Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari za siku ya leo, Swali lang ni kwa yeyote anayejua baadhi ya vyuo mbalimbali vinavyotoa degree za computer science. Nitashukuru Sana maana nipo kwenye mikakati ya kutafuta ila sioni...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Ipi kozi nzuri kati ya hizi 1/ Computer engineering - UDOM 2/ cybersecurity and digital forensics - UDOM Naombeni ushauri wenu jamani
2 Reactions
28 Replies
4K Views
First of all.let me.declare interest, Mimi NI Alumni wa Mlimani Primary School, a class of 1998. Nimekutana na classmate wangu akiwa na mtoto wake ambae amemaliza darasa la Saba mlimani Primary...
9 Reactions
91 Replies
13K Views
Navigate www.researchlinktz.com and view the "Opportunities' page to see this scholarship. If you want to apply we can give assistance. You can write to info@researchlinktz.com or see contacts in...
0 Reactions
2 Replies
140 Views
Nitakuwa naweka hapa vitabu vinavyotumiwa katika mataifa mbalimbali kuanzia elimu ya sekondari mpaka Chuo Kikuu. Jisikieni huru pia kuweka vitabu vyo vyote vile vinavyotumika mashuleni na vyuoni...
25 Reactions
805 Replies
157K Views
Habarizenu wanajukwaa, Naombeni ufafanuzii kuhusu course tajwa hapo juu kuhusiana na kazi zakufanya baada ya kumaliza masomo chuona, chuo kipi Bora hapa Tanzania katika utoaji wa course tajwa...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Habari wana JF hongerini na ujenzi wa Taifa letu pendwa TANZANIA Wakuu Naomba msaada wa mambo kadhaa juu ya kozi ya usimamizi wa wanyama Pori. Nimechaguliwa kujiunga na Chuo Cha usimamizi wanyama...
2 Reactions
40 Replies
43K Views
Habari za kazi wanajamvi. Samahani, miongoni mwa kozi nne alizopata bwana mdogo katika maombi ya vyuo vikuu kwa msimu wa masomo wa 2022/2023 ni pamoja na kozi tajwa hapo juu (Bachelor in Security...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari, Msaada jamani juu ya hii kozi ya bachelor degree in project planning and management hivi inahusiana na Nini? Pili soko lake la ajira likoje hapa Tanzania? Ajira zake serikalini zipo au...
0 Reactions
54 Replies
8K Views
Kenya inapeleka walimu wa lugha ya Kiswahili nchini Qatar, na kufanya idadi ya Wakenya katika eneo hilo la Ghuba kufikia 75,000. Walimu hao wataungana na wauguzi na wafanyakazi wa usalama...
1 Reactions
1 Replies
145 Views
Wale mliopotia pugu sec myanielewa Wengine waliitea pond boys Wengine fungus boys Yaani baadaeee BAADA ya mateso ya kujikuna SEHEMU za Siri kunywaa madawaaa kibaokoo Badoo wengine...
0 Reactions
0 Replies
157 Views
Habari zenu wadau wa jukwaa la Elimu Siku ya leo nimeona niwaletee Shule 3 bora za serikali katika mkoa wa Dar es salaam. Kama ndugu au mtoto wako ikitokea amepangiwa shule ya kata na unataka...
11 Reactions
63 Replies
7K Views
Wakuu habarini. Nina mdogo wangu kamaliza form four mwaka jana, amepata div four 29 Naombeni ushauri anaweza kwenda vyuo vya kati vinavyotoa certificate? Au ni chuo gani kitaendana na ufaulu...
4 Reactions
55 Replies
977 Views
Katika kasi ya mabadiliko ya mtaala niliona shule binafsi kama chachu kwa sababu ya uwezo wa kuweka miundo mbinu kwa ajili ya kuisaidia serikali ila kwa mazingira haya naona giza. Siandike kuweka...
0 Reactions
8 Replies
287 Views
Diploma in operation theatre technology naomba kujua nkitaka kusoma kwa tanzania naenda chuo gani
0 Reactions
1 Replies
134 Views
kilichotikea leo ni moja ya usaili katili sana kuwahi kushuhudia nimefanya interview shule nyingi za private lakini kwa huu nmenyoosha mikono. kwa walimu ambao bado hamjasailiwa mjipange kule...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Mungu ni mwema licha ya ugumu wa mtihani kati wa watahiniwa 23426 basi kwenye 775 waliopita kwa alama kwenda oral interview nipo😭 Naona tunamepata ofa ya siku mbili kujianda kutokana na ugeni...
12 Reactions
35 Replies
1K Views
MASTERING INTERVIEW RESPONSES NATURALLY: A GUIDE FOR SECRETARIATE JOB INTERVIEWS OR ANY PROFFESSIONAL. +255656480968 👉In a professional interview, questions should be clear, measurable, and able...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu naomba kuuliza Dokta wa mifugo anachukua BVM (BSc in veterinary medicine) Au BSc in animal science????!!! [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]...
0 Reactions
54 Replies
11K Views
Back
Top Bottom