Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

1. Hivi ni kwa nini watoto wanaorudia mtihani ni lazima wakatwe alama? kwani kama jana sikuelewa ni dhambi kuelewa mwaka huu? kwani lengo la elimu si ni kuelewa? au kuna lengo jingine? 2. kila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
yani ndio tunaanza mitihani ya kwetu ya mwisho wa kumaliza kidato cha sita. Kuanzia tarehe 8 febr. Mpaka tarehe 14 febr ndo nitamaliza nitarudi jamvini sintakuwepo rasmi. Waliopo chuoni naombeni...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Kwa nafasi yako,utajiri wako haramu na kufanya kazi kwako,tafadhali utakapokwenda kulipa deni lako la pale Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu,ukanilipie na mimi.Ifahamike kuwa Ridhiwani Kikwete...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UENDESHWAJI WA UDAHILI - ELIMU YA JUU KWA MWAKA WA MASOMO 2012/2013 UTANGULIZI Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (‘Tanzania Commission for Universities’-TCU)...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana jamvi Je Necta kufuta mitihani ya kidato cha nne kwa baadhi ya Wanafunzi na kuwafungia wasifanye mitihani kwa miaka minne ni halali? Je nini chanzo cha kuwafutia Mitihani? Je kama tatizo ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Taifa hili laenda wapi jaman.. Imetokea huko Bagamoyo.. Source-@ TBC fm. Magazeti.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
what are the reasons and problems of increased rate of divorce in Tanzania,and what are its implications and critiques.
0 Reactions
0 Replies
953 Views
Kwapaja tujiulize na tupate majibu yenye kujitosheleza kwanin wadogo zetu wanafeli sana sikuiz?wadau wa JF karibuni.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Utafiti ulofanyika umethibitisha kwamba ukosefu wa madawati mashuleni ndio sababu mbadala ya matokeo mabaya kwa wanafunzi wa kike; hii imethibitishwa na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha huku akitoa sababu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
...Habari ambazo ni za uhakika nilizozipata juzi ijumaa ni kuwa wahadhiri wa chuo kikuu cha Dodoma wanaendelea kulalama juu ya maisha magumu na kunyanyaswa na DVC PFA Prof.Shabaan Mlacha...Mteule...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Necta kwa mara ya Kwanza inajikuta ikiingia katika kashfa ya kuchakachua matokeo ya Zanzibar. Wasomi mbali mbali wa Zanzibar wameanza kuandaa Ushahidi unaonyesha Jinsi ya NECTA ilivyofanya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Waliofutiwa mtihani wengine walifanya vizuri kwa akili zao. Hivyo kujua aliyekuwa amepata mtihani kabla ni kuwapa mtihani mwingine ambao wataufanya ili wasipotezewe wakati wasiohusika na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jmn mm nauliza, ktk soko la ajira, hv m2 aliyesoma chuo cha Uvuvi na aliyesoma chuo cha mifugo yupi atakuwa juu (kimshahara+kupata ajira)..?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jmn mm nauliza, ktk soko la ajira, hv m2 aliyesoma chuo cha Uvuvi na aliyesoma chuo cha mifugo yupi atakuwa juu (kimshahara+kupata ajira)..? Na kipi? Utapa kazi Mapema
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Watanzania wenzangu inasikitisha sana kuona viongozi wetu wote serikali na upinzania kushidwakutatua matatizo ya elimu Tanzania. Inajulikana fika kwamba Tanzania kunatatizokubwa la walimu na...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Lula wa Ndali Mwananzela WAKATI mwingine natamani ningekuwa na uwezo wa kuwatia bakora baadhi ya watu wanaozungumzia suala la maelfu ya wanafunzi kufeli vibaya katika mtihani wa kidato cha nne...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Baada ya wanafunzi wengi wa kidato cha Nne kutangazwa wamefeli, Baadhi ya wazazi wamesikika wakilaumu kuwa "Mwanangu amefeli hata ualimu hawezi kwenda. Hoja yangu hapa ni juu ya mtazamo wa jamii...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wangapi mko kwenye orodha ya madogo wa kuondoa uai kwa moto wetu uleee?
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Mmoja wa viongozi wa Shule maarufu Dodoma inayoitwa Yang Jai ametandika mwalimu bakora mbele ya wanafunzi. Haikuweza kujulikana nini hasa chanzo cha huyo mwl wa wanafunzi wa shule ya awali. Ajabu...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Hii kitu watu wengi wame experience na lipo jibu la kisayansi . Changia tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
954 Views
Back
Top Bottom