaendelea Jumamosi na Jumapili, kiufupi hamna siku free. Hii imekaa vipi kitaaluma?
5 Reactions
75 Replies
15K Views
Kama mmiliki wa shule ya sekondari binafsi nchini, nina wasiwasi kuhusu mabadiliko yanayokuja katika mfumo wa elimu, hasa kutokana na kufutwa kwa darasa la saba kuanzia mwaka 2027. Hii...
4 Reactions
22 Replies
622 Views
Habari waungwana. Naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia chuo chochote Duniani ambacho kinatoa free degree online na certificate naomba anisaidie address yake nahitaji kusoma ila mfukoni pesa...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Mdogo wangu anamiaka 17 kahitimu elimu ya kidato cha nne mwaka jana yaaani ni 2024. Lakini haikuwa bahati yake kupata matokeo mazuri kutokana na mambo mengi. 1.Usimamizi mbovu kutoka pande mbili...
5 Reactions
36 Replies
399 Views
Nikikumbuka enzi nipo o level mpaka a level,hakika nilikuwa nawaamini sana walimu wangu wa tuition za mchikichini eg: teacher hidden agenda,mud,osama,mbuga,hawa jamaa ni noma hata walimu wa shulen...
1 Reactions
23 Replies
45K Views
Habari wanaJF Naomba mwenye kuelewa kuhusu NTA LEVEL 3, au NTA LEVEL 2 na NTA LEVEL 1 inapatikanaje? maana nimeona baadhi ya vyuo unaruhusiwa kuomba kusoma certificate ukiwa na kigezo cha Pass...
3 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari! Naomba kufahamu mbinu za usomaji mzuri ili mtu aweze kufaulu vizuri mitihani yake na kufanikiwa kupanda ngazi nyingine. Nitawashukuru sana.
14 Reactions
127 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wadau? Kichwa cha habari hapo juu chahusika, Hivi inawezekana mtu akaenda kusoma cheti na upande mwingine amerisiti kufanya mitihani ya kidato cha nne?
0 Reactions
8 Replies
151 Views
Mwamba alitisha sana pale mchiki-down kwenye namba. Mnamkumbuka?
3 Reactions
12 Replies
561 Views
Kijana wa PCM amechaguliwa mechatronic engineering DMI na ATC. Pia amechaguliwa mechanical engineering MUST 1. Je kati ya Mechatronic engineering na mechanical engineering ipi ni kozi bora kwa...
3 Reactions
55 Replies
7K Views
Je MTU wa pgm anaweza soma hii Je ina ajira? Je ugumu wake ukoje Na idadi gani wanachukua hii kozi Vyuo gani kozi hii inakutwa Msaada jamani
0 Reactions
25 Replies
10K Views
MABADILIKO MAPYA YA MITAALA YA ELIMU SHULE ZA MSINGI, SEKONDARI NA VYUO 2025 MABORESHO YA MITAALA AMBAYO YANAENDA KUBADILISHA MFUMO WETU WA ELIMU: 1.Mtihani wa darasa la Saba utafutwa...
26 Reactions
91 Replies
3K Views
Kijana uliemaliza kidato cha nne au cha sita.. kabla ya kufanya maamuzi ya kusoma Diploma in clinical medicine yajue haya. Clinical medicine ni kozi ya diploma ya utabibu (udaktari) ukisoma hii...
62 Reactions
151 Replies
19K Views
Habari wakuu,nishaurini kozi nzuri ya kusomea VETA kati ya zifuatazo au kama kuna nyingine nzuri zaidi mniambie kuna ndugu kaomba nimshauri - Electronics - Leather goods and shoe making - Auto...
0 Reactions
23 Replies
10K Views
Hawa huwa wanaenda wapi na mchango wao kwa taifa ni upi maana wana zaidi ya miaka 20 sasa lakini hatuoni impact uraiani, nilitegemea hawa wawe wakombozi wa wenzao lakini maajabu divion 0 zimekuwa...
2 Reactions
45 Replies
821 Views
Napata wasi wasi na elimu hii ya tanzania kila kukicha ikichezewa na wizara ya elimu. Miaka ya nyuma ilikuwa ni kazi sana kuona kundi kubwa la ufaulu ukilinganisha na leo. Kuanzia shule ya msingi...
12 Reactions
55 Replies
1K Views
Wakuu wangu habari za muda huu, Naomba kujua changamoto ya kusomea Degree ya Law chuoni na pia soko lake la ajira kwani mimi ni mhitimu kidato cha sita na ndoto zangu ni kuwa lawyer.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wadau kwema? Naomba kuuliza,wale ambao walituma maombi ya kujiunga na kozi za veta kwa udhamini wa samia mwezi Feb mwaka huu matokeo ya yameshatangazwa? tangazo lilisema masomo yataanza kesho...
0 Reactions
5 Replies
165 Views
Zamani zile Ualimu ilikuwa Ndio KADA ya Mwisho kabisa Kitaaluma Ningependa kujua kwa Sasa Hali Ikoje? Wale Walimu wa Vodafasta bado wapo? Ni hilo tu
2 Reactions
4 Replies
159 Views
Kwa waliosoma Alpha high school 2012-2014 bila shaka watakuwa wanafahamu balaa la hawa jamii wawili Sunday Mwakipagala na Henry Mwinjoge ambao walikuwa wanasoma EGM. Jamii walikuwa wanapiga...
10 Reactions
118 Replies
2K Views
Back
Top Bottom