Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari ndugu zangu, Naitwa Paschal, nipo Dar es Salaam, Kigamboni. Nimekumbana na changamoto ya kimatokeo, kwani inatakiwa niingie mwaka wa tatu katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere...
3 Reactions
7 Replies
525 Views
Kazi ipo walimu,sio mcheza leo kwa mara ya kwanza waziri wa elimu prof mkenda amesema kwanini walimu tunasailiwa. Jipangene jamaa wapo siriasi. Tusipovuka mwaka huu vigezo vya msimu ujao vitakuwa...
4 Reactions
8 Replies
360 Views
Habari wanajukwaa! Je, kuna utaratibu wowote kwa shule ya Sekondari kuamuru kumfukuza shule mtoto mwenye ufaulu hafifu? Nimekutana na hii scenario katika shule moja ya Sekondari iliyopo mtaa wa...
0 Reactions
15 Replies
617 Views
Habari Natafuta english medium primary school kwa Dar es salaam zenye school fees below 1 million . Kuna research nahitaji kufanya nao niwasiliane nao. Ntapendelea kwa Dar eneo lolote. Asante
1 Reactions
4 Replies
337 Views
Aisha alikuwa na ndoto kubwa—kumaliza thesis yake kwa wakati na kupata alama za juu. Alikuwa na mawazo mengi kichwani: "Nitapataje reliable sources? Literature review itanichukua muda gani...
1 Reactions
0 Replies
105 Views
Wakuu Habari za Wakati, Kuna kijana kaniomba ushauri juu ya kipi akasome Veta, hasa long course. Kwa ufahamu na uelewa wangu nime mshauri ajaze kozi zifuatazo; 01. Designing, sewing and clothing...
3 Reactions
8 Replies
775 Views
Okay ,, nimejaribu kufuatilia ajira za walimu zilizotoka hivi karibuni na nimegundua kuna uwitaji mkubwa sana wa walimu wa commerce kwa ajili ya kufundisha kidato cha kwanza hadi cha nne Ndiyo...
3 Reactions
6 Replies
776 Views
Toka miaka ya 1700s tumekuwa tukifundishwa ya kuwa mwanga wa jua unatengeneza hewa ya oxygen kupitia photosynthesis, mfumo muhimu wa kiasilia unaofanya maisha ya dunia kuendelea kuwepo, mimea...
7 Reactions
36 Replies
458 Views
Habari zenu humu ndani, Nauliza mfano mtu kamaliza form four 2018 na akaend diploma akamaliza 2022, je anaweza apply mwaka 2025 kusoma diploma ya afya mfano MUHAS na kupata au achague tu private...
2 Reactions
11 Replies
295 Views
Naomba kuuliza bwana jf kuwa ada ya shule ya sekondar st Anthony ada yake ni kiasi gani kwa anayetaka kujiunga. Tafadhal kwa anayejua anijuze
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hata humu sijaona wadau wa maendeleo kama LIKUD na wengine team kataa EMS. Mada za kijingajinga ndo zinapewa airtime😀😀😀.Hili taifa limekumbwa na nini???!!!
5 Reactions
37 Replies
694 Views
Ni kozi gani? Ambayo huwezi mshauri ndugu au rafiki au mtoto wako aisome??
4 Reactions
5 Replies
245 Views
Wakuu naomba ushauri kati ya kusomea bachelor ya forest na bachelor ya animal science ipi ipo vizuri ki ajira pia katika usomaji ipi haipo complicated na ipi ipo kirahisi katika usomaji msaada...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Eti wadau kuna baadhi ya shule zipo kwa ajili ya wanaume pekee au wanawake pekee. Lengo ni nini??
5 Reactions
31 Replies
562 Views
Kwa wale Old Boys wa Old Moshi Secondary School (Moshi Secondary School), Bila shaka tunaikumbuka shule yetu. Shule hii pasi na shaka inastahili kutambuliwa kwamba ni Shule Kongwe. Kwa tuliosoma...
2 Reactions
47 Replies
11K Views
Watu naona wanauliza uliza siri ya mafanikio ya baadhi ya shule binafsi za sekondari hapa nchini, siri ziko 2 tu, kwanza sio siri maana hizi mbinu japo sikubaliani nazo ila zinafahamika na...
26 Reactions
66 Replies
11K Views
Ndugu wanajamhuri ya Jf nini litoto langu pale nyumbani. Nililisomesha mipango dodoma akasoma coarse ya urban planing .. sasa najiuliza ataajiliwa kama nani maaana hata sielewi naomben msaada...
5 Reactions
47 Replies
5K Views
Mimi ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka jana na nilipata ufaulu ufuatao CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'D' Ni kipi kitakuwa sahihi zaidi...
1 Reactions
19 Replies
960 Views
Hello! Sipo hapa kuwabenza ama kuwananga hapana ninachohitaji kujua/kufahamu ni kuhusu elimu zenu hizo mmezipambania kwa udi na uvumba na kwa gharama huku mkijinyima sana.Kwa kifupi hongereni...
6 Reactions
39 Replies
656 Views
Back
Top Bottom