Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAMKO LA SERIKALI KUHUSU MALALAMIKO DHIDI YA MATOKEO YA SOMO LA ISLAMIC KNOWLEDGE KATIKA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2012 1.0...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mimi ni muandishi wa vitabu vya Riwaya,Tamthilia na Ushair ninahitaj msaada wa udhamin wa kuchapa kitabu ambacho nimekiandaaa kitakachoitwa ''NYARAKA NYEUSI'' kama unaweza kutoa msaada huu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naomba kuuliza,hivi hiyo bachelor inahusika na nini hasa?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Top Foreign Aid Recipients 2008 working on getting the 2010 & 11 Rank Country Aid received for 2008 1 Iraq 9,870 Billion USD 2 Afghanistan 4,865 Billion USD 3 Ethiopia 3,327 Billion USD 4...
0 Reactions
3 Replies
961 Views
Mi nmehtm Form4 2011, matokeo yalikua mazur ningeweza kuchaguliwa special school yoyote, but nlichagua dit TEL. kama 1st choice na ndiko nlikopangiwa. Problm ni kwamba wa2 wanasema nlifanya chaguo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
jaman wana jf,nauliza hvi hii program ya actuaria sciance kwa hapa bongo market yake imekaaje?
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Salaam. Jamani mi naamini jf hakiharibiki kitu. Kuna jamaa yangu yuko Mwanza kwa muda, kaniuliza anawezapata wapi "nondo" au materials za CCNA(cisco)? Najua internet ipo ila you never know, the...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mm nadhani tuamini Mkoba ameusaliti walimu,hata tamko hakuna hadi leo.Basi tunaomba kile chama kipya kitusaidie,tunakiunga mkono.
0 Reactions
2 Replies
965 Views
Wana jf naombeni mnijuze hii faculty ya land management and valuation ina market bongo?
0 Reactions
2 Replies
5K Views
  • Poll Poll
Kuna mambo mengi watu tunafanya kwa kufuata mkondo wa waliotangulia. Nafikiri kuna njia mbili maarufu ambazo hutumika kupata maarifa, nazo ni Elimu na Uzoefu. Kwa hiyo elimu ni njia ya kujifunza...
0 Reactions
12 Replies
11K Views
Jamani mimi naomba mnisaidie mwaka huu nimeomba chuo kupitia tcu mpaka sasa my selection status inaonyesha not yet processed,inamaana muda bado au ndiyo imekula kwangu.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wandugu naomba kujua kama kuna walipoitia shule ya msingi Yombo enzi za mwalimu mkuu akiitwa Nyange hii ni miaka ya 71 na kuendelea.Hii ni shule iko karibu na shule ya vilema na kanisa katoliki...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwenye Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi 2011, shule nyingi zilizofungiwa ni za Kiislamu. Mfano Shule zote zilizofungiwa Tanga ni za Kiislamu pekee. Mtihani wa Kidato cha Nne 2011, Shule...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Kama elimu yako sio ya mchina, badili sentensi hii kwa kingereza. BABA MIMI NI MTOTO WAKO WA NGAPI? Nipe jibu nicheke kabla cjalala!
0 Reactions
1 Replies
956 Views
Utafiti uliofanywa na watalaam toka nchini umegundua wanafunzi wanafunzi wa vyuo tanzania 1.hupenda kwenda baa na kumbi za starehe kuliko lecture na semina 2.hushinda room kuliko libray...
1 Reactions
25 Replies
7K Views
me ni kijana mtanzania niishie nje ya nchi,,, kutokana na utafutaji wa maisha ndugu zangu ninaposema naombeni msaada wenu,,, me ninapenda sana kusoma but kwa bahati mbaya nimeishia darasa la saba...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mimi leo nimelog in kwenye account yangu ya TCU ila ni mekutana na ujumbe ambao kwa kiasi fulani umeniacha na maswali mengi kuliko majibu.Kama walivyokuwa wamesema awali ni kweli registration na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naomba msaada wa kupata instructor manual ya colin drury kama kuna mdau anayo ya soft copy naomba anitumie kwenye email yangu kasingotz@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
naomba mwenye uelewa, ninahitaji kumpeleka mwanangu chuo flani dar, wao wanasema wapo registered na NECTA but ktk tovuti ya NECTA kuna list ya registered college 20 tu, but kila siku vyuo hivyo...
0 Reactions
3 Replies
10K Views
walimu wakiwa wanaelekea kwenye mgomo, kamwe hawatafanikiwa lazima wengine wasaliti kuendelea kufundisha, hii yote inatokana umaskini walionao kuanzia familia mpaka ukoo. Mwalimu hana ujasri...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…