Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani Nina mdogo angu alikuwa anasoma pale UDSM mwaka 2023/2024 alikuwa 2nd year,alipat changamoto ikamtoa mchezoni akaondoka chuo bila taarifa, Ili akatatue changamoto bahati nzuri/mbaya mtoto...
1 Reactions
8 Replies
261 Views
Wakuu mimi niko Mamlaka ya maji nawafikiria sana TRA, TBS, eGA, TCRA na TANAPA ni ICT afisa, nataka nipambanie uhamisho kwenye hizi taasisi ni ICT afficer II-SOFTWARE DEVELOPER(WEB) hii taasisi...
1 Reactions
8 Replies
304 Views
Muhimu: Ni nje ya vyuo kama open university chenye matawi kila mkoa, Pia kwa vyuo vya kati vya ufundi, nursing, ualimu, utalii, hotel management, n.k. Tanzania Bara kuna mikoa 26 inayoshiriki...
6 Reactions
16 Replies
668 Views
Je unamkumbuka Mr mbao,unakumbuka makanyagio
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari wadau napenda kufahamu shule nzuri za A-LEVEL zenye ada nafuu zenye combination ya ECA na EGM. Ziwe za Private au za Kanisa
0 Reactions
2 Replies
147 Views
Wizara ya elimu ina maprofesa wapuuz mno. Inaamini maskini wa Tabata, Buza, Goba, mbezi hawawez kupeleka watoto shule za laki 5? Mkenda na wezako wa TAMISEMI mnashida ipi? Mkiigeuza Jica...
1 Reactions
6 Replies
204 Views
Mambo wana JamiiForums, Nilidisco Chuo tangu nikiwa mwaka wa pili lakini mara baada ya kudisco sikurudi nyumbani wakawa wananitumia hela ya matumizi naishi tu ili wenzangu wakimaliza na mimi...
15 Reactions
54 Replies
2K Views
Wakuu natumai nyote ni wazima wa afya. Naomba mnisaidie utafauti wa advanced diploma na postgraduate diploma, Na unatakiwa kuwa na sifa zipi ndo utaweza kusoma kimoja wapo hapo. Ahsante!
1 Reactions
34 Replies
8K Views
Kuna tofaut gani hapo nataka kwenda kusoma higher diploma ya special education pale patand
0 Reactions
9 Replies
28K Views
Wakuu naomba kuuliza je kuna tofauti Kati ya hizo academic terms mbili ki Tanzania Tanzania!!?? NA je mtu mwenye stashahada ya juu analipwa sawa na mtu wa shahada??
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wapendwa Naomba kufahamu tofauti iliyopo kati ya advanced diploma na Bachelor degree. ~Ipi ni kubwa kuliko nyingine ~Sifa za kujiunga na kila moja Ahsanteni na samahani kwa usumbufu
1 Reactions
34 Replies
6K Views
Karibia kila kitu kwenye ulimwengu kimeundwa na na Matter ikiwa kwenye umbo/aina tofauti kama Solids,liquids,gasses na plasma hizi aina aina za matter zimeundwa na particles ndogo {subatomic...
2 Reactions
0 Replies
85 Views
Wadau na wana familia wa JF , naombeni msaada kwenye hili. Naomba kujua chuo gani hapa tanzania kinatoa kozi ya radar engineering ngazi ya degree.
1 Reactions
12 Replies
849 Views
Mwenye kujua shule nzuri inayotoa. Mafunzo ya QT kwa ada ya bei poa naomba anijuze, ambayo ada yake haizidi 300,000 kwa mwaka....
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Wasaalimu Jamii forum Mimi ni kijana mwenzenu nasoma india kwa sasa. Ni mwaka wa 4. Nasomea medicine. Ki ukweli huwa nawasikitikia sana vijana wenzangu, ambao pia naweza waita wadogo zangu...
7 Reactions
84 Replies
18K Views
Habari, wadau napenda kujua kuhisi hii fani mpya ya data Science kwa upande wetu huku Tanzania naweza kuipata chuo gani nijue. Chuo kinachotoa fani hiyo Level (cheti shahada) Ada Vigezo vya fani...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
Wakuu naomba mnisaidie nikifanya maombi ya cheti cha kidato cha 4 kilichoungua naweza kukipata kwa muda gani? Najua humu wazoefu wapo na je kama, Nina haraka nacho sana hicho cheti nofanyaje Ili...
0 Reactions
5 Replies
214 Views
Habarini wana jamii Matumizi ya mtandao wa intaneti hivi sasa ni makubwa sana hapa nchini, si kwa watu wazima tu bali hata kwa wanafunzi. Hata hivyo wanafunzi wengi kwa maoni yangu huwa wanatumia...
1 Reactions
2 Replies
145 Views
Niko kwenye prosses za kusajili taasisi ya kusaidia jamii hasa wanafunzi na vijana walioko kwenye mazingira magumu. Taasisi hiyo itaitwa NOVA INUA ORGANIZATION (NIO) yenye lengo la kusomesha...
0 Reactions
4 Replies
120 Views
Wanajaamiii naomba mnisaidie kupata msaada wa kujua maeneo ambayo naweza kufanya field mkoa wa mwanza kozi Ni electrical and railway electrifriction engineering 🙏
1 Reactions
1 Replies
126 Views
Back
Top Bottom