Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wadau naomba maoni yenu,kuna dogo anahitaji ushauri..kapata div 4 ya 26, Ana C ya basic maths na C ya chemistry the rest ni D! What shud his next move be?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hii shule ni ya mbunge wa Dodoma mjini.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sheria ya mwaka 1978 iliyotumiwa na waziri wa vijana na michezo mh. E nchimbi kuwakandamiza waschana wanao pata uja uzito wasiendelee na masomo inawalenga wanafunzi wanasoma shule za serikali.je...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HAYA KAZI KWENU --- USISAHAU KUGONGA "LIKE" BASI ILI NA MIMI ZIONGEZEKE www.necta.go.tz http://www.moe.go.tz/NectaResults/olevel.htm OLEVEL: http://196.44.162.14/necta2011/olevel.htm...
16 Reactions
29 Replies
24K Views
Nimeshangazwa sana na taarifa ya matokeo ya kidato cha nne,uchungu ulizidi ikabidi nicheke ili niupunguze kidogo....nilijua ni mwonekano wa kimavazi tu wa nje....ile kupiga mlegezo kumbe mpaka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana Jf bora m2 arisiti ama aende chuo kwa ajili ya cheti, diploma na degree!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
BARAZA la Mtihani la Taifa(Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana yanaonyesha kuwa asilimia 53.59 ya wanafunzi 426,314 waliofanya mtihani huo wamefaulu...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kwa wale wanao wish kuendelea na masomo yao kwa level ya Masters jaribuni zali hilo.. Planning to get a Master in France? Vous souhaitez effectuer un Master en France ? The French Embassy to...
1 Reactions
0 Replies
986 Views
Jamani hii shule serikali ina mpango gani??? mwaka huu div 1=hakuna div i i= 5 div i i i =11 div iv =122 div 0=137 ADA NI KWA WALE WA HOSTELI NI ZAIDI YA MILIONI...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Reading this book 'Rich dad-Poor dad' by Robert Kiyosaki and it says,the most dangerous advice you can give a child is 'Go to school,get good grades and look for a safe secure job. Wadau...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Unaweza ukadhani ni masihara ila ni ukweli mtupu Shu,e inaitwa Masela sec school na matokeo yake ni haya: div-i=0, div-ii=0, div-iii=0, div-iv=9, FLD=10.
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Tusubiri kuona comments za maaskofu maana hali ni mbaya katoka shule zao, kweli nimeamini serikali ya CCM kiboko hakuna wizi tena wa mitihani, Vihiyo watakwisha soon, na ukweli utajulikana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Salaam wana JF! Katika kuperuziperuzi mtandao, niliweza kukutana na majadiliano ya wanazuoni wanaosoma katika vyuo mbalimbali nje ya Tanzania. Na mjadala mkuu ulikua ni juu ya kwanini katika...
2 Reactions
0 Replies
3K Views
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UENDESHWAJI WA UDAHILI - ELIMU YA JUU KWA MWAKA WA MASOMO 2012/2013UTANGULIZITume ya Vyuo Vikuu Tanzania (‘Tanzania Commission for Universities’-TCU) ikishirikiana na...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Ukimya wangu humu jamvini ulinisogeza karibu na Wasahihishaji wa Mitihani ya Kidato cha nne.Wasahihishaji wamenidokeza kuwa kutokana na kufanya vibaya kwa wanafunzi wa kidato cha nne waliomaliza...
2 Reactions
63 Replies
13K Views
Jamani kama kuna mwenye taarifa juu ya matokeo ya f4 aziwekwe jamvini maana tumesubiri hadi tunakuwa impatient. kuna tatizo lolote huko jikoni jamani au ukata umefika huko nako?
0 Reactions
15 Replies
10K Views
Unaweza kupata Result Slip yako hapa ya Form VI, 2009 Just ingiza number yako kama ilivyoelekezwa hapo utapata Slip yako Printable to Hard copy or to pdf na inakubaliwa kwenye applications za...
0 Reactions
6 Replies
13K Views
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2011. Matokeo ya kidato cha nne 2011 yametoka RESULT MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2011 ~ Hassbaby's (Mapacha)...
0 Reactions
0 Replies
13K Views
Kwa matokeo haya ya kidato cha nne, wanafunzi wengi wamepata divison zero yenye F zote. Hii kwamba hawawezi kusoma, wavivu, au matatizo ya shule? Hata kama ni hivyo, basi naona kusoma ni kugumu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani watoto we2 wamefeli elimu hii inakwenda wapi!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom