Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kusema kweli hii nchi inatia kinyaa na uongozi huu wa CCmMagamba inakuwaje vyuo vinafunguliwa next month then mpaka wa leo hakuna selection ya wanafunzi so watajiandaa vipi??Hakuna dawa nyingine...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa anayejua 7bu za tcu kuchelewesha sellection!! na kwa anayejua zitatoka lini? japo hata tetesi!! Nawasilisha hoja..
0 Reactions
22 Replies
4K Views
waliochaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha dar es salaam 2012/2013
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habr wakuu? Samahan kuna hyo koz inayotolewa Katika chuo cha mbegan fisheries institute je hii koz ipo vp wakuu? Na kuhusu ajira yake huko mbelen n vp? Nawasilisha kwenu.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana JF naomba msaada wenu mwenye kujua utaratibu wa kupata scholarship za china kupitia wizara ya elimu. Maana nimepata official email toka China kuwa nimepata nijiandae kwa safari document...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
a good piece i came across.Naomba tufungue hii link hapa tusome wote. www.thecitizen.co.tz/magazines/33-success/24681-poor-cv-skills-cost-me-a-job.html
0 Reactions
2 Replies
923 Views
Wanajamvi You can study either at Harvard or Stanford for free. The once despised Open Distance learning degrees are now geared to overtake campus based degrees. Be the first to study the degrees...
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Loans Board imetoa majina ya undergraduates walifanya makosa mbalimbali katika ujazaji wa forms zao za mikopo, lakini hawajasema nini wanatakiwa wafanye ndio kusema imekula kwao au ndo nini...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
mnaziangalia kwa link ipi?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jaman kwa wale wote walioomba kusoma chuo kikuu cha kiislam Morogoro matokeo yao yametoka yanapatikana kwenye gazeti la Al nur
0 Reactions
18 Replies
22K Views
Imeandikwa sana kwenye vyombo vya habari kuwa kuna madenti wana desturi ya 'kujiuza' na hata baadhi ya vyuo vimetajwa tajwa kama vile IFM, SAUT, UDOM na hata Mabibo Hostel imehusishwa. Kisha...
3 Reactions
37 Replies
14K Views
tcu ina matatzo gani?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mwaka 2011 tcu selection statstcs; total:40000 selected:31000 unselected:9000 ...mwaka huu je itakuaje!?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Haifunguki,au ni kwangu tu?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
LIST 1 LIST 2 LIST 3 FUNGUA HIZO LINK UONE KAMA UKO KTK LIST HIZO.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa mwalimu mwenye Diploma ya ualimu akisoma Kozi ya ''public administration and education'' je mwalimu atawekwa upande wa uongozi katika nyanja za elimu, je mhusika ataweza kupata kazi wapi...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
kuna scholarships mpya check out www.scholarshipshare.web.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ingia kwenye site www.tcu.go.tz APPLICANTS WITH MISSING INFORMATION INTO THE 2012/2013 ADMISSIONS THROUGH CENTRAL ADMISSION SYSTEM Utaona kichwa hiki cha habari ingia humo ucheki, kama haumo...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Ukiangalia kwa wenzetu kuna vyuo vinafundisha michezo mbali mbali, na wanaosoma kozi hizo ni wanamichezo. Mfano caster semenya ni mwanafunzi wa university of pretoria, anasoma sports science. Huku...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwanza nitangulize shukrani zangu kwa wote mliopitia uzi huu na wote watakaotoa msaada ahsanteni.naomba yeyote mwenye link za kuweza ku-download katiba ya jamuhuri ya muungano wa tanzania.najua jf...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…