Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani mbona mzumbe hawafungui branch Arusha jamani twateseka na kupata evening classes for Masters
0 Reactions
8 Replies
5K Views
wadau nataka kujua kwanini vyuo vingine vinaitwa chuo kikuu na vingine sio vyuo vikuu lakini wote wanafundisha bachelor....sasa hapa kuna ukweli wowote hivi vyuo vinaitwa vyuo vikuuu
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mimi ni muajiriwa wa kampuni inayofuata sheria zote za kazi. Ninaposimuliwa unyanyasaji unaofanywa na baathi ya waajiri eti kwa sababu wana mkono mrefu waserikali inauma sana. Naizungumzia St...
0 Reactions
0 Replies
905 Views
Habari wanajf tafadhalini sana naomba kufahamu kama kuna vyuo vinavyotoa kozi za kilimo na mifugo ambavyo sio vya serikali maana wk tatu zilizopita nilisikia tangazo clouds fm wakitangaza chuo cha...
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Monitor Reporter Kampala Ex Tanzania President Benjamin Mkapa will tomorrow be awarded with a honorary doctorate degree at Makerere University. He becomes the tenth person to get the honour from...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
"Katika nchi yetu mabadiriko ya global warming tunashuhudia ikiwemo kuongezeka kwa kina cha bahari. Hii ni rahisi kuijaribu kwamfano unapoweka maji kwenye sufuria yanapopata joto yanatanuka na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Niko hapa Dodoma,nasubiria serikali ya magamba ielekee ICU, Lakini,namuona Mh.Membe,Nasari,Magreti Sitta,Chemba,Mwakyembe,wakiongea na viongozi wa serikali za wanafunzi wa elimu ya juu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau nijuzeni hii MBA ya mzumbe jioni ni nzuri na pia in empolyment market imeekaaje hii?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimejaribu kutafuta hii mambo ata kwenye mtandao sikupata, plz help me. What are the implications of revenue in Agriculture?:bowl:
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mchakato wa uchaguzi mkuu chuo cha St. Augustine umeanza ambapo kampeni rasmi zimezinduliwa hapo jana na zinatarajiwa kukamilika j.4 ya wiki ijayo na kupigwa kwa kura siku ya J.5. Ktk hali ya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Niko kwenye mchakato wa kuomba vyuo kupitia TCU. Nauliza kama inawezekana kusoma programmes za "Bachelor of Education in Science au Science with Education" ikiwa mimi nilisoma EGM? Naomba pia...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Katibu mkuu Necta Dr.ndalichako ametangaza hivi karibuni kuwa mitihani itasahihiswa kwa mashine maalumu kuanzia mwaka huu,ametoa sababu nyingi ikiwemo gharama kubwa kipindi cha usahhshaji.hoja...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nipo chuo kimojawapo cha binafsi hapa nchini nikichukua Bachelor of Education in Special needs(BEdSN) naingia mwaka wa pili. Tangu nimejiunga sijafanikiwa kupata mkopo kupitia Bodi ya mikopo kwa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
habari wana JF? Kutakuwa na mdahalo Wa wanafunzi wa vyuo vikuu utakaofanyika katika Chuo Cha Uhasibu(T I A). Mdahalo huo utakuwa na mada isemayo;Kwa hali halisi ya TANZANIA Je kuna haja ya...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Cwt
Hela ya mizigo kwa walimu wapya mmepewa nyie au nani? Maana halmashauri nyingi wanasema waraka umebadiliswa hizo fedha hazipo tena! Nyie hamjatoa tamko lolote! CWT ongeeni hata kwenye midia...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Siku za karibuni, UDOM kumeanza kutokea tena ukiukwaji wa sheria. Na kuna wimbi la kufukuza wafanyakazi kinyume na sheria. Kilichonisikitisha ni kitendo cha wafanyakazi kukata rufaa. na kushinda...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Research is a form of discplined inquiry that generates sound knowledge.what attributes of this inquiry in your view to the process the status of scientific rerearch?. Hopping that this is the...
0 Reactions
0 Replies
776 Views
elimu ya tanzania inashindwa kuktimia Azimio la Arusha. Curriculum are not full that philosophy of the country (education for self-liance)
0 Reactions
0 Replies
756 Views
wachache wanafaulu na wengi wanafeli ila akuna malengo yeyote yamana kuokoa hii elimu yani hata kwenye vyuo akuna wakufunzi wakutosha je elimu yetu tunaipeleka wapi jamani?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini ndugu zangu! Nashindwa kuelewa hasa fomu za kuomba mikopo online, sisi tuliopo vyuoni wametuweka category moja na hawa six leavers kwa mana hiyo tunatakiwa kulipa tena 30,000...kwanini...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…