Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani inavyosemekana ndo hivyo Loans board hawatoi mpunga mpaka wiki tatu zipite kwa kuwa vyuo vingine vimefunga na huo ndo utaratibu walionao, so Raisi, PM, na waziri wa mkopo waenda kufatilia...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Wapendwa, It is a pity kuwa naibu waziri wa elimu kwa kutafuta cheap popularity anamtelemsha cheo Mwalimu Mkuu wa sekondari huko Korogwe bila kumsikiliza ili aonekane anafanya kazi. Unakuwa driven...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Closed
WALIMU wa Shule za Sekondari na wazee wa watoto waliofutiwa matokeo ya mitihani ya kidato cha nne Zanzibar, wanakusudia kulishitaki mahakamani Baraza la Mithani la Taifa (Necta) kwa kutoa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Of late we had the breakthrough workshop on the application of extra -curriculum requirements to accomplish educational and academic needs .The re known educator Mr Mwageni from the university...
0 Reactions
2 Replies
930 Views
Serikali imejenga shule nyingi sana za sekondari kuanzia mwanzon mwa miaka ya 2000.Lengo la Serikali yetu lilikuwa zuri la kuwapatia elimu ya sec.vijana wetu. Ila kitu ambacho Serikali haijakiona...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni WAMIAKA 13,ATOA HONGO KIASI CHA LAKI MBILI ILI KESI ISIENDE MBELE Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya Mwalimu wa shule ya msingi Bwato wilaya ya Kyela mkoani mbeya Bwana Herny Hans...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Bodi ya mikopo kuchelewesha pesa za vitivo kinyume na mkataba kwani pesa hizo ziliitajika mwanzoni mwa s emister ili zifanye kaz yake lakini bodi bado hataki kutoa cheque hii imesababisha wanafunz...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Heshima mbele wanabodi! naomba kwayetote anaeweza kunisaidia/kunijulisha kupata shule ya kidato chatano kwa ajili ya mchepuo wa sayansi ninadogo anataka shule ya private! ana three ya 23, anataka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
mtoto wa jirani yangu amepata Div - 0, nimemsikia jirani yangu anasema huyu kafeli sasa inabidi nimpeleke chuo cha unesi huko mkoani. hapo nikajiuliza kuna chuo kinachukua Div -0?
0 Reactions
18 Replies
12K Views
Nimepita kwenye website ya wizara ya elimu na kukuta orodha ya ajira mpya za walimu waliobadilishiwa vituo vya kazi, kama vpi ngonga HAPA yawezekana ukawemo kama ulijaribu kuomba kuhama kituo.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Suala la waajiriwa kutopata ufadhiri ni kutaka kuendeleza lile wimbi la watoto wa wakulima wa kigoma kutosoma. mfano mimi hapa nmeanza kazi ya ualimu mwaka 2004. mshahara wa mkononi hadi sasa ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello magreat thinkers! Mdogo wangu kapata dv3-22 csee 2011, but comb hazjabalance kutokana na kupata D ktk masomo ya Geo Phys na Histr, so naomba naomba msaada kwa jinsi ya kukata rufaa kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninamshukuru mungu kwa kumaliza mitihani yangu ya kidato cha sita salama wasilimini, ila hofu kubwa niliyokuwa nayo moyoni mwangu ni swala la kuvuja kwa mitihani hii ya kidato cha sita, kwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimejiunga na TIOB (Tanzania Institute of Bankers) hivi karibuni nategemea kufanya mitihani mwezi May mwaka huu naomba Great Thinkers ambao ni wanachama wa TIOB au wale waliopitia hii mitihani...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa yeyote anayevijua vyuo vya nursing znz anijuze or havipo.
0 Reactions
0 Replies
784 Views
Mwanafunzi m1 aliyefanya mtihani wa form 4 mwaka 2011 alijibu kwamba:::1.Kulazimishwa shule ni moja ya characteristic za free market economy! Sos:Dr Joyce Ndalichako(Katibu Mtendaji NECTA)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni mwezi sasa unakaribia kufika, wahitimu wa Mwaka huu wapatao 5,000. Hawajarudishia hela yao ya mahafali 20,000/= kama walivyoahidiwa pindi tu wakirudisha joho... Sasa 20,000/= tshs * 5000 =...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mwanafunzi Rajabu wa kidato cha tatu shule ya sekondari mwanalugali,Kibaha,ambae ni member wa kikundi cha al-shabaab na al-qaeda(vyote vikundi vya shuleni kwao) amefukuzwa shule pamoja na wenzake...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Hallow the greet thinker Baada ya wizara kuamua kutumia gharama kubwa kwenda kuchapishia mitihani ya kidato cha sita nchini Uholanzi. Nimefanikiwa kuhojiana na wanafunzi waliomaliza form six...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mimi kwa mtazamo wangu si vizuri kwamba kila mwaka watahiniwa wa kujitegemea huwa hawaambulii kitu.,naona dhana hii imekaririwa sana. Naomba wizara ibadilishe utaratibu huo.
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Back
Top Bottom