Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

habar zenu wakubwa ,kuna dogo amepata three ya17 yenye principle moja je ni vyuo gani anaweza kusoma sheria kwa diploma.natanguliza heshima kwenu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimerudi tena! Niliwahi omba ushauri wa mdogo anayetaka kusoma sua nikapewa. Nashukuru Mungu dogo naye kafanya mambo mazuri hivyo ushauri wenu utafanya kazi. Sasa hivi nina mwingine wa kike kapata...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
wadau embu tulijadilini hili kwa mapana yake kuanzia mwakani wanafunzi wengi watakaoingia chuo watakosa mkopo regrdless umepata division 2 au 1 isipokuwa kwa wale wa education na baadhi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa wale ambao ni magreate thinker waukweli ningependa kama kuna mtu mwenye uelewa na hili jambo anieleweshe bila ku-consider issue ya mkopo.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Haihitaji kuambiwa hali halisi ya watanzania walio wengi sipati picha baada ya 4 years kama tutaenda tunavyokwenda......
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heshima yenu wadau, nina mdogo wangu amepata division 3 point 15, alisoma PGM, matokeo yake ni Physics E, Geography S na Maths D, je atapata chuo? Nawasilisha.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana jf ,,naomben msaada wenu kwa hili jambo kwan limekuwa kama jaribu kwangu ...niko kwenye quolification ambazo naweza kwenda kusoma mojawapo ya kozi zifuatazo,,,1.computer eng...
0 Reactions
1 Replies
833 Views
Matokeo ya kidato cha sita yako hewani. Yanaonyesha ufaulu kuporomoka. Zero zimepiga hodi hadi Mzumbe na Malangali,kutaja chache. Wengi wamepata daraja la tatu. Hawa wanaelekea wapi? Ikumbukwe...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tangu kuanzishwa kwake,Shule ya Wavulana ya Feza na ile aliyohitimu Mwanaasha(Feza Girls) zimekuwa zikifanya vizuri kwenye matokeo ya ima kidato cha nne au cha sita.Matokeo ya jana imekamata...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
HISTORY- S , GEOGRAPHY-E and KISWAHILI- D faculty na chuo gani nawezapata??
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani minimum qualification za MD ni zipi? Naomba msaada.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyie watoto mliomaliza form six na matokeo yenu kutoka jana hebu twambieni mmepata nini tuwape zawadi kama mmefanya vyema na tuwang'ong'e kama mmetokota
1 Reactions
18 Replies
2K Views
wana jf naomba kujua jumla kuna one za tatu ngapi???
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimepata three ya 16 hist E, kis E, na engl S. Gs S. Naomba ushauri kama naweza kupata chuo au la
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ukitaka kujua kuwa usomi c chochote, basi maji yakatike hata kwa siku moja tu hapa udsm campus. Vyoo vinakuwa kama havi2miwi na wasomi, mtu na akili zake anaingia chooni hana maji anaachia mzigo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wana jamii naomba kama kuna mtu anadetail kuhusu mada hiyo msaada wenu tafadhali
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 29, nina Advanced Diploma in Accountancy toka IFM yenye GPA ya 4.2, nina CPA na MBA. Ninapenda sana kufundisha vyuo lakini nimekuwa nikikutana na ugumu kutokana na kuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Vp ajira za Bcom kwa sasa? Nina 2.12 EGM na ushauri wingine wa kozi nzuri kwa wenye uelewa na hii comb nitashukuru sana ansateni wote!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba msaada wa kupata nakala ya hotuba ya TUCTA jana kutoka kwenu wanajamii
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom