Hawa wasomi wanashangaza.
Hivi ninyi ni walimu?🤣
Hivi taaluma yenu mnaijua kweli.
Hivi inakuwaje mtu anaenda kusoma kozi chuoni ambayo hajui mwisho wa siku hajui atakuwa nani ?
Au ni ilimradi...
Nina mtoto wa ndugu yangu amesoma HGK amepata division One ya point 7. Ana B ya kiswahili, B ya Geograph na C ya history. Ananiomba ushauri asome course gani?
Yeye kama yeye alitamani asome HR...
Shule nyingi za private wazazi fuatilia mtoto wako vzr. Usione anafaulu ukafikri yupo njema. Mwaka jana mama mmoja alilia sana baada ya mtoto wake kila akifanya mitihani ya kutafuta nafasi ya...
Wakuu habari.
Kuna mtu kaniomba ushauri hapa course za kusoma kwa vyuo vikuu vilivyo hapo Dar.
Yeye ni mhitimu wa kidato cha sita mchepuo wa HKL, ni course gani asome yenye tija wakuu...
Sijui kwa takwimu ni idadi gani ya wahitimu wa kozi tajwa hapo juu ambao wameingizwa kwenye soko la ajira toka vyuo vikuu kuanzia mwaka 2015. Idadi ya walimu wa sanaa 74 walioajiriwa kupitia...
Mimi ni muhitimu wa bachelor degree of Political Science with Education. Miaka minne baada ya kumaliza tuu chuo nilipata kazi katika kiwanda cha biscuits kama supervisor. Ila kiwanda hicho sasa...
Unaweza usiamini ukiangalia shule zetu kongwe zinavyoburuzwa na sekondari za kata zenye miundombinu isiyo rafiki kwa wanafunzi, hazina chakula cha mchana, watoto wanatembea umbali mrefu hata...
Habarini za kazi wapendwa poleni na majukumu ya kila siku
Naomba mwenye kufahamu utaratibu wa kurudia masomo ya kidato cha nne aniambie je? iwapo mtu anataka kurudia masomo yote aliyofanya...
Nimeajiriwa as mwalimu, na ajira yangu nilipata kupitia postgraduate diploma In education, nataka nisome postgraduate diploma in curriculum. Je, inaweza nisaidia kufanya transfer kutoka kuwa...
Habari za humu ndani wakuu, kuna kozi imeanzishwa chuo kikuu cha Mzumbe kwa ngazi ya Bachelor kozi tanjwa hapo juu.
Mimi ni Clinical Officer mwajiriwa wa serikali ninawaza kwenda kuisoma kozi...
Karibu Chuo Kikuu mdogo wangu!
Hiki ndio kile chuo ulichokua ukikitamani siku zote, hongera na karibu sana.
SI ULISIKIA KUNA BATA!?
1. Hili ndilo eneo pekee wanafunzi wanaingia darasani Kwa...
Mmeamkaje wakuu? Yaani mafunzo ya vitendo(field) yanaanza tarehe 11 mwezi huu wa saba, ila mpaka muda huu wanafunzi hawajapata/hawasa-sign fedha/malipo yao ya 'field'.
Huu tuuite ni uzembe au...
Mimi ni Dr. Adinan Juma, daktari na mkufunzi wa vyuo vya Afya mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 10. Nimekuwa akifundisha wanafunzi wa level za Diploma mpaka PhD. Leo nataka nikupe dondoo 5 muhimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.