Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Mi mtoto wa mkulima nimemaliza f6 ni 2.12 EGM vp chuo gani naweza somea GEOLOGY?
0 Reactions
1 Replies
877 Views
Wadau nimejaribu kufanya online application ya TCU kwa Category ya equivalent yaani diploma in education (teacher) mbona inazingua vipi ni tatizo langu tu au ni kwa wote.Naombeni msaada nifanyaje...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimesoma PCM 1.7 naweza kusomea degree ya udaktari?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Na fikiri tanzania imekuwa na washabiki wa habari wengi kuliko waandishi wa habari . Una maoni gani kuhusu huu mtazamo wangu?
0 Reactions
0 Replies
968 Views
uongozi wa nchi ulitegemea sana wasomi lakini wasomi wetu ma PHDs zao wamekuwa majizi sasa msomi na muamifu ambaye hakusoma kutokana na uwezo waa familia yake lakini ni muadilifu na anafundishika...
0 Reactions
0 Replies
979 Views
Sio siri kupata diploma tu ni jambo linalohitaji gharama kubwa katika serikali hii.ajabu zaidi ni katika vyuo vya serikali. Mwaka mzima jumla inakugharimu tsh.1.5 milioni. kweli tutafika. Serikali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi sasa mji wa Iringa unazizima kwa maandamano ya wanachuo kikuu kishiriki cha Mkwawa kwenda kwa mkuu wa mkoa kisa hawajaingiziwa fedha zao,HII NI HAKI KWELI WAKATI MAMILIONI YA KODI ZETU...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
matokeo ya kidato cha sita mwaka 2012 yametoka na muendelezo wa kufeli unakua mkubwa. Chek web ya necta.go.tz
0 Reactions
5 Replies
7K Views
There are some individuals who wish to learn how to generate maps using arcGIS software and have no information on where to go, if you are one, send me an email. You can learn the following at...
0 Reactions
1 Replies
773 Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipokea Vijana wa Shirikisho la CCM la vijana wa CCM wlioko vyuo vya Elimu ya Juu, walipofika leo kwenye Ofisi Ndogo ya...
0 Reactions
65 Replies
7K Views
nadiriki kusema kwamba bodi ya mikopo(heslb) waziwazi imekua ikiwapa kipao mbele wanafunzi wa udsm bila kujali mahitaji ya fedha kwa wanafunzi vyuo vingine,juz umetokea mgomo chuo kimoja huko...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu,kesho ni Sikukuu ya Wafanyakazi,bad enough walimu wa Sumbawanga Manispaa hawajapata Mshahara.Hii halmashauri cjui ina nini?Sijui kwa sababu iko mbali na Dar?Walimu huku wanalazimishwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Me ni mmoja wa wahitimu wa kidato cha sita 2012 mpaka sasa sinatetesi kuhusiana na matokeo ukiangalia hapa sina ajira na maisha n magumu kwa yeyote mwenye fununu naomba anijulishe lini yatakuwa out?
0 Reactions
81 Replies
13K Views
Imesikitisha sana kusikika fununu za kunyimwa mikopo kwa wanachuo kwa kozi mbalimbali za sayansi licha ya kipaumbele kilichokuwa kimewekwa na serikali hapo awali.......... wadau mnazungumziaje...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Baada ya serikali kushindwa kutekeleza wajibu wake kwa wananchi kumetolewa tamko ya kwamba shahada ya Maabara haipo tena kwenye zile kozi zitakazo pewa kipaumbele kwa wanafunzi hao katika suala...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani hii course inalipa? Na pia inatolewa ARDHI PEKEE?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jaman yan hapa saut sasa huyu mpanga vipind nae atazame jamn haaa eti kipindi kuanzia sa tano hadi satisa umekaa tuu mmh tuoneen huruma haya tena eti siku nyingne sa tatuu mpaka mbili break sa...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Hivi ni kweli kuwa pale lugalo hospital kuna chuo cha uuguzi kinatrain clinical officers,na je hiyo kozi ya clinical ni open to all qualified citizens au ni military based cause. Mwenye answers...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Nyie ni chombo chetu,tukumbushieni kwenye serikali haya ya fuatayo .Gharama za maisha zimepanda kwa ujumla wake. .Walimu tulioka vijijini tunaishi katika mazingira ambayo hayana umeme,huduma...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wiki mbili zilizopita nilikuwa Singida Mjini kikazi, nikiwa miongoni mwa Wanafunzi waliosoma Singida kati yaa mwaka 1980 hadi 1984 (Form I - IV) nilikuwa na hamu ya kuitembelea shule yangu, ili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom