Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani is it true kuwa mikopo/grant kwa wanafunzi wa medicine huwa ni 100%. Nauliza hivyo maana private medical schools zina bei kubwa sasa wanatoa hela yote au wana sealing.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nenda kwenye profile yako, then application for 2nd round, ingiza code ya chuo unachotaka, harafu confirm selection, utofauti uliopo kwa new applicant na wale 2nd application ni kwamba pale...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Aliye nazo naomba azipost:A S cry:
0 Reactions
13 Replies
12K Views
jaman mbona list of selected student to join St joseph university dsm kwenye web yao majina ya waliochaguliwa kujiunga na information system na network engineering siyaoni au kwangu peke yangu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
please nipo kijiji kidogo no cafd and phone hqngu haina pdf!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jaman m naomba msaada kuhusu hik chuo cha Duce,tarehe ya kuripoti chuon kwa mwaka wa kwanza n tarehe ngapi kwa mwaka huu? Ahsant!
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kachaguliwa st John's ya dar (st mark's) BAF lakini yupo saut anapiga pre entry programme BBA in procurement anaomba ushauri aende wapi, na wapi kuna soko kubwa la ajira?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
wako wapi wale wataalamu walokuwa wanavujisha habari za tcu mbona kwa sasa mmekuwa kimya anzeni lingine basi manake la tcu lilikuwa linawalaza macho
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kufahamu,et pana tofauti kati ya hivi vitu,masters v/s postgraduate?kama ipo naomba niambiwe,sambamba na ufafanuzi wa kina kwenye maneno hayo.Ombi!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wale sua agrieco obvious 2takuwa mincampus co mbaya 2kajuana
0 Reactions
13 Replies
2K Views
jaman wana jf kwa wale wa udom naomben mnijuze first year tunafungua lini,,,ili tuweze kujiandaa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Oparation Sangara Mkoani Morogoro imekutana na shule yenye wanafunzi 652 na Mwalimu mmoja tu. Shule hiyo ipo katika Kijiji cha Kadodo Kata ya Luale, Mvomelo Mkoani Morogoro. Hii ndo hali halisi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
jaman naomben msaada mimi nilisoma HGE na nili fell bam o and a lavel af wakanichagulia bach. science in agricultural economica and agrobisness SUA vip kwanai hii mambo ina mahesabu sana?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Je kwa wale wenye diploma walio apply vyuo through tcu, admission vipi, au ndo tuvute subira? Msaada.
0 Reactions
2 Replies
841 Views
Kuna fucult zifuatazo zinanipa kiwewe kuzielewa.... 1.Bachelor of Arts in Education 2.Bachelor of Education in Arts ipi inayobeba somo 1 la kufundishia?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau hebu tujuzane hapa. kwa kiasi fulani mimi ni mdau wa hizi mambo from web za torrentz, nlichosikia kwa baadhi ya watu ni kwamba hizi webs zina alot of malwares thats why walio wengi...
0 Reactions
2 Replies
981 Views
heshima yako. mimi ni mhasibu nipo Korogwe napenda kufanya mitihani ya Bodi nikianzia module E, tatizo nililokuwa nalo kwa mkoa wa Tanga hakuna review center; kwa maeneo ya mikoa jirani kama DSM...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Walimu walio wengi walitegemea kushiriki ktk zoezi la sensa lakini kutokana na serekali kuwacha na kuchukuwa watu wa kada nyingind kwa kinachodaiwa ni kushiriki ktk mgomo kwa maoni yangu kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
CHUO GANI KIZURI DSM, UKIACHILIA MBALI UDSM,OPEN NA Dit
0 Reactions
8 Replies
2K Views
loan board mkopo lini
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…