Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Natumai barua hii itakufikia salama. Mimi ni mzazi wa mwanafunzi aliye katika Kidato cha Pili katika Shule ya Sekondari Mkuu, wilayani Rombo. Nimeandika barua hii kuwasilisha maswali na malalamiko...
2 Reactions
13 Replies
358 Views
Wapi vijana bado wanasoma BA Archaeology ili waje kufanya kazi wapi?
1 Reactions
6 Replies
208 Views
1: Barabara Mbovu na Mashimo Yasiyozibwa Mara tu unapoingia kupitia geti kuu la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, pale mwanzo kabisa,(njia panda ya chuo) hali ya barabara sio nzuri sana . Barabara ina...
0 Reactions
1 Replies
141 Views
Samahan sana ,,wana jf wenzang nilikuwa naomba mnijuze kuhusiana na hii kozi mpya ya biomedical engineering inayotoa diploma tu kwenye vyuo viwili Tanzania ambapo ni DIT na ATC pekee .Nilikuwa...
0 Reactions
34 Replies
20K Views
Nimepata taarifa miaka kadhaa ya nyuma DIT ilikua inatoa hii course. Naomba kujua kwa upana kidogo inahusika na vitu gani? Kwa wenye taarifa au utaalamu wa hii course pia ajira zake ziko vipi
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Tafadhali! naomba ushauri juu ya kusoma diploma kozi ya Biomedical engeering.nimemaliza kidato cha sita PCM nimepata DEE Degree nadhani nafasi ipo kwa upande wa education tu! nami huko sitaki...
2 Reactions
49 Replies
5K Views
Mwenye uelewa wa kozi tajwa hapo juu naomba anipe ufafanuzi. Hii kozi inahusiana na nini? Ili uweze kusoma hii kozi unatakiwa usome mchepuo upi? Ukisoma hii kozi unafanya kazi gani na wapi? Je...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu nilikuwa naomba kujua kiundani juu ya kozi hii ya electrical and biomedical engineering. Je, unaposoma cozi hiyo utajishughulisha na ufundi wa vifaa vya tiba au na umeme kwa ujumla. Ahsanteni
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Je ni kozi nzuri?
1 Reactions
15 Replies
4K Views
wana jf naomba msaada! kuna kipindi serikali ilipiga marufuku kufundisha tuition mashuleni. mwaka gani? nani alikuwa waziri? sheria( policy) gain ilitumika? asanteni
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Vipo vitabu used vya waandishi wafuatao💃🕺 MEP, TIE, Oxford na Adamson na kireri Vinapatikana dar es salaam 🇹🇿 vipo vya primary na secondary baadhi karibu sana unaweza kununua Kwa Bei ya jumla pia...
0 Reactions
2 Replies
202 Views
Pakua vitabu Kwa ajili ya mwañao Thanks
5 Reactions
14 Replies
17K Views
Wapendwa habari ya uzima wetu. Samahani naomba msaada Nahitaji kufanya maombi ya nafasi kwa vyuo vya afya vya kati lakini sielewi dirisha linafunguliwa lini. Tafadhali naomba msaada kwa aliyewahi...
3 Reactions
2 Replies
189 Views
Anonymous
Kitendo Cha Shule za msingi ndani ya manispaa ya Urambo mjini mkoani Tabora kuwaruhusu wanafunzi wa madarasa ya la Saba kutoka shule Muda mbaya kuanzia saa mbili mpaka saa tatu usiku kunawaathiri...
0 Reactions
0 Replies
55 Views
Msaada natafuta mwalimu wa "wildlife ecology" anaye patikana dsm.
3 Reactions
11 Replies
253 Views
Wakuu, I am looking for Advanced Math Books Vol I and II by TIE/Kinunda. I will accept used copies at reasonable prices. Natanguliza shukrani.
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Naombeni ushauri wanaJF, nina I.9 O level na nataka niende Diploma coz uwezo wangu mkubwa upo kwenye vitendo kuliko kukariri.
3 Reactions
16 Replies
524 Views
Nacheti cha diploma ila haina usajili wa nacte una usajili wa veta ila sijasomea veta nimesomea chuo cha kati hapa nilipo so kama sasa vyuo vyote vya sasa vimesajiliwa na nacte kwakutumia cheti...
6 Reactions
15 Replies
452 Views
Habari ndugu zangu katika elimu! Mimi nimekuja kutafuta ushauri wa kituo gani kizuri kwa masomo ya QT, Kinachopatikana kinondoni, magomeni, Morocco, studio au maeneo karibu na hayo. Nahitaji...
2 Reactions
16 Replies
7K Views
Back
Top Bottom