Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani nisaidieni kwa hili ambalo linanitatiza kidogo. Eti wanaosomea udokta mifugo wanapata ajira za haraka na mishahara yao ni mikubwa?
0 Reactions
51 Replies
53K Views
Naomba msaada namna ya kujitoa chama cha waalim Tanzania.
4 Reactions
96 Replies
18K Views
Kuna mdogo wangu ambaye amemaliza form four ana ufaulu wa 1.14. ana penda kusoma nursing, radiology au MD. Je ni bora aende advc au chuo mojakwa moja? Naombeni maoni yenu wakubwa🙏🙏
2 Reactions
14 Replies
507 Views
mimi ni mwanafunzi niliye maliza kidato cha nne mwaka jana nimesoma masomo ya art lakini nahitaji kusomea information technology,je naweza nikasomea ikiwa mimi ni mwana arts
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Wazazi wamestuka, Vijana wametuka, zama zimebadilika, Kwa upepo ulivyo Advance inaenda kupoteza thamani yake, yaweza kugeuka kuwa kapu la taka kwa wanafunzi wanaokosa vyuo. watu wamepima mzani...
1 Reactions
3 Replies
304 Views
Anonymous
Naomba mamlaka zinazoshughulika na elimu kuanzia Afisa elimu jiji LA Dar es salaam, Afisa elimu mkoa wa Dar es salaam na Waziri wa elimu, mtupatie majibu sahihi ya hiki kinachofanyika Dar es...
0 Reactions
2 Replies
177 Views
Wadau naomba msaada wenu wa kujua tofauti kati ya higher diploma na advance diploma maana hapo awali sikuwahi kusikia kitu kinaitwa higher diploma hapa Tanzania bali advance diploma. Natanguliza...
0 Reactions
19 Replies
42K Views
Dunia imeamia kwenye Technology na digital transformation. Hata kwa upande wa Afya tujiandae. Sehemu ambayo tulikuwa tunahitaji 10 doctors tutahitaji only two, 15 nurses tutahitaji only 5 , 10...
28 Reactions
119 Replies
3K Views
Naombeni msaada wa kupewa ushauri Binti yangu kamaliza mwaka jana form four; matokeo yake yametoka mwaka huu, kapata Divion one ya point 9 Matokeo ya masomo yake MATH A, BIOLOGY A ENGLISH A...
3 Reactions
16 Replies
297 Views
Anonymous
Tangu mahafali ya Chuo Kikuu Mzumbe (ndaki kuu) ifanyike tarehe 24/11/2024 mpaka leo tarehe 17/12/2024 chuo kimeshindwa kuwapatia wahitimu vyeti vyao na kila tunapofuatilia majibu yamekuwa...
2 Reactions
3 Replies
299 Views
Anonymous
Chuo cha CBE kimezuia wanafunzi kufanya mtihani wa mwisho kwa sababu hawana bima. Hii haipo sawa kwani hawajaweka utaratibu sahihi wa kupata hizo BIMA naomba waruhusu wanafunzi tufanye mitihani...
0 Reactions
1 Replies
165 Views
Binafsi naona tunaishi kwenye Nchi ambacho hata ukiulizwa utaje shule zilizoko wilaya uliyotoka huwezi kuzijua; Nashauri; Kuwe na ukurasa (Data base) ukiingia unapata Shule zote kwa kila mkoa na...
2 Reactions
3 Replies
211 Views
Habari Wana jamvi, tunashukuru Mungu kwa kuamka salama na kwa wale wenye changamoto mbalimbali tunawaombea kwa Mungu awape wepesi kuvuka kipind hiko kigumu, Back to my topic. Kuna nafasi 8000...
1 Reactions
0 Replies
325 Views
Habari za Leo wakuu, Naombeni kuuliza kati ya hizo kozi mbili tajwa ni ipi ina uwanja mpana wa ajira kwa hapa Tanzania? Na ni ipi ipo wide? Natanguliza shukrani.
1 Reactions
49 Replies
11K Views
Anonymous
Kuna jambo ambalo nimekutana nalo nikiwa likizo huku Mkoa wa Songwe, Wilaya ya Mbozi, kuna baadhi ya Shule za Msingi, Walimu wanamiliki mashamba na kuwafanyisha kazi Wanafunzi. Nimezungumza na...
4 Reactions
17 Replies
850 Views
Eti wadau huyu ataajiriwa kweli au aendelee na mambo mengne?
3 Reactions
58 Replies
7K Views
Anonymous
SUALA LA VYETI. Utaratibu ambao umewekwa na vyuo vya kati na sera zao unatakiwa kuchunguzwa na kufanyiwa maboresho, hasa VETA. Haiwezekani mtu amalize chuo na matokeo yatoke halafu akae mwaka...
1 Reactions
0 Replies
77 Views
Anonymous
Shida kama haikupati hutaona ukubwa wake. Loan board hawatoi fedha za kujikimu kwa wakati. Wazazi wakishaona tumepata mkopo unakuwa umewatua mzigo na wanajitoa kwenye kukupatia fedha za...
2 Reactions
5 Replies
309 Views
Maisha ya chuo/college yanahitaji kujipanga ili kukabiliana na changamoto, kama wahenga wanavyosema changamoto ni kipimo cha akili. Miongoni mwa changamoto hizo ni chakula na...
6 Reactions
6 Replies
586 Views
Wakuu wasalaam. Mimi ni mwalimu idara msingi mwaka wa 5 huu kazini. Kutokana na changamoto za kazi yetu hii nimewaza kujiendeleza kwani sihitaji kubaki hapa nilipo. Niliwaza kwenda ngazi ya...
2 Reactions
15 Replies
536 Views
Back
Top Bottom