Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

kama umekua ukitafuta sehemu ya kuweza kuapata vitabu mtandaoni una unapata tabu sasa ingia hapahwwmhh:A S 465:
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kumekuwa na tuhuma mbalimbali zinazotolewa katika magazeti juu ya ufisadi unafanyika katika Vyuo vya elimu ya juu. kwa mfano kuna tuhuma za ufisadi katika Chuo Kikuu cha Tanzania na Chuo cha...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Chuo kina maprofesa takriban 200..ndo chuo kinachoongoza kwa kua na maprf wengi tanzania na afrika mashariki...ni chuo cha kwanza tz kutoa prof mwanamke(jina kapun msigundue mapema) ...ni...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Huyu senator ndo alikuwa na true information about TCU kaka kama uko around tujuze Hizi selection za TCU zimefikia wapi? Coz hawa jamaa wengine wanakuja na taarifa zisizo na ukweli ndani Yake..so...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
je ni lazima kuonyesha GPA uliyopata kwenye CV yako?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Member of Parliament CV GENERAL Salutation Honourable Member picture First Name: Sylvester Middle Name: Mhoja Last Name: Kasulumbayi Member Type: Constituency Member Constituent...
0 Reactions
106 Replies
11K Views
Umoja wa Maendeleo Nahitaji anzisha Chama cha kijamii katika Kata yangu ambacho hakitakuwa na itikadi yoyote ya kisiasa, jinsia wala rangi ni kwa ajili ya kuhamasisha maendeleo katika kata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wakuu, nimesikia kuna chuo kipya cha ualimu huko mafinga karbu na kambi ya jeshi JKT, naomba kuuliza wanatoa dip au certificate? je wanafundisha masomo gani? wataanza lini? naomba msaada...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
cost of capitalThe opportunity cost of an investment; that is, the rate of return that a company would otherwise be able to earn at the same risk level as the investment that has been selected...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
WanaJF naomba kujuzwa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Inauma sana pale watoto wa masikini wanaponyimwa mikopo kwa majibu ya bajeti haitoshi eti sababu sungura mdogo,hii haikubaliki ukizingatia bajeti ya elimu bado haijapitishwa hivyo sioni sababu ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Rais wa Chuo Kikuu cha St.Augustine Mwanza Bw.Malisa Godlisten EJ, amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa shirikisho la vyuo vikuu vinavyomilikiwana baraza kuu la maaskofu Tanzania (TEC), na...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau nime login leo tcu,nakukuta zilizokuwa elible zimetoweka na kuwa eligible zingine (yani kinyume chake vp wengine?) maana kuna wengine wameshata chuo yeyari mf.kairuki.Nisaidieni nijue.
0 Reactions
27 Replies
3K Views
kwa kweli huyu jamaa kwel ni aina ya marais tunao wahitaj Afrika.kuna mwanaJF Ajuaye CV ya huyu mkuu,atujuze
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari zenyu wana JF? Kwa wale 1st aplplicants ni wazi kwamba selection ni kama imetoka kwani tayari 2nd application ipo on.kilicho baki ni watu kujua wamepangwa wapi.kwa wale ambao...
2 Reactions
77 Replies
12K Views
Oya masela, chekini chekini emails zenu, tcu mambo teyari bwana wamesha anza tuma selection za vyuo! Namshukuru mungu nime-receive mail ya selection yangu. Ila Siyo kwa vyuo vyote, so kwa yeyote...
2 Reactions
65 Replies
6K Views
Jamani hili ni tatizo wale wa SAUT MWANZA waliopo field hawajapewa hela zao mpaka leo na next week field inaisha, sasa wanadhani watu wanaishije huko mikoani. Tanzania haitaendelea kamwe kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello, in Tanzania to find duo professionals in three years is very rare case, but believe me there graduates who have been awarded bachelor of science in taxation at The Institute of Finance...
0 Reactions
0 Replies
802 Views
Denti wa elimu ya juu akitumia juhudi na maarifa ili asiliwe kichwa kwenye paper la uchumi. Paja limepigwa na rubber band nondo isiteleze wala isicheze cheze eneo husika. Hana noma wala nini...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom