Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jaman kwa anauejua vitabu na vitu vingine ambavyo mwanafunz anaye soma chemistry na biology lazma awe navo NASHUKURU MKINITAJIA LIST...
1 Reactions
36 Replies
10K Views
Nimechaguliwa DMI bachelor Maritime Transportation lakini sina ufahamu wowote kuhusu hii kozi? Then ni kozi gani nzuri kati ya Maritime Transportation na Marine Engineer?
0 Reactions
23 Replies
10K Views
HIZI HAPA HATUA TANO ANAZOPITIA GRADUATE WA KITANZANIA ANAPOMALIZA CHUO. 1. Mwaka wa kwanza baada ya kugraduate.Hapa bado kitaa hakijachanganya, anakua na hope kwamba atapata kazi muda wowote...
15 Reactions
19 Replies
562 Views
Matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne yaliyotangazwa jana yameonyesha hali ya ufaulu wa wanafunzi nchini, yakitoa taswira ya maendeleo na changamoto zinazokumba sekta ya elimu. Ingawa baadhi...
2 Reactions
11 Replies
977 Views
Wakuu samahani. Je, naweza kutumia Academic transcript badala ya cheti katika kuomba leseni kwenye mfumo wa Medical council of Tanganyika (MCT)? Kwa sasa nimeuliza uku maana hamna response...
1 Reactions
7 Replies
430 Views
Wadau habarini!!! Niende moja kwa moja kwenye title. Nina mpango wa kusoma short course inayohusiana na mambo ya ICT, ili nije nijiajiri kutokana na huo ujuzi nitakaoupata. Nimeshafanya tafiti...
1 Reactions
1 Replies
254 Views
Kwa kuzingatia kichwa cha thread hapo juu,nawakaribisha kwa heshima na taadhima wadau wote na marafiki wa mazengo secondary humu ukumbini japo tukumbukie,tufahamishane zaidi kuhusu historia ya...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Samahani wanajukwaa, Ninaomba kufahamishwa juu ya kozi tajwa hapo juu inayotolewa na chuo cha Muhimbili katika hospitali ya KCMC chini ya RDTC, hususani unatambulikaje baada ya kuhitimu hiyo...
3 Reactions
82 Replies
17K Views
Wakuu naomba mnasaidie link za moja kwa moja kwa matokeo ya shule hizi mbili simu yangu ni kpengele kdogo kufungua ile link ya matokeo ya shule zote. SHule zenyewe ni 1. IHANGA SECONDARY (MBEYA...
0 Reactions
6 Replies
296 Views
Hii imekuwa too much sasa, hawa mabinti wa saint francis wanaifedhehesha Necta 😂 Division 1 ya saba kwao imekuwa kama kumpa samaka mtihani wa kuogelea, kila mwanafunzi anaibonda !! Shule imesha...
10 Reactions
50 Replies
2K Views
Kigezo cha kuajiriwa serikalini ni unyonyaji usio na mantiki yoyote. Kinacholenga kutufanya taifa lenye watu wengi wasio na elimu ya kutosha, hali inayokwamisha maendeleo ya kitaifa katika nyanja...
4 Reactions
24 Replies
677 Views
Wakuu habari, poleni na majukumu. Kuna hizi scholarship zinazotolewa na Tume ya nguvu ya Atom Tanzania (TAEC) kupitia Raisi Dkt Samia Suluhu Hassan (Maelezo zaidi yapo katika tovuti ya...
0 Reactions
3 Replies
888 Views
Wakuu chuo gani Cha veta hapa Tanzania wanafundisha kozi fupi ya steel fixing/USUKAJI WA nondo na ada yake ni kiasi gani? NB:Kama Kuna sehemu wanafundisha hata kama sio veta naomba mnielekeze...
0 Reactions
1 Replies
269 Views
Nimejaribu kuchunguza matokeo ya wadogo zangu wanaotoka form 4 kwenda kusoma advance PCB nimebaki nalia na kujiuliza hawa madogo walifaulu vipi form 4. Kuna mmoja ni best yangu sana tu form 4...
13 Reactions
229 Replies
5K Views
Wakuu samahani Je unaweza kutumia Academic transcript badala ya cheti katika kuomba leseni kwenye mfumo wa Medical council of Tanganyika MCT
0 Reactions
0 Replies
137 Views
Msaada wanataaluma wa past papers za ECA Nitashukuru sana nikifanikiwa namba yangu ya Whatsapp nitakutumia inbox ukihitaji kunisaidia
0 Reactions
5 Replies
227 Views
Nimekuwa nikipiga kelele humu JF serikali ianzishe kitu kinachofanana na EWURA kwenye maji na nishati kwa masuala ya ELIMU lakini serikali imekaa kimya kwa kuwa miradi hii ya shule binafsi ni ya...
1 Reactions
55 Replies
11K Views
Ukijua kutumia CHATGPT, GEMINI na google scholar, utaweza kuandika research project au thesiss yoyote kwa urahisi. Lugha nzuri za ki academic, translations kwa lugha yoyote, mpangolio nzuri wa...
6 Reactions
11 Replies
453 Views
Wakuu hawa watoto wetu si watavunjwa mabega dogo ameanza shule leo darasa la kwanza masomo nane. Yaani madafutari 8+ vitabu 8 jumla kumi na sita vyote anatakiwa avibebe kwenye bag, dogo ana miaka...
6 Reactions
7 Replies
386 Views
Wakuu wapi napata hizi module
1 Reactions
5 Replies
212 Views
Back
Top Bottom