Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Japo ckukiomba hiki chuo ila cna budi kusema asante " tcu " sasa 2juane wenzangu wa " TANGA "
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Haya sasa UNIVESITY OF DAR ES SALAAM wametoa selections zao ingia hapa http://www.udsm.ac.tz/userfiles/2012-8-21-13-53-59_admissions%20direct%202012%202013.pdf mliopata hongereni sanaaaa!!!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hawa tcu wanacheza 2 con kama wanafanya kazi mara ur admitted baada ya muda eligible ukirefresh wanakupa na chuo ulichochaguliwa tatzo likaja kw wengine walio mbali na info tech mpk wanakuja...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani naomba msaada kunabinamu yangu kachaguliwa chuo ambacho hakuomba ila kwenye Selection status yake ya chaguo la kwanza hajaandikiwa chochote ila chaguo la 2 hadi 8 kaandikiwa not...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jaman waheshimiwa ni vizuri tufahamiane wote tunaoenda bukoba Saut ile tuanze kupunguza gharama za gesti pakufikia tuki lala wawili chumba kimoja sio mbaya waungwana apa sasa tutiririke....
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Oi...!!!wadau wa tcu sasa kachek post yako....:israel:
0 Reactions
1 Replies
895 Views
Tcu
Hatimaye wamerudi tena tcu
0 Reactions
1 Replies
781 Views
wakuu tusijesikia izo furaha zinakua matunda ya supp na disco mkienda mlipopangiwa fanyeni shule! Nawasilisha wadau
0 Reactions
59 Replies
4K Views
Wakuu heshima mbele kuna kadogo kangu, status bado inaonyesha not processed, siku chache zilizopita ilionyesha Admitted. Naomba namba ya TCU au mwenye ufahamu kuhusu nini inaweza kuwa tatizo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu,nadhani tatizo kama langu limewapata wengi,niliomba vyuo kulingana na uwezo wangu,na anaeni spons yupo dar,na anataka niwe pale ili asiingie cost kubwa katka kunisaidia kimaisha,lakini cha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jamani frnds mfungue katika profile zenu na kuangalia chuo na corse uliyo pangiwa
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nataka kujua hivyo kwasababu mdogo wangu kapelekwa IFM ambako hakuomba kabisa, na hakuna kozi hata moja alizoomba. kama ndo hivyo kulikuwa na ulazima wa kuomba vyuo na kuchagua kozi, huu usumbufu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
upi ni ukweli kuhusu TCU jamani? nimeangalia zaid ya applicants 12 profiles zao ziko marked NOT YET PROCESSED sasa nielewe lipi ndugu zangu nisaidieni tu.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau mi so mwenyeji humu,ila naomba ushauri juu ya hii coz ya bachelor of ed with ICT ya Udom,nimechaguliwa ila cjajua kama ni kusoma comp peke yake ili kuja kufundisha comp,au unapewa masomo ya...
0 Reactions
0 Replies
845 Views
TCU sasa wanaonyesha selected. Nenda kwenye akaunti yako, then view my selection status. Watoto haya.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Proud to be Mwana SUA....
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tembelea profile yako
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuanzia leo asubuhi ilikuwa m2 uki-login unakuta umeandikiwa chuo ulichochaguliwa ,lakin cha kushangaza kuanzia saa 10:00am leo wameondoa tena,Kwa kweli mm cwaelew
0 Reactions
10 Replies
1K Views
This is to ask TCU, what should we stand to believe? As of now, true statements can not be said with regard to your deeds!!!!
0 Reactions
0 Replies
821 Views
nenda kwenye my profile yako UTAKUTA KILA KITU KIMEWEKWA NA T,C,U
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…