Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hii ni shule ya vipanga tuu inapeperusha bendera ya Mkoa wa Mbeya . https://www.instagram.com/p/DFKnRXhsulD/?igsh=MTVmc2J1OGY3OHFkMA== Shule Bora Tanzania nzima 👇👇...
7 Reactions
51 Replies
1K Views
Habari wakuu, dogo amepata Div IV ya 28 Maths F English F Kiswahili C History C Geography D Biology D Civics D Naomba ushauri asomee kozi gani ? Nataka mpeleka Certificate then Diploma.
1 Reactions
1 Replies
110 Views
Habari za muda huu, Wengi wetu humu mmesoma na wengine matokeo ya form four hayakua mazuri. Kuna watu wanarudia na matokeo yanatoka mapema tuu.. Kwanini kusiwe na uwezekano wa mitihani ya...
1 Reactions
0 Replies
223 Views
PADRI Daktari Charles Kitima alipoteuliwa kuwa makamu mkuu wa Chuo Kikuu cha Mt Agustino (SAUT), Mwanza mwaka 2004, hakuna aliyekuwa na wazo kwamba miaka kumi ya uongozi wake angeweza kufanya...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Kulikoni siku hizi kwenye elimu ya nchi hii.? Ni kwamba sisi zamani tulikuwa na uwezo mdogo wa kiakili ama la? Au zamani elimu ilikuwa ngumu? Au watoto wa siku hizi wana akili na uwezo mkubwa...
4 Reactions
63 Replies
2K Views
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) halijawahi kupata tena Katibu mkuu mtendaji maarufu kuliko Prof. Joyce Ndalichako, huyu mama ilikuwa ikifikia wakati wa kutangaza matokeo ya NECTA ya darasa la...
8 Reactions
16 Replies
413 Views
Hello Wasailiwa Watarajiwa wa Ngazi ya Ualimu katika Utumishi (PSRS), For those of you preparing for the Utuminshi recruitment exams (both Written Test and Oral Interview), we recommend checking...
0 Reactions
0 Replies
329 Views
Mambo vipi Mwanangu amepata 1:13 sasa Pysics B, Chem B, Biology B, Computer A, Math A Comb PCM imekubalk na PMC HIVI NIKIMPELEKA PCM form Six Je hivi ataweza kweli kuwa na machaguo mengine chuo
3 Reactions
5 Replies
185 Views
Wanabodi, Tupo katika kile kipindi cha mwaka ambacho kama kawaida, tuna rubuniwa kwa maneno matamu. Maneno matamu yanayoweza kutoa nyoka zaidi ya kumi pangoni. Ni kweli, hakuna marefu yasiyo na...
0 Reactions
0 Replies
430 Views
Yamekuwepo mazoea mabaya sana ya kutowafuatilia wanafunzi wanaoshindwa katika mitihani ya upimaji ya kidato cha pili.Yaani mtoto na mzazi wanaamua wenyewe kama iwe mwisho wa kusoma au arudie...
1 Reactions
6 Replies
244 Views
Matokeo ya Darasa la saba hupangwa kwa Mkoa/wilaya kitu ambacho ni kizuri na hata mtu akitaka kuperuzi shule za Wilayani kwake anaweza kuziona zote kwa urahisi. Au pengine waweke option ya...
0 Reactions
5 Replies
209 Views
Anonymous
To: President, Bishop Wolfgang Pisa, OFM Tanzania Episcopal Conference (TEC) Kurasini Centre P.O Box 2133 Dar es Salaam. 7 January 2025 Mhashamu Baba Askofu Pisa, YAH: MAMBO YANAYOISIBU...
6 Reactions
29 Replies
4K Views
110+100÷2=160 100+110÷2=155 msaada tutani....
3 Reactions
9 Replies
252 Views
Habari zenu ndugu zangu naomba kuuliza hivi Kuna shule za English medium za serikali? Hapa Tanzania kama zipo mnaweza kuzitaja jina na mikoa zilipo
0 Reactions
9 Replies
453 Views
Shule zetu zinafungwa na kufunguliwa siku moja nchi nzima. Inawezekana wazo hili lina nia njema na manufaa. Hata hivyo, naona utaratibu huu una changamoto ambazo zina athari kubwa mno kwa...
3 Reactions
24 Replies
651 Views
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika kuanzia Novemba 11 hadi 29, 2024 huku matokeo ya wanafunzi 67 wakiwemo watano walioandika matusi...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Ni ukweli usiopingika kuwa miongoni mwa nyenzo muhimu katika kujifunza maarifa fulani ni lugha, lugha ndiyo hutumika kuhifadhi maarifa mbalimbali lakini pia ndiyo njia ya mawasiliano. Kila taifa...
0 Reactions
0 Replies
212 Views
Hello habari kuna dogo kaamua kuacha kozi ya clinical medicine na kwenda kozi ya ufamasia ,na alikuwa anafanya vizuri tu sasa ilikuwa anakarbia kufanya mtihani wa cat one mwaka wa pili kaamua...
4 Reactions
22 Replies
906 Views
Salaam jukwaa, Nimefaulu division3 kwa KemiaD, Biologia C, English C, B/mathD, Fizikia F na mingine yaliyo bakia nimepass naweza kupata nafasi Muhimbili(MUHAS) kuanzia ngazi ya cheti na...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom