Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

inasikitisha kuona kiongozi mwenye dhamana anakwepa ama kukataa kuwasikiliza wadau wake, kawambwa sikiliza kilio cha wanafunzi wa vyuo vikuu hasa SAUT, naambiwa viongozi wake wamekutafuta sana...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimemalza 4m 4 na marks zangu ni Civ-C,Hist-D,Geo-D,Eng-D,Kisw-D,Maths-D,Bio-D!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
ndugu zangu nipo kwa mala nyngne kwenye jukwaa hili nikiomba kwa yeyote anaejua majina ya vitabu vya masomo ya phy.chem.na bios kwa sylbc.mpya ikiwezekana na wastani wa bei zake.nitashukuru kwa...
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Salma Said BAADHI ya wazazi ambao watoto wao wamefutiwa matokeo ya mitihani ya kidato cha nne visiwani Zanzibar wanakusudia kulifikisha mahakamni Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) kwa...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
jamani ndugu zangu naomba mtu mwenye contact ya chuo cha ustawi wa jamii cha DSM anisaidie maana nimeangaika kwenye google bila mafanikio.nakama unajua qualification zao pamoja na muda wa maombi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
jamani ndugu zangu naomba mtu mwenye contact ya chuo cha ustawi wa jamii cha DSM anisaidie maana nimeangaika kwenye google bila mafanikio.nakama unajua qualification zao pamoja na muda wa maombi...
0 Reactions
0 Replies
886 Views
Wanajf wanaohusika na utaalamu wa manunuzi na ugavi naomba mnisaidie kujua ni lini mwisho wa kulipia mitihani ya board ya mwezi wa tano mwaka huu. Nimeiweka hii thread huku kwa sababu nimejaribu...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Wadau naomba mnisaidie kuhusu ni lini mwisho wa kulipia mitihani ya board utakaofanyika mwezi wa tano. Plz nisaidie make mm niko mkoa na nimejaribu web ya board sijaona.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani nisaidieni
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni muda sasa tangu wasimamishwe masomo viongozi mbalimbali wa wanafunzi kutoka katika Serikali ya Wanafuzi wa UDSM maarufu kama DARUSO.Waliosimamishwa bado wako majumbani kwao wasijue hatima...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ikiwa imepita takribani wiki moja, tangu nimeripoti hazina ya taifa kukauka kupelekea kukatwa pensheni za wastaafu serikali, sasa imegeukia wanafunzi vyuo vikuu nchini. Akiongea na wanafunzi...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
wakuu wanajf kwa wale wasomi,wadau mbalimbali wa masuala ya elimu ningeomba muipitie hili andiko halafu tujadili bila kuweka ushabiki wala matusi. The merits and demerits of private and public...
7 Reactions
36 Replies
5K Views
Kijana anataka kuwa Mhasibu; amemaliza kidato cha 4 mwaka huu, Div 4. Ana 'D' 5 ikiwepo ya Maths na English. Je chuo gani hapa Dar mnachomshauri ili hatimaye atimize ndoto zake? Tunaomba ushauri...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwa nyakati tofauti rafiki yangu mmoja amekuwa anajaribu kutembelea tovuti ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam leo lakini inaonekana pages sijui zimenyofolewa au ndo maintenance...tuweke basi hata ka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Matokeo ya Mwaka wa nne Mlimani 1. Kwa shahada ya kwanza pale Mlimani gredi zenyewe zimekaa hivi (kama hazijabadilika) A: 75-100, B+: 70-74, B: 60-69, C: 50-59, D: 45-49 na E: 0-44 2. Gredi...
2 Reactions
71 Replies
9K Views
Wakuu leo napenda kutumia jukwaa hili kuomba mawasiliano na watu waliosoma shule ya sekondari ya Popatlal iliyoko Tanga. Kwa atakayeliona tangazo hili aache namba yake ya simu au barua pepe...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
DOWNLOAD: http://www.4shared.com/office/ORCOPBlY/Strategic_Marketing_Management.html
2 Reactions
2 Replies
232 Views
waliosoma kibaha mpoo? hasa wale form 6 leavers wa 2011! hata na wengne pia
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Matokeo yametoka click hapa kupata Http//:196.44.162.33/necta2011/olevel.htm
2 Reactions
4 Replies
18K Views
wadau na dogo amefaulu comb CBG naombeni ushauri shule zip za serikali nzuri na je private
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom