Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Good Afternoon my dear brothers and sisters out there. Eti wadau, tunaweza kufuta form six?? Mwanafunzi akianza form one, aende mpaka form five (Non stop) alafu chuo?? Yaani tunaua mitihani ya...
6 Reactions
79 Replies
1K Views
VITABU HIVI NI VIZURI KWA WALIMU, NA WANAFUNZI WANATAKA KUA WALIMU VITAWASAIDIA
2 Reactions
7 Replies
202 Views
Changamoto inayowakumba wazazi wengi wanaotafuta elimu bora kwa watoto wao licha ya vipato vidogo. Ndugu wanajamii, mimi ni mzazi naomba msaada wenu kupata shule bora na yenye gharama nafuu kwa...
2 Reactions
12 Replies
840 Views
Habari ya leo, Nimeandika vitabu vya English na Math Mitihani 20 na majibu yake kila kimoja kwa shule za msingi (Darasa la Tano hadi la Saba wanaweza kuvitumia). Ninauliza nitapata changamoto...
0 Reactions
2 Replies
822 Views
Habari, Natafuta mtu au kituo chenye uwezo wa kufundisha Tally na QuickBooks kwa hapa Kahama.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Anonymous
Hii changamoto imetokea tangu mwaka 2022 ikatulazimu tuendelee kusubiri maana bado tulikuwa tunasoma , hivyo hela iliyokuwa imezidi ikawa inatumika kwa michango mingine kama direct cost na...
0 Reactions
0 Replies
115 Views
1. What is the primary function of commerce? a) Production b) Distribution c) Consumption d) Exchange 2. Which of the following is a type of trade? a) Domestic trade b)...
2 Reactions
3 Replies
715 Views
Nimesign boom Jana ya awamu ya kwanza baada ya ku appeal Sasa kwenye lo verification imekuja Moja na kwenye failed imeandika Moja apo wasiwasi wangu kwenye failed.lakin message nimetumiwa uku kuwa...
1 Reactions
4 Replies
284 Views
Kuondoa masomo ya uraia, aliyeshauri haya achunguzwe. Muhutasari huu hapa. Maboresho ya sera ya elimu. Yapo mengi ila hapa wamewasilisha machache tu...
16 Reactions
81 Replies
8K Views
Wenzetu hawalali kila siku wanapenda kujua siri za Sayari zilizopo karibu na Dunia yetu, Chombo kinachohusika na masuala ya masafa marefu ya Angani Nasa wanafanikiwa kuweka rekodi ya Dunia kuwa...
0 Reactions
1 Replies
189 Views
Last week nilikua napitia matokeo ya madogo wa form six kwa Special Schools (Mzumbe, Tabora Boys, Kibaha na Ilboru) lengo ni kuhesabu One za Tatu yaani ni za kutafuta kwa tochi... Nimeambulia...
103 Reactions
249 Replies
65K Views
Mwanza ni moja ya mikoa michache Tanzania iliyo na vibe la aina yake,kuna watu huvutiwa na mkoa huu kwa kuishi, kusoma ama kufanya kazi,kwa wale wanaotafuta vyuo mkoa wa mwanza hii hapa orodha ya...
4 Reactions
19 Replies
5K Views
Tangazo la nafasi ya kozi fupi ya udereva wa treni chuo cha reli (TANZANIA INSTITUTE OF RAIL TECHNOLOGY -TIRTEC). Nimeambatanisha tangazo husika.
2 Reactions
0 Replies
461 Views
naombeni msaada kila nikitaka kujirejista cas naambiwa vocha no does not exist...tatizo ni nn??naomba msaada tafadhali
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Hi elimu ya Tanzania ni pasua kichwa, alf viongozi wetu wa elimu wanaona kila kitu kiko sawa tu, mitano tena
1 Reactions
12 Replies
373 Views
Wadau naomba mwenye PDF ya hiki kitabu anisaidie
1 Reactions
99 Replies
26K Views
Nimepata nafasi ya kuchaguliwa na vyuo viwili hapa Tanzania chuo cha kwanza nimepangiwa kusomea civil engineering na chuo cha pili nimepangiwa kozi ya computer engineeringi. Wana JF nipeni...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Habari wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nimechaguliwa kujiunga na chuo cha DIT (Dar es salaam) pamoja na MUST(Mbeya) katika course ya computer engineering. Swali langu ni je, niende...
4 Reactions
11 Replies
676 Views
Wakuu mwenye kufahamu chuo nchi za nje kinachotoa hii kozi naomba anifahamishe, au kama kuna anaesoma hii kozi pia naomba anifahamishe
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Changamoto za Wanafunzi Walionufaika na Samia Scholarship – Ombi la Msaada Tunapenda kuwasilisha changamoto zinazowakumba baadhi ya wanafunzi walionufaika na Samia Scholarship katika Chuo Kikuu...
1 Reactions
0 Replies
282 Views
Back
Top Bottom