Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Salaam na heshima kwako Mh Waziri Elimu Prof Mkenda. Awali ya yote nawapa pongezi sana kwa jitihada zenu kuboresha elimu tangu msingi hadi sekondari..hongera sana awamu hii pongezi kwa Mama...
11 Reactions
107 Replies
3K Views
Habari wadau. Nazani wote tunajua kwamba kuna wimbi kubwa la wa Tanzania kupeleka watoto kusoma india. Nimegundua wahindi wengi wenye big position na matajiri ni alumni wa India institutes of...
2 Reactions
14 Replies
970 Views
Kama ulidhani kusoma UDSM ingekuwa kete ya wewe kuonekana unafaa zaidi fikiria mara mbili: Samia Suluhu Hassan Emmanuel Nchimbi Amos Makala Steven Wasira Hawajahi kukanyaga UDSM Mzumbe...
5 Reactions
19 Replies
667 Views
Anonymous
Shule ya BEROYA MISSION SECONDARY SCHOOL iliyopo mkoa wa Pwani, Bagamoyo kijiji cha matimbwa ilianza kuchapa wanafunzi mwishoni mwa mwaka 2023 kwa kutumia mabomba ya maji. Watoto wanakuwa na hofu...
0 Reactions
1 Replies
179 Views
Anonymous (98a7)
Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU), ulipaji wa ada wameweka kwa awamu nne kwa mwaka, Semester ya kwanza awamu mbili na ya pili awamu mbili. Ajabu wameweka deadline ya kulipa ada na mtu akichelewa...
2 Reactions
11 Replies
397 Views
Nchi nyingi duniani zinafuata mfumo wa Elimu wa *Prussian Education System". Tanzania pia tunafuata mfumo huo. Hata hivyo nchi nyingi Sasa hasa zilizo endelea zimesha achana na mfumo huu...
8 Reactions
117 Replies
2K Views
Habari za muda huu wanaJf. Kama kichwa kinavyojieleza,nina mdogo wangu anasoma "Bachelor of Project planning and community dvt" anatafuta taasisi ya kufanya mafunzo kwa vitendo(field) mkoa wowote...
3 Reactions
20 Replies
318 Views
Licha ya kutangazwa kwa ufadhili wa masomo ngazi ya Master's Degree kupitia Samia Suluhu Scholarship na wanufaika kuorodheshwa kwenye Website ya bodi ya mikopo inayofahamika kama HESLB. Lakini...
1 Reactions
5 Replies
665 Views
Wasalaam wanaJF... Naomba kufahamu... hivi nikitaka kusomea Driving pale chuo cha NIT ili niweze kufikia ngazi ya 'Senior Advanced Driver' (nadhani ndiyo VIP/Executive level), itanichukua muda...
4 Reactions
41 Replies
62K Views
Habari Ndugu zangu.. Nimekuwa nikisoma vitabu mbalimbali kupitia maktaba za serikali, ila nmepitia online pia. Kusoma ni jadi yangu na kupitia vitabu najiona kama naongeza vitu vingi sana ambavyo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Jinsi ya Kujitayarisha na Kujibu Aptitude Test au Written Test 1. Tambua Majukumu Yako ya Kazi Anza kwa kuelewa kwa kina majukumu yako ya kazi. Unganisha majukumu hayo na dhana maalum, kanuni za...
1 Reactions
0 Replies
461 Views
Wakuu, Ni rasmi sasa imebaki miezi 4 mpaka wanafunzi wa kidato cha 6 kuanza mitihani yao ya mwisho ya NECTA. Kulingana na ratiba hii, mitihani hii itaanza Mei 5, 2025 na itaisha Mei 25, 2025
2 Reactions
5 Replies
583 Views
Nimesikia wasomi wawili wa ngazi ya PhD wakitofautiana katika kutaja desimali (decimal notation). Mmoja ana PhD ya kusomea na mwingine ya heshima. Alianza yule mwenye PhD ya kusomea na kusema kwa...
1 Reactions
4 Replies
237 Views
Naomba kufahamishwa vyuo vinavyotoa kozi tajwa hapo juu hapa Tanzania kwa mwaka 2023/2024 , Location yake na gharama ikibidi. Natanguliza shukurani
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Naomba kuliza ni vigezo gani ambavyo unapswa kuwa navyo ili uweze kujiunga na chuo cha udereva NIT Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
24K Views
Unaweza kuahirisha kozi unayosoma na ku reapply mwakani? Naombe msaada
2 Reactions
16 Replies
281 Views
Sifa ya Chuo: Chuo cha Kati. Idadi ya wanafunzi Chuo kizima: Approximately 7000. Kozi ninayo chukua? " " Duration : 3.months. Idadi ya wanafunzi: Kozi nzima : 300 plus. Darasa langu ...
8 Reactions
29 Replies
505 Views
Jaman, kwanza nawasalimu kwa jina la mungu, na natumai ni wazima wa afya ila kama afya iko vibaya mungu akupe ahueni🙏 Wakuu mim ni mwanachuo naesoma Bachelor of education in science (physics)...
7 Reactions
39 Replies
784 Views
Ninaomba ushauri, nina ufaulu wa Phy D, Math D, Chem C, Bios C na Geo C na nahitaji kusoma Mechanical maana advance combination zinabalance arts, je nifanyeje? Na ufaulu huo na nikipata two?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom