Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ratiba ya mtihani wa taifa 2025 kidato cha nne
0 Reactions
0 Replies
272 Views
Ndugu wajumbe wote wa jukwaa hili tukufu na wasomaji wote, naomba tujielekeze kujibu hilo swali hapo juu. Uchawi ni sehemu ya dini za kimila imekuwaje Uchawi umeaachwa Ni hayo tu
1 Reactions
2 Replies
95 Views
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika kuanzia Novemba 11 hadi Novemba 29, 2024. Matokeo hayo yametolewa rasmi leo...
12 Reactions
192 Replies
221K Views
MTIHANI WA UWEZO (APTITUDE TEST) KWA MWALIMU WA SOMO LA KIINGEREZA – NGAZI YA CHUO KIKUU (DEGREE) Subject (Knowledge & Understanding) 1. What is the primary function of a conjunction in a...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Scholarships now open!! — Curtin University warmly welcomes students from eligible African countries to apply for the Australia Awards Africa Scholarships for our Master's degrees commencing in...
1 Reactions
0 Replies
186 Views
MASTERING THE ART OF APTITUDE TEST STRATEGY 💪 With metacognition approaches —be smart, not just intelligent 🧠. Kama wewe ni msailiwa, usitoke hapa! By Mr. Josephat 📍 Dar es Salaam, Tanzania 📞...
0 Reactions
2 Replies
181 Views
Habari zenu wapendwa mimi nimemaliza form four mwaka wa jana matokeo yametoka mwaka huu sasa nilikuwa na omba kuuliza kwa matokeo haya naweza kuchaguliwa kidato cha tano katika shule za serikali...
1 Reactions
7 Replies
273 Views
Habarini. Nina hitaji mtu yeyote anayeoma archeology hasa UDSM au chuo kingine. Pia kama unamjua mwalimu anayefundisha somo hilo pia naomba mawasiliano yake. Sababu ni kwamba nina mabaki ya...
0 Reactions
0 Replies
73 Views
Wakuu nimemaliza chuo kikuu mwaka Jana, Nimepambana kwenye kazi za ujenzi za Mtaani nimeweza kupata pesa kiasi cha laki nane[800,000 Tsh] tu. Sasa nimekuja hapa mnipe ushauri nikasomee mtambo...
2 Reactions
7 Replies
205 Views
Habari za majukumu watanzania wenzangu na wadau mbalimbali wa elimu. Mimi ni mwenyeji wa mikoa ya nyanda za juu kusini. Nyanda za juu kusini especially mkoa wa ruvuma na jombe ni Kanda ambayo...
0 Reactions
1 Replies
175 Views
Waliokuwa naye hapa Ndanda tunaomba taarifa. Hiki kibali ni kizito sana
13 Reactions
64 Replies
2K Views
Kama wewe ni mwanafunzi au mtu unayetaka kujifunza kuandaa research na kuzioffer kwenye majukwaa ya freelancing kama upwork, Fiverr na Linkedin lakini huelewi baadhi ya concepts zinazotumika huko...
3 Reactions
2 Replies
162 Views
Kwa mwanafunz aliyepata Mathematics F, Geography E na Economics E je anaweza kusoma Diploma ya Accountancy ila mathematics o level alikuwa na C ya mathematics
1 Reactions
2 Replies
119 Views
Nikiwa elimu ya msingi, nimecharazwa sana bakora kisa namba za Kirumi. Huku maishani haya makorokocho hayajawahi kuniingizia hata Senti Moja. Kwanini wizara isiondoe masomo haya yakishenzi...
8 Reactions
23 Replies
603 Views
Usaidizi wa application ya scholarship hii utatolewa, contact www.researchlinktz.com, visit the Opportunities page for more assistance.
1 Reactions
8 Replies
309 Views
Anonymous
Mimi na wenzangu kadhaa tunaosomea Shahada ya Uzamili (Master of Public Health - MPH) katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) tuna changamoto moja kubwa ambayo imekuwa kero kwa muda mrefu na...
22 Reactions
106 Replies
6K Views
Anonymous
Miundombinu ya vyoo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) haswa upande wa Hostel za Social umekuwa kikwazo kwa wanafunzi wanaotumia hivyo tunaomba mamlaka ishughulikie hili suala kwa afya bora za...
1 Reactions
6 Replies
634 Views
MAISHA bhana ZAMANI MLISEMA WALIMU NI KAZI MBAYA... Sasa hivi mnaililia... Waacheni walimu wainjoi
0 Reactions
6 Replies
283 Views
Anonymous
Kero yangu ni kucheleweshewa majibu ya kusitisha mwaka wa masomo (postponement) hasa kwa vyuo Kama UDSM jambo linalofanya baadhi ya wanafunzi kushindwa kuendelea na masomo kwa sababu ya...
1 Reactions
0 Replies
87 Views
Back
Top Bottom