Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wadau naomba kujuzwa kuhusu hiyo mada hapo juu. Mimi sio mtaalam wa computer. Nipo field tofauti. Dogo yupo advance anataka kujikita katika ishu za computer huko mbeleni at the university...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Wakuu habari,hivi ni vyuo vikuu gani vizuri Kwa kozi ya pharmacy ngazi ya degree nchini Uganda nataka nimpeleke ndugu yangu akasome huko Uganda msaada wakubwa
0 Reactions
6 Replies
392 Views
Habari Wana JF, kama kichwa Cha Uzi kinavyosomeka hapo juu. Naomba taarifa kwa wanaofahamu short course yoyote ambayo ni related na maswala ya fire fighting. Natanguliza ahukrani
1 Reactions
3 Replies
220 Views
Naitwa Google Diggers. Nina miaka 31 Nina degree ya Sanaa yaani bachelor of arts na nina stashahada ya masuala hayahaya ya Sanaa. Kifupi ni Political sciences. Nataka kufanya post graduate ya IT...
2 Reactions
4 Replies
238 Views
Habari wakuu Je, Power of Attorney inaweza mpa mtu mamlaka ya kunichukulia cheti chuo maana clearance nimemaliza na vyeti bado havijatoka, natarajia kusafiri kwenda Marekani keshokutwa. Nataka...
0 Reactions
2 Replies
221 Views
Ikiwa ndio kwanza unajiunga na chuo au upo chuo; aidha unaingia mwaka wa pili au wa tatu, wakati ni sasa na bahati ni yako. Kiukweli ukiwa chuoni huwezi ku “feel” tatizo la ajira ambalo wahitimu...
24 Reactions
32 Replies
4K Views
Nimepagawa na maisha nirejee shule Msaada
2 Reactions
3 Replies
183 Views
Ofisi za postgraduate SUA ni changamoto kubwa sana kwa wanachuo yaani kama sio mazingira ya rushwa basi kuna changamoto kubwa kwenye usimamizi wao. Nadhani wanachangia kwa sehemu kubwa wanafunzi...
1 Reactions
1 Replies
136 Views
Kumekuwa na kesi tofauti juu ya kudukuliwa kwa mifumo ya matokeo vyuoni na kubadilishwa. Kwa mfano alikuwa amefeli mwanafunzi ila mfumo unadukuliwa na kuandikiwa PASS. Sasa naomba kujua hii huwa...
1 Reactions
1 Replies
177 Views
Tangu kuzinduliwa Kwa application Mpya ya kusaini pesa za kujikimu maarufu kama HESLB wallet mtandao hakuna watu wamepewa pesa lakini wanashindwa kusaini kutokana na tatizo la mtandao.. Ukienda...
3 Reactions
18 Replies
659 Views
Anonymous
Wizara ya Mikopo itazame Chuo vha Mipango kuna shida gani? Kila mara Wanachuo wanacheleweshewa Fedha za Kujikimu (boom). Pesa ziliwekwa kwenye mfumo tangu Oktoba 19, 2024 kisha Oktoba 30...
0 Reactions
1 Replies
167 Views
Anonymous
Kero. Mimi ni mkazi wa Kijiji cha Mengwe, Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro ninawasilisha kero kwa niaba ya wakazi wenzangu wa Rombo. Muhula mpya wa Masomo umeanza Januari 13, 2025 lakini...
3 Reactions
17 Replies
606 Views
ENGLISH TEACHERS TANZANIA As a teacher preparing for a written aptude test in English or Written Test , it’s important to start with a clear understanding of the key areas that will be or are...
0 Reactions
1 Replies
677 Views
Wakuu habari. Mwanangu ameingia class 4 mwaka huu. Ila shule aliyopo imekuwa na mwenendo mbaya, kiasi kwamba kwa mwaka 2023 na 2024 wazazi wanaojitambua wamehamisha sana watoto wao. Sasa huyu wa...
0 Reactions
3 Replies
227 Views
Ndugu zangu JF, Rafiki yangu amedisco chuo kwa kutohudhuria mtihani anampango wa kustisha masomo na ku apply upya nilikuwa naomba ushahuri na muongozo tumsaidie.
2 Reactions
25 Replies
876 Views
Hello Naomba kuuliza mtu aliyemaliza diploma ya uvuvi yan fisheries science and technology anaweza kusoma degree ya Computer science au IT Asanten.
0 Reactions
3 Replies
247 Views
Anahitajika mwalimu wa English language, shule ni ya serikali IPO mkoa wa dodoma wilaya ya chemba (Kijijini sana ila umeme na maji vipo) Ambaye yupo siriazii anicheki...posho IPO sio sawa na...
0 Reactions
1 Replies
182 Views
Kuna watu wanajeuri sijui ya fedha? Mtoto wake mwaka jana alifaulu kwa wastani wa "C" kapelekwa shule ya kata kama wanafunzi wengine wote. Pamoja na kwamba hizi shule za kata kuna wanafunzi...
2 Reactions
32 Replies
626 Views
Sababu: Nimekuwa nikitumia muda mwingi kujifunza mambo nje ya darasa, kama vile: Programming Blockchain technology Web Development Akili Bandia (AI) &Machine Learning Ujuzi Mbalimbali wa...
3 Reactions
12 Replies
376 Views
Wakuu mnisaidie course Yani sielewi nipige art flat an course gani nzuri
0 Reactions
2 Replies
135 Views
Back
Top Bottom