Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Msaada wa course na vyuo ambavyo anaweza kupata mwenye point 13 HGL. Natanguliza shukurani.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau salama samahani kwa mtu anayejuwa chuo kinachotoa hii degree ya pili hapa bongo tujuzane
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kwa matokeo haya ya kidato cha sita na kidato cha nne,inaashiria ni jinsi gan watawala walivyo dhamiria kuichimbia kaburi elimu ya Tanzania,ili tu Taifa liwe na wasomi wachache then waweze...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau naomba msaada nina div 3 point 13_phy_E,chem_D, na maths_D naweza kupata chuo? Msaada wanajamvi
0 Reactions
11 Replies
3K Views
WAKAZI na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu John mjini Dodoma, wako katika hofu kubwa kutokana na kuibuka kwa makundi ya vibaka ambayo licha ya uporaji, yamekuwa yakijihusisha na ubakaji na...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Katika pekuapekua zangu za magazeti ya leo, nimepita katika gazeti la Mwananchi na nikakuta tangazo linalowata graduates wote wa IFM waliomaliza mwaka jana (2011) ambao wamechukua awards (vyeti)...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
matokeo ya kidato cha sita ndo hayo tayari... Ushauri wangu kwa wana jf tuwe na ushauri mzuri kwa wale waliopata makeo kama unahisi hauna uelewa kwenye jambo fulani plz usitumie mda wako...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
hv jmn hizi combi za 4m 4 Mi ht czelewi. Mf m2 ukipt 'F' ktk maths na bios n then mwsho wa cku ukawa na 3 ya 24. Je unaweza ukapigwa penati? Nisaidieni
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wana jamvi nimepata matokeo yangu ya form6 nina Div-2HGL, ningeomba ushauri wenu katika kuchagua facult
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomi Meshilieki mwanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Simanjiro ambaye amebahatika kufika kidato cha nne, huku wenzake watatu waliofaulu kusoma katika shule hiyo wakiwa wameolewa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimepata three ya 16. Hist E, kisw E na engl S. Gs pia s. Naomba ushauri nini cha kufanya kama naweza kupata chuo. Ushaur tafadhali
0 Reactions
32 Replies
6K Views
VIJANA acheni maswali! Pakua hyo then m2lie na kuangalia kwa makini yatokanayo na MATOKEO YENU YA FORM 6 Samahani wadau!! ilikuwa imegoma!! ipo sasa
2 Reactions
7 Replies
29K Views
Jamani wana JF, mimi nilisoma A Level pale Galanos, nilimaliza miaka ya 2000. Ukweli tulikuwa tunafaulu sana. Leo hii nimefurahishwa na matokeo ya Form Six ya Galanos, pamoja na kuwa hali ya...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
wa zenji mmekua mkiingiza siasa kwamba necta toka ianzishwe hakuwahi kuongoza mzanzibari..sasa kwa trend hii..mtaweza kweli kuongoza hata mkijisahihishia?? hii ni shule ya mwisho katika matokeo...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
wakuu nina mdogo wangu aliyepata gs-s,histry-c,geo-d,englsh-d ya div 2.11 dogo anataka kusoma biashara wakuu nauliza kama inawezekana kusoma biashara na je ni chuo gan anaweza kusoma?shukran mbele
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kuna mtu kaniomba nimshauri anataka kuendelea na elimu je chuo gani anaweza kusoma ana Geog E, chem S, bios F, Bam F yaan daraja la nne pointi 18.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Gs s, geo s, chem e, bios s, bam f 3.17
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kitendo cha serikali kubana mkopo kwa wanafunzi wasiochukua education hakivumiliki! Kwa mtazamo wangu ni kwamba vijana wote wa kimaskini waliosoma masomo ya arts wanalazimishwa kusoma...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanufunzi bora kidato cha sita 2012 ni kinanani?
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Matokeo ya kidato cha sita 2012 yametoka.tembelea necta.go.tz/results
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom