Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Chuo kinachotoa mafunzo ya ufundi wa elekronika Arusha.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
siku ya jumapili 27/05/2012,wanasua wamepata jembe jipya mwanaharakati wa ukweli IDD,IDD.F.ni rais kijana kuwahi kutokea sua,anachukua education mwaka wa 2,ni mpiganaji wa ukweli hivyo wanasua...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
15.2 SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha IV waliofuzu mafunzo ya cheti yasiyopungua mwaka mmoja katika fani ya ‘Food Production’ yanayotolewa na Vyuo vya Forodhani (Dar es Salaam)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tangu jioni mgomo umeanza na unaendelea hapa Kwiro Sec. Wanafunzi wamechoshwa na ufisadi na unaombatana na uzembe. Vifaa walivyolipia wapewe kama unifomu na vifaa vya shule havitolewi na walimu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
BY CORRESPONDENT Friday; 25th May 2012 United African University of Tanzania (UAUT) The first academic year of the United African University of Tanzania (UAUT) is expected to commence this...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
KUmekua na tabia ya walimu kutoka na walimu wao kimapenzi jambo ambalo linatishia ubora wa elimu wanyoipata wanafunzi hawa si ladiez au gents
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau hii kitu nimeipata Mzumbe University. UFISADI SERIKALI YA WANAFUNZI MZUMBE DSM CAMPUS Wanamzumbe naomba niwasalimu kabla ya kuwahabarisheni yale msiyoyafahamu, kuna WIZI na UFISADI...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani kweli elimu ya Tanzania inazidi kushuka,wale tuliofaulu kuingia kidato cha tano tangu tujiunge mashuleni walimu hawaingii darasani hat kidogo na zaidi hizi shule kongwe hasa za sayansi...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
I real miss the goodtime we have pamoja kipindi kile... Mwl.Nyota, Nyudura, Suti, Msavaga, Mlowok, Ngenzi... daaah what a wandaful time jamani. Ila mpo kweli? Mwaka gani ulikuwepo pale?
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Jamani wadau naombeni mnisaidie maana kila nikijaza details zangu wakati na-apply tcu mwishoni ninapobofya kwenye register inaniambia " mobile number2 must contain a number' sasa sielewi ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwanini shule zinazowapa kipaumbele walimu kutoka kenya,uganda zinadolora au kashifaa zakuiba mtihani?kwamfano zilizowahi jiji la DAR
0 Reactions
1 Replies
947 Views
Wana jamii habar yenu. Wadau nalisikia hili facult la electronics and telecommunication eng ni ngumu, naombeni ushauri na ugumu uliopo linahitaji mtu wanamna gan! Je mtu kama mm nisiyependa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wana jf naombeni ushauri wenu, kama inavyo onekena hapo juu yaani Gs-S,Geog-D,Phy-E na Math-D. naomba mnishauri ni course gani naweza kuchukua kwa matokeo haya. NB:- O-level chemistry sikufanyia...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Taarifa za chini kutoka kwenye uongozi wa chuo zinasema kuwa hadi sasa hakuna fedha yoyote kutoka HESLB, hivyo kutokana na ungozi wa chuo kuona matatizo waliyo nayo wanafunzi hasa ukosefu wa...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Asalam aleykum wana jf wote, Leo naomba kuja na hili japo kuwa ni baya lakin tulijadili tu labda litatupa nafasi wengine ya kujua tujipange vipi katka maisha. Nimekuwa nawaza sana juu ya elim ya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Home About Us University System Universities Corner Students Corner CAS Information Centre Photo Gallery Contact Us FAQ Welcome to Tanzania Commission for Universities (TCU) website The Tanzania...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Ni kwa kipindi sasa naona mijadala ya vyuo imekuwa ikishamiri humu jukwaani.Baadhi ya watu wamekuwa wakichangia upumbavu tu ingawa wanajiita wasomi,mara wanajisifiasifia wanapopatia elimu zao na...
1 Reactions
49 Replies
4K Views
jamani nimepata F zote yaani nna zero ya 21 nifanyeje? Nilikuwa nachukua HKL
0 Reactions
25 Replies
4K Views
1 University of Cape Town South Africa 2 Universiteit Stellenbosch South Africa 3 Cairo University Egypt 4 University of Pretoria South Africa 5 University of the Witwatersrand South Africa 6...
1 Reactions
17 Replies
7K Views
Asante yangu nitaitoa kwa atakayenisaidia jambo hili: Download kitabu hiki Biological Science (Scott Freeman) 3rd au 4th edition na unitumie kwenye email yangu ambayo nitakupatia kupitia PM...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…