Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

inasikitisha sana unapopita saa mbili na nusu au zaidi nakuwakuta eti wanasubiri mabasi enzi zangu bana kumi na moja ndio ulikuwa muda muafaka sasa yanini leo saa mbili na nusu asubuhi ndio mda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani (Necta), Dk.Joyce Ndalichako Wanafunzi wengi wanaomaliza elimu ya msingi mwaka huu, inahofiwa kuwa wengi wanaweza kufeli mitihani yao ya darasa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nina mwanangu kachaguliwa sec.ya Lwangwa pcm baada ya mahangaiko nimefanikiwa kujuwa shule ipo rungwe mbeya ni km kadhaa ktoka mj wa tukuyu ila hawa ndiyo wanaenda kuanza yaani shule ilikuwa na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nilikuwa naomba kujua mambo ambayo mara nyingi huitajika hasa unapotaka kujaza fomu za scholaship kwa kutumia online application kwa wanaotaka kusoma shahada ya awali na pia zip code huwa ina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina mdogo wangu wa kiume ambaye amemaliza kidato cha nne 2011. Hata hiivyo, nahisi kama hakutendewa haki kutokana na shule ambayo amepangiwa kwa masomo ya kidato cha tano na sita. Pamoja na...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Naomba mnisaidie syllabus za masomo yaliyo kwenye mchepuo wa HGL msaada wenu unahitajika ndugu zangu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
The government has called upon education experts in the country to recommend better ways of financing students of higher learning institutions, saying the current system connot be sustained. The...
0 Reactions
0 Replies
696 Views
Jamani naomba ushauri ni kweli EGM unaweza kusomea hivi vitu chuo kikuu Computer science na Mining eng.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu, Ningependa kujua kama vyeti vifuatavyo vinakubali, Advance diploma in Business management by Association of Business executive, cheti kinatolewa na FTC, LearnIt, study period ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimepata selection ya kwenda kigonsera wakuu mnayoifahamu tafadhal naomben mnijuze yafuatayo- 1.iko mkoa gan? 2.boys au mixture 3.perfomance yake 4.iko town au bush 5.mabaya na mazuri ya kigo...
0 Reactions
2 Replies
943 Views
Kiukweli nowadays post za shule za A level ni vurugu. Ina maana gani mwanafunzi kujaza celform kuchagua shule then baada ya matokeo unapangiwa shule tofauti? Asilimia kubwa ya wanafunzi...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
CBE WAMEONYESHA NJIA KWA VITENDO,UDSM,IFM ,ST.JOSEPH CoET,DIT etc KAZI KWENU.Pongezi za dhati kwa uongozi wa chuo cha CBE kwa kuonyesha njia kwa vitendo juu ya mavaazi ya wanafunzi vyuooni...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu ninaomba kujua ni masomo mangapi na majina yake hufundishwa ktk dipl.ya computer engineering hapo D.I.T
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Msaada jamani kuhusu database administration..vp hii inakuweje?..na kaz zake zpo?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni kama unaenda kanisani au masjid. Hakuna kuvaa nguo zinazoonesha maungo ya ndan mathalan vimin, vipedo, tait, vitop, kuvaa mlegezo, pensi n.k. Hii nimeipenda! WELCOME CBE SEMINARY!
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kwa wale mliosoma Pugu Sekondari kati ya mwaka 1985 -'90's Headmaster Mwalimu Amoni Mtera amefariki dunia jana saa 12 asubuhi kwa kugongwa na gari akiwa pamoja na mkewe na jirani yake wakati...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mfumo wa ufundishaji kwa vikundi umekuwa nyenzo muhimu ktk kurithisha maarifa kwa wanafunzi,hasa wale ambao wanajifunza taratibu [ slow learners ]. Tumejaribu hili hapa kibangu na tumeona matokeo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba munisaidie mwanangu amechaguliwa shule hiyo f 5 naomba kujuwa naweza kufikaje kutokea mbeya? Wasifu wa shule na jambo lolote kuhusu shule hiyo amechaguliwa pcm...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
naombeni mnieleze usomaji wa open university je kuna full lecture faida na hasara zake please niko serious nataka nkachukue BBA msinikashifu
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wadau, asante kwa kunipa nafasi hii ili nami niweze kujifunza moja au mawili toka kwenu kuhusiana na mada hii ya shule ya bweni au boarding school. Je ni wakati gani dhana hii iliingizwa ktk mfumo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…