Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ni kweri dunia imebadirika lkn mabadiliko hayo yasipo zingati mfumo mzima wa maisha yetu mwisho wa siku atakosena nani wa kulaumiwa means too lait Nakumbuka zamani mim nilikuwa nikibishana na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Salaam; Tafadhali kama kuna anayefahamu; 1.Chuo chochote aidha hapa Nchini ama East Africa kinachotoa mafunzo ya Urubani 2.Sifa anazopaswa kuwa nazo mwanafunzi 3.Ikiwezekana na gharama za fee...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wadau wa JF nimebaki najiuliza sababu zilizomfanya Mhadhiri Msaidizi wa UDSM ajiue? Mhadhiri huyu ambaye ameanzia kwenye ngazi ya ualimu wa shule ya msingi,Sekondari hadi kuwa Mhadhiri Msaidizi...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
kuna jambo ambalo linanishangaza kwa waalimu wapya walioajiriwa hususani halmashauri ya moshi mjini ambapo walimu wanazungushwa na fedha yao ya kujikimu,wanapewa wachache wanaambiwa wasiwaambie...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana Jf Natumai mu wazima katika shughuli za kila siku. Nina rafiki yangu ninayesoma naye mwaka wa 3(the final yr) katika Chuo kikuu kimojawapo Nchini. Rafiki yangu huyu alifeli mojawapo...
0 Reactions
2 Replies
915 Views
Rushwa ya ngono imekithiri vyuo vikuu LEO wazalendo wenzangu nina mada ambayo imejificha kidogo, ambayo imekuwa ikirudisha nyuma maendeleo ya taifa kwa namna moja. Kama macho yako yatakuwa...
1 Reactions
78 Replies
16K Views
tafuta post nyingine yenye picha na kichwa Waraka wa wanafunzi wa elimu juu kwa serikali kuhusu migomo na maandamanoya mara kwa mara... Taarifa hizi zisizokuwa na ukweli...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heshima mbele wana JF,naomba msaada kupata vyuo bora kwa kozi ya Masters of Finance and Management -China(lugha ya kiingereza) ..mwenye kuwa navyo anisaidie nipate vyuo bora kabisa
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nazani ni wakati wetu muafaka sasa kufanya tafakuli ya kina katika nyanja ya elimu. Naanza kwa swali je elimu tunayo katika nga ya vyuo vikuu inakizi vigezo vya ushindani wa kimataifa? Kama ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina mtoto wa dada yangu ana point 26. Matokeo yake hayakuwa mazuri naamini ni kutokana na kusoma shule za kati. English C Geography C Maths D Physics D Biology D Chemistry D Kiswahili D Civics? D...
0 Reactions
5 Replies
10K Views
Tukiwa tunaelekea siku ya kupinga vitendo vya ubaguzi duniani,hali bado ni mbaya katika idara ya elimu ya sekondari manispaa ya Bukoba.Afisa elimu sekondari wa manispaa,afisa taaluma pamoja na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mfumo wa kufundisha kwa vikundi unasaidia kuwezesha wanafunzi wenye uwezo tofauti kushirikishana [ association ] ili kuwajengea sense of belonging. -
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Na mdogo wangu amemaliza f4 mwaka jana na amepataka kama ifuatavyo, P=D C=D M=C G=C B=D H=C K=C Ci=C L=D Sawa na III=23 Alijaza tech colledge kama ifuatavyo 1.DIT=Telecom...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WALIMU watatu wa Shule ya Msingi Tukoma, Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda, Mkoa wa Katavi, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Mpanda na mzabuni wa halmashauri hiyo, wakikabiliwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nimeshikitika kuona vibandiko hivi yva magari. endesha+simu=Kifo. nafahamu kwamba ajali zimetokea kwa matumizi ya simu wakati madereva wanaendesha. ila waliounda msemo huo nauchuklia kwamba ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kuna mtu kapata 4 ya 28 kwenye matokeo yake ya o level. Anahitaji msaada wa mawazo nini cha kufanya ili kujikwamua kielimu zaidi.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Naomba anayeelewa utaratibu wa namna ya kuomba leseni ya kuanzisha centre ya kutoa elimu ya juu anipe dondoo. Je inaombwa kwa nani/wizara ipi? Ahsanteni.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale wenzangu na mimi. Re-application procedure into higher education institutions in academic year 2012/2013 . The Tanzania Commission for Universities (TCU) hereby informs...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
CRDB: Kwa sasa hatuwezi kuizungumzia Uda Na Jimmy Mfuru, 23rd March 2012 Wakati Shirika la Usafiri Dar es salaam (Uda), linasema mradi wa mabasi ya wanafunzi yaliyotolewa na Benki ya CRDB...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni tukio lililotokea leo majira ya saa nne katika Shule ya msingi Park-Nyigoti Wilayani Serengeti Mkoani Mara.Tukio hilo limetokea baada ya ndoo moja iliyotumika kugawia uji kuwa na sumu ya kuulia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom