Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nashindwa kuelewa taasisi zinazoanzishwa Tanzania kwetu hapa sijui huwa tunapata wapi ushauri maana more often than not zinakuwa zina disadvantages kibao kuliko hata advantages. Kama kwa hali...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
ndugu wana JF napenda kuwapongeza form 6 wote kwa kuonyesha ushirikiano mkubwa humu jamvini. . .pamoja na hayo ndugu wote wanajamvi kwa ushirikiano huohuo naomba tufanye kitu kimoja kiustaarabu...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii akaunti sikuzote ilikuwa sawa lakini leo inaniambia NO Application done.USHAuRi NICHUKUE HATUA GANi?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa taarifa nilizopata sasa hivi ni kwamba nimekosa kozi zote mbili nilizojaza UDZM na wewe kama umejaza udzm kozi zifuatazo check hz cut-off point then utajua kama umo ama ndo ushapigwa nje ...
0 Reactions
285 Replies
25K Views
Uwezi amini ila ukweli ni kwamba leo nimeaangalia selection status yangu nakutana na ujumbe kwamba sijafanya selection yeyeto huu sasa si kutiana presha tu au? Nakumbuka fika kabisa kwamba jana...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
wakuu,kuna ubishi umetoke huku kitaa,kwa wale mliocheck selection za udsm,pale kwenye results za o-level ambapo grades zako ulizpopata kwenye masomo znapomalizika,kuna grade nyingine inakua...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Wadau wa jf kwani inakuwaje second round appl inatoka wakati selected students bado au kuna siri hapo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
News Announcement to the prospective applicants on the second round of application Tanzania Commission for Universities (TCU) informs all prospective applicants that...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mheshimiwa Zambi wakati ana changia bajeti ya wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi amekimwagia sifa chama cha mapinduzi na serikali yake kwa kujenga shule nyingi za kata. Lakini wakati huohuo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
tunajifunza nini,mtazamo gani juu ya tcu tunauweka,hawa walioupload wapepata wapi nyaraka hizi za umma,wadau wa elimu twajenga twabomoa? Na nyinyi waselectiwa mnashangilia 2
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Ingia kwenye website yao uangalie
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani uteuzi wa wanachuo ulitumia kanuni gani? Kama wenye principle pass na subsidary wanaachwa, tusomee kozi gani? Je wanajanvi nisaidie kunanjiagani nyingine ili nipate nfsi ktk vyuo vya serikali?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika kile kinachoonekana kutokurudi nyuma katika kupigania haki zao,walimu ambao waliitwa kusahisha mitihani ya mock kidato cha sita kanda ya mashariki ikijumuisha mikoa ya Morogoro na Pwani...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani bungeni bajeti hiyo yasomwa now,tafadhali tuijadili
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tembelea www.tcu.go.tz upate habari mpya za second round application!
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Habari za tetesi; selection za tcu kutangazwa hii leo ama mapema juma lijalo. www.tcu.go.tz/info/news/view_news.php?id=84 Link hiyo, nimeifungua tayari ..just endelea frm there Note: Website ya...
3 Reactions
160 Replies
22K Views
ivi inawezekana mtu kuama chuo kimoja na kwenda kingine kwa mwaka wa kwanza..mfano nimepangiwa mzumbe statistics au agri economics ya sua na nnataka kwenda bsc in maths UDOM au architecture...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Kuna coz ya textile design and technology nimechaguliwa udsm ila naona kama ni ufund cherehan nilichotaget ni mkopo na sio coz
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Wapendwa eti kwenye course ya procurement kuna mahesabu
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habr wana jf natumain mpo vema na mnaendelea na harakat za maisha ya kila siku. Samahan wakuu naomba kujuzwa ipi ni koz nzur kat ya hzo hapo juu nina mdogo wangu amepata chuo cha kilimo kaole...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…