Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

national examinations council of tanzania csee 2011 examination results NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIACSEE 2011 EXAMINATION RESULTS S3548 MIDWAY SECONDARY SCHOOL DIV-I = 0 DIV-II =...
0 Reactions
105 Replies
38K Views
Wakuu! Habari za asubuhi? Naomba kwa yeyote mwenye soft copy ya kitabu tajwa hapo juu "stop lying to yourself" kilichoandikwa na Simon Gilham anisaidie. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
3 Replies
262 Views
Elimu sio kusoma tu, kuna mazingira ya kusomea, walimu kusaidia wanafunzi, teknolojia, n.k. Kusomesha mtoto ni kumweka katika mazingira salama ya kusoma, awe na walimu wanaotimiza wajibu...
3 Reactions
20 Replies
639 Views
*THE FOLLOWING ARE THE APTITUDE TEST PRACTICE FORMATS 1. THEY ARE SUBJECT-SPECIFIC Focusing on teaching methodology and application mastery assessments. To answer effectively, you should have...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Why colonialism in Africa used armed struggle?discuss
1 Reactions
0 Replies
71 Views
Chuo kipi kinachotoa mafunzo kwa swimming instructors (Swimming short course) including certificates? Location: Dar
2 Reactions
3 Replies
263 Views
Wakuu habari. Nina binti yangu hapa yupo darasa la sita miaka 2 ijayo atakuwa anaingia ngazi elimu ya secondary. Kwa sasa nimeanza kujiandaa kuhakikisha anazidi kuwa na uelewa mzuri wa darasani...
3 Reactions
58 Replies
19K Views
Anonymous
Kero yangu: Shule ya Sekondari Irugwa inawataka wanafunzi wanaoripoti kidato cha kwanza kwenda na Rimu 1, pia mwanafunzi anapofika kidato cha 3 anapeleka tena Rimu. Bado kuna michango kama vile...
0 Reactions
6 Replies
247 Views
Nimezoea kuona watu kwenye field ya Academia wakiwa wanapata promotion ya kutoka Udokta na kuwa Associate Professor ambapo baadae atakuwa Full Professor. Vigezo ambavyo nimezoea kuviona...
2 Reactions
16 Replies
407 Views
Mtu ukiwa na level three(3) ya VETA na huna cheti cha Form Four je unaweza kusoma hadi chuo kikuu Sent from my LGM-G600L using JamiiForums mobile app
2 Reactions
11 Replies
5K Views
Habari za sahivi wana JamiiForums, Naomba kujua kama umesoma veta hadi level 3, sasa unataka kwenda diploma je unaweza pewa mkopo, na kwa njia zipi? Msaada tafadhali
1 Reactions
0 Replies
141 Views
Habari za asubuhi wanajukwaa, Naomba kujua tofauti ya vitabu tajwa hapo juu maana naona kuna shule hasa hizi za English Medium zinatumia vitabu vya MEP kufundishia na zingine zinatumia vitabu vya...
2 Reactions
8 Replies
424 Views
Ukweli ni kwamba mtoto haitaji kujua kuhusu Farady’s law, ohm’s law nk. ili kujua jinsi motor inavifanya kazi au jinsi motor inavyosukwa, ukweli ni huo! Haya yafanyike kwa haraka!! Tutaona...
2 Reactions
5 Replies
392 Views
"Baba kama Pascal mtoto wa baba mkubwa amesoma degree ya uchumi anauza matunda barabarani na rafiki yake kasomea ualimu anaendesha boda boda kuna haja gani ya mimi kuenda kusoma wakati naweza...
12 Reactions
35 Replies
1K Views
Wakuu heshima kwenu. Nina vitabu vyangu nahitaji kuviprint. Tafadhali mwenye kujua kampuni nzuri au mtu mzuri kwa hapa Dar Es Salaam ninayeweza kufanya naye kazi haraka anipe muongozo tafadhali...
0 Reactions
1 Replies
140 Views
Vyuo vingi vya Kati vya Afya na Sayansi Shirikishi kuna ukiukwaji mkubwa wa haki za wanafunzi, wapo wanaofelishwa makusudi katika mitihani yao ya practical. Walimu wanatumia nafasi hiyo hasa kwa...
2 Reactions
9 Replies
354 Views
1. FARMING: Neolithic Revolution (14,000 years ago,). This IDEA helped to change the life of human being and civilization. 2. THE UNCONSCIOUS MIND: This IDEA was suggested by father of...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
TaiwanICDF Scholarship is now open till 1st march. The scholarship is full funded for masters and PhD and covers flight expenses go and return. The programs are English taught. It's so easy to...
0 Reactions
1 Replies
180 Views
Anonymous
Jamani, Hivi suala la kujengea Wanafunzi vyoo ni la wakina nani? Maana kuna shule moja Wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera inaitwa "Mugana A" kwakweli hali sio nzuri. Vijana hawana vyoo salama...
1 Reactions
0 Replies
114 Views
Anonymous
Mimi ni mdau niliyesoma Chuo Kikuu cha ZANZIBAR Tunguu Mkoa wa Kusini Zanzibar, nalalamikia kwamba katika kipindi hichi Wanafunzi tuliomaliza Mwaka 2024 - 2025 katika kozi tofauti chuoni hapo...
0 Reactions
0 Replies
100 Views
Back
Top Bottom