Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Asalaam alyekum wadau wote.. Hakika jana baada ya kumwona mwakilishi mmoja wa nchi yetu huko London akipewa kichapo kama mtoto.... Nina wasiwasi saana na tutakachokipata huko olympic 2012 London...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba wote wanaochukua masomo ya History, kiswahili, na Language waweze kujitokeza ili tuweze kubadilishana ideas kuhusu masomo hayo, tuone nikwanamna gani tunaweza kufaulu vizuri masomo hayo...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
jamani tcu msiendeshe mambo kisiasa mlisema matokeo yatakua mwezi wa 7 mwanzoni mara tarehe4 mara...............
0 Reactions
14 Replies
2K Views
me nina bachelor tofauti na ualimu lkn maisha yanaonekana kubana mtaani zaidi ya mwaka bila kazi. nataka kuomba nafasi ya kufundisha kwa wizara ya elimu. utaratibu ukoje? msaada kwa anaejua
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naombeni msaada wana JF. Ni sababu zipi hupelekea mwalimu kuomba au kupewa rushwa ya ngono?
0 Reactions
62 Replies
7K Views
Umemaliza chuo kikuu mwaka huu mwezi wa 6,haraka mwezi wa 7 ukapata kazi, matokeo ya semista ya mwisho yanapotoka ukakuta una SUPP, je utatoa sababu gani kwa waajiri ili kuondoka kwenda kufanya SUPP?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nipo Mtwara,wapi naweza soma Accounting packages? Mwenye kufaham chuo au mtu anaeweza kunifundisha plz anisaidie.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi nimekuwa nikifuatilia maandamano ya hawa wanafunzi wa vyuo vikuu na nikagundua kuna matatizo makubwa ambayo watu hawayaongelei. Gharama za kumsomesha mwanafunzi mmoja hadi kumaliza shule ni...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Sisi ni vijana tumeamua kuunda mfumo wa kusajili wanafunzi wa vyuoni,sekondari na taasisi mbalimbali za kielimu kwa njia ya on line na tayari system imekamilika almost kwa 100%.Lengo hasa ni...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Serikali ilifunga shule zake zote za msingi na sekondary kuanzia August 3 hadi September 9/2012. Sababu zilizotolewa zilikuwa walimu wangeshiriki katika zoezi la sensa. Sasa kuna ushahidi kwamba...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Uongozi wa chuo kikuu cha dodoma (udom) kipo kwenye mazungumzo na serikali ya wanafunzi ili kiweze kuwasaidia wanafunzi ambao mpaka sasa hajaona matokeo yao nahuku wakitakiwa kufanya supplementary...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Poleni na majukumu wakuu. Ndugu zangu, naombeni msaada wenu. Nina mdogo wangu alipata field sehemu flani lakini ghafla jamaa wakaja kucancel na kusema hawatachukua watu wa field this year...
0 Reactions
1 Replies
946 Views
Hii ndo CV ya mbunge anayewakilisha wananchi wa Temeke. Mimi sijawahi kuona hata siku moja either akiuliza swali au kuchangia lolote bungeni, nahisi yuko pale bungeni ili kutoa sauti ya NDIYOOO.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Chuo kikuu cha Dar es salaam kimeshika namba 11 Afrika, ikiwa namba 1 Afrika Mashariki, huki Nairobi kikishika namba 14 au namba 2 A.M. Zaidi fungua link2012 World University Ranking | Top 100...
0 Reactions
70 Replies
7K Views
SHORT COURSE ANNOUNCEMENT ON DATA PROCESSING AND ANALYSIS (To be conducted in MWANZA) The Department of Statistics, School of Mathematical Sciences is announcing a short course on “DATA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa waliokuwa mahakama kuu kanda ya arusha jana tarehe 3/8/2012; kuna kesi inayoendelea kati ya Principle Prof MONYO na Lecture ATHANAS CHALE. Upande wa mashtaka (MONYO) alikuwa na shahidi SABDAT...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Wengi mnafahamu SHULE ZIMEFUNGWA ILA DARASA LA SABA NA LA NNE BADO WANAENDELEA NA MASOMO WAKIJIANDAA NA MITHANI YA TAIFA. L eo nilipoingia darasa la saba kufundisha nimekuta watoto wanamjadala...
9 Reactions
45 Replies
5K Views
Sasa basi kama elimu si muhimu kwa nini ccm walipendekeza elimu ya mgombea uraisi iwe ni angalau undergraduate?? si wangeacha raisi akawa wa std 7? Angalia na huyu? miswada hii inayoletwa kwa...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
JF members heshima kwenu. Mi ni mwajiriwa wa serikali kada ya uasibu na nipo mkoani sehemu ambayo siwezi kusoma jioni na mbaya kutokana na nafasi yangu ya kazi kwa kipindi kirefu nimetaka kwenda...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
kwa wale wenye ufahamu wa kozi hii kwa ngazi ya diploma wanijuze kwa upande wa upatikanaji wa ajira..! Nitashukuru sana.
0 Reactions
17 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…