Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Tunawaona wahitimu wengi sana wakibaki majumbani au kwenda kwa dada zao walioolewa baada ya kuhitimu. Speaking from experience vijana wengi baada ya kumaliza chuo huanza kuomba ajira bila...
3 Reactions
24 Replies
580 Views
Habari wanajamiiforum naomba kujua kwa aliye fuatilia alison online couse,faida yake kwa hapa Tanzania niipi? https://alison.com/
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ushauri wa hizi kozi tatu za kusomea wadogo zetu Waliopata DD Tano FORM FOUR ipi ina uwanda mpanda Na vitu gan vya msingi aandae mapema akitaka kuomba Kuanza Kusomea CERTIFICATE 1.HUMAN...
4 Reactions
5 Replies
191 Views
Habari wanaJF. Naomba kujua hivi proposal presentation inakuwaga na marks ngapi kiujumla? au marks huwa zinawekwa kwenye dissertation kwa ujumla na sio proposal peke yake, namaanisha marks...
1 Reactions
9 Replies
283 Views
Kwa yeyote aliye mwalimu au mwenye kujua kuhusu mikopo kwa waalimu naomba kuuliza... Je, inawezekana kukopeshwa pesa ndefu(about 60M-80M) kutoka benki(kwa udhamini wa mwajiri na mshahara ) ikiwa...
1 Reactions
29 Replies
6K Views
Wadau habari za majukumu ya kila siku? samahani napenda sana kusoma online hasa kwenye website mbalimbali lakini sasa nataka nianze kusoma course zinazotolewa na free websites kwa ajili ya kujinoa...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Nahitaji kurudia mitihani ya kidato cha nne katika michepuo ya sanyansi. Naombeni msaada wapi nitapata walimu wazuri.
1 Reactions
10 Replies
969 Views
Wakuu katika kuongeza thamani . Nimefikiria nisome short course ya office management. Sasa wadau nauliza je nitaweza kupat Website gani ambayo nitasoma bure na kupata Cheti naomba ufafanuzi wakuu.
3 Reactions
22 Replies
492 Views
habari zenu wakuu, naomba ufahamu kuhusu hizi diploma, 1. tofauti ya ordinary diploma, advanced diploma na post graduate diploma ni ipi? 2. mtu mwenye ordinary diploma yupo eligible kusoma post...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Hawa watu wanaosoma degree ya Political Science katika vyuo vya hapa Tanzania huwa wanaajiriwa wapi? Ni kazi gani mahususi ambazo zinahataji waliosomea political science tu? Hii degree naona...
4 Reactions
38 Replies
1K Views
Wakuu Kwa jinsi nilivyokua baada ya form four na vile nilivyokua baada ya form six ni tofauti mno. Na vile nilivyowakuta diploma wakutoka form four wanavyokariri. Mimi naomba ni washauri kama...
13 Reactions
104 Replies
6K Views
Nimepata division 2 .20 nataka nisome CBG AU EGM NINA CCC KWENYE CBG HALAFU NINA CD KWENYE EGM VIP HAPA NITATOBOA KWELI?
0 Reactions
2 Replies
183 Views
Nimechaguliwa kusoma chuo nchini China kiitwacho Tianjin University na course niliyochaguliwa ni Mechanical Engineering and Automation ila wameniambia inafundishwa kwa Kichina na inabidi nisome...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Lengo la Mkutano huu ni Waafrika Millioni 300 wakiwemo Watanzania Millioni 8.3 kupata umeme ifikapo mwaka 2030. Tazama Live Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati (Africa Energy...
0 Reactions
2 Replies
200 Views
Mimi mdogo wenu nimemaliza kidato cha nne mwaka Jana na ufaulu wangu ni kama ifuatavyo Phy D math D chemia C Biology C. Huo ndio ufaul wang na Nia yangu ilikuwa ni kwenda chuo nikasomee...
1 Reactions
13 Replies
836 Views
Amani ya Mungu iwe nawe. Naomba kufahamishwa sifa ya kujiunga na chuo kinachofundisha Plant Mechanics pia vinapatikana mikoa gani kwa hapa Tanzania. Asante.
1 Reactions
5 Replies
924 Views
Naombeni mnitajie masomo wanayosoma wanafunzi wa mechanical engineering diploma.
0 Reactions
44 Replies
12K Views
Naomba kuwasilisha kero yangu hii kwa viongozi wa sekta ya elimu Tanzania. Kwa miaka kadhaa kumekuwa na tabia ya watungaji wa mitihani ya Kidato cha Nne hasa kwa masomo ya sanaa, kutumia lugha...
2 Reactions
9 Replies
242 Views
Anonymous
Serikali ina haja ya kutazama mpya juu ya suala la mtaala ulioboreshwa wa kidato cha kwanza 2025, kwa hakika mtaala huo haukidhi vigezo kwa mtoto wa kidato husika kwa sababu baadhi ya mada mfano...
2 Reactions
7 Replies
721 Views
Back
Top Bottom