Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Niliomba land management n valuation then ikawa eligible, to my suprise ni kwamba sasa hv haiko qualified.. Does that mean wa2 wamenishnda bahati au kiwango?
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Life is full of problems. The more you solve them, the more new ones come up. And you can sweep problems under the carpet or run away from them. Wherever you go, sooner or later there will be...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dr Shukuru Kawambwa atakuwa Clouds FM kuanzia saa mbili kuzungumzia mgomo wa Waalimu unaoendelea nchini. Nakuomba umfuatilie na kutujulisha kinachoendelea...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kila mgomo unaotangazwa kwa maslahi ya watumishi au kundi fulani ktk jamii siku zote serikali hii hutoa tamko kuwa si halali kisheria japo lengo la mgomo ni halali. Nashindwa kuelewa uhalali wa...
0 Reactions
0 Replies
986 Views
Sipho "Hotstix" Mabuse finishes South African school Sipho "Hotstix" Mabuse went back to school after more than four decades South Africa's President Jacob Zuma has praised top musician Sipho...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hivi kwann Tanzania inaitwa She na sio He
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Natoa ushauri kwa maafisa wanaozunguka na fomu kuwa waache mara moja, nadhani wamefanya taathimini na kuona hali halisi nawashauri kwa kesho wasifanye hivyo tena vinginevyo wasije kutuona wabaya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Lakini, Sasa; umefika wakati wa waalimu kudai haki kwa Nguvu ya Pamoja. Bado nina mashaka kwa uwezo wa CWT kufanikisha mgomo huu. Je! Ni nani aliye tayari kuwaunga mkono waalimu? Na aseme sasa!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Inasikitisha,na kushangaza,kusikia eti baadhi,ya maeneo,walimu wa primary hawakusaini fomu za kuunga mgomo,wakati wao ndo wana hali mbaya ya mishahala midogo! Uu tuuite ujinga au..?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Huyu mwanafalsafa na mwanaharakati alisema,few shall sacrifes themselves,for the betterment of the whole!kwahiyo hiyo 4.7% ambayo ipo nyuma isituogopeshe.Tuendelee kusonga mbele,mpaka kieleweke.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wapendwa wapenda maendeleo wenzangu, nimepata offer ya admission, Institute of Education, University of London lakin sijapata Scholarship nami siwezi kujinusuru. Naomba wazalendo nisaidieni links...
0 Reactions
0 Replies
927 Views
Heshima yenu wakuu,naomba kujuzwa kwa anayejua kama OUT wametoa majina wanaojiunga na masomo ya 2012/2013,kama hawajatoa je wanategemea kutoa lini? nimejiunga na kozi ya degree.Thanks
0 Reactions
4 Replies
5K Views
kwa wenye uelewa wa hiyo koz hapo juu..hapa bongo iko vp?? future yake je??
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Jamani,kwa wale wenzangu na mimi tulio apply vyuo kupitia tcu,sijui kama tatizo ni langu peke yangu au tuko wengi.ni hivi,hadi kufikia jana kozi zangu zote 6 nilizokua nimeaply zilikua zimeandikwa...
2 Reactions
63 Replies
5K Views
Jamani nina hisi wanafunzi wengi watafeli sana mwakani. Kwa kuanzia kudodosoa nianze na hawa wa kidato cha pili wengi hawana sifa za kuwepo katika kidato hicho kwasababu zifuatazo, wengi hawana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kujua ikiwa kama walimu wametii amri ya chama chao, ya kwamba kimeshindwa kufikia suluhu hivyo wagome au wametii kauli ya serikali inayoema "suala lipo mahakamani" hivyo waendelee na kazi...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Haya wadau karibuni kunako matokeo ya scholarship za China 2012/ 2013
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau hebu tujuzeni huko mlipo,walimu wanaendeleaje na mgomo wao?maana hapa ndo sehemu yetu muhimu ya kupeana taarifa.Tupeni dira tafadhali
0 Reactions
1 Replies
897 Views
Nimetembelea shule za dodoma mjini hasa za Msingi walimu nao wamegoma,ila wapo wapo mashulen.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
I want to known the all details concern the application of new student of school of law Tanzania 2012/2013
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom