Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

"Mwalimu, nadhani ni muhimu sana elimu ya maadili kufundishwa kwa wanafunzi mara tu wanaporipoti vyuoni. Hii ni kwa sababu inawasaidia kujenga msingi bora wa tabia, kufanya maamuzi ya kimaadili...
1 Reactions
0 Replies
99 Views
Deleted member 486990
Mimi ni mhitimu wa BACHELOR OF SCIENCE IN ECONOMICS AND FINANCE, SINA MPANGO WA KUAJIRIWA NATAKA KUENDELEA KUFANYA MAMBO YANGU (INVESTING) HUKU NASOMA. Mambo yangu niliyaanza tokea nipo form 4...
1 Reactions
11 Replies
9K Views
Nina wadogo zangu baadhi wameamua kwenda kuanza mapema kusomea Taaluma vyuoni. Nikiwa kama mtu mzima ninayezijua changamoto za wahitimu wa sekondari kupata wakati mgumu kuchagua taaluma ya...
3 Reactions
60 Replies
969 Views
Habari wana JF. Kuna mwalimu mmoja mstaafu nilimsikia akisema private candidates mara nyingi huwa hawafanyi vizuri kwa kuwa alama zao za mitihani hugawanya nusu kwa kuwa wao huwa hawana...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Musaada kwa mwenye ufahamu au kasoma chuo Cha Cavendish university Uganda. Nataka kuanza masomo hapo jan2025
2 Reactions
15 Replies
653 Views
Tunatafuta mwalimu wa awali - Chekechea - salasala area 0717457679
0 Reactions
0 Replies
89 Views
Anonymous
Chuo Cha Duce ( Dar es salaam University College of Education) Department ya fedha inawasumbua wanafunzi wanaodai refund. Refund hyo ni pesa ambazo wanafunzi wanapaswa kurudishiwa baada ya wao...
0 Reactions
4 Replies
510 Views
Habari zenu wana jamii forums? Hususani jukwaaa hili la stories of change Nitumaini langu nyote ni wazima. Andiko hili litaangazia maisha ya vijana wahitimu vyuo waliotegemea kuajiriwa na hali...
5 Reactions
7 Replies
3K Views
Mimi ni mmoja wa wahanga waliohudhuria usaili wa somo fulani mkoa wa Kilimanjaro ambapo watahiniwa walikuwa zaidi ya 500 Usimamizi ni imara na mkali sana dhahiri jambo hili lipo makini. Ila cha...
7 Reactions
13 Replies
730 Views
Wizara ya elimu imekua inasisitiza kuwa mitihani ya siku hizi inapima uelewa zaidi kuliko kukariri. Na necta nao wakitoa matokeo watoto wamefaulu na division 1 za hatari kuliko zamani. Sasa kama...
1 Reactions
6 Replies
283 Views
Wakuu degree bongo hii degree zinatumika Kwa ufasaha ni mbili tu. Ya udokta na uwalimu hizo nyingine ni kanyaga twende tu yaani Zinakuwa kama useless.
26 Reactions
215 Replies
8K Views
Kozi Nzuri za Kusoma Chuo Kikuu katika Mwaka wa masomo 2024/25 Makala hii inasaidia kuelewa ni kozi zipi ambazo ni chaguo bora, hasa kama bado hujaamua unataka kusoma nini. Shahada...
9 Reactions
46 Replies
23K Views
Hello JF, Hi shule ya government, wamefanya vizuri sana na huwa wanafanya vizuri Sana Imagine mwanao amepangiwa shule hii
11 Reactions
88 Replies
3K Views
Huu Mtaala mpya unaohusu Watoto kuishia Darasa la Sita hakuna vitabu hata kimoja mpaka leo tangu Waziri wa Elimu Profesa Adolf Mkenda alipotangaza juu ya mabadiliko hayo. Kila tukiuliza wanasema...
1 Reactions
1 Replies
418 Views
Tunapojadili kuhusu kushuka kwa elimu yetu na kupungua kwa ubora wa wahitimu tusisahau kuangazia vinu vinavyozalisha wasomi hao. Juzi nilimtembelea rafiki yangu ambaye ni mhadhiri katika Chuo...
4 Reactions
59 Replies
7K Views
Habari waungwana. Samahani wapendwa naomba mnisaidie binti yangu amepata Division IV ya point 27. Kwa ufaulu huu Civics D, His F, Eng D, Chem D Biol C Kisw C Marh F Mtoto anapenda kusomea...
5 Reactions
17 Replies
420 Views
Kijana wangu wa kike amepata ufaulu ufuatao wa kidatu cha nne, CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'D' Dv 3 ya 23 je anaweza kuchaguliwa...
3 Reactions
17 Replies
308 Views
Leo tuangalie kazi za kitaaluma za Maprofesa wetu kimataifa eg. Google scholar. 1. Anthony Mshandete, 2439 citations https://scholar.google.com/scholar?hl=en&as_sdt=0%2C5&q=mshandete&btnG= 2...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF Naomba kujua mshahara wa mwalimu wa s/primary ngazi ya cheti [ lll ] kwa mwezi kwa wale walioanza kazi mwaka 2013 ukiondoa makato yao yote yani ile salary taslim inayoingia...
2 Reactions
34 Replies
18K Views
Mara nyingi Kigoma inachukuliwa kuwa nyuma mambo mengi Asante sana Ahawa secondary Kibondo Kigoma kwa matokeo haya ya juu mno mtihani wa Taifa form four wote 84 division one tena mchepuo wa...
5 Reactions
13 Replies
596 Views
Back
Top Bottom