Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

HATUA ZA KUPATA UDHAMINI UGHAIBUNI (4) NA: ERNEST BONIFACE MAKULILO (MAKULILO, JR.) CALIFORNIA, USA Mfululizo wa hatua za kupata udhamini Ughaibuni unaendelea. Leo hii tunaangalia Sampuli ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
kwa wale tuliwahi kusoma pale shinyanga commercial institute a.k.a shyom bila shaka mtakuwa na mambo kadhaa wa kadhaa ya kujikumbusha hakika kulikuwa na mambo mengi mazuri na ya kukatisha tamaa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kinahitaji Mkuu wa Chuo baada ya aliyekuwepo kumaliza muda wake 05/01/2012. Sheria inaruhusu Mkuu wa Chuo aliyemaliza muda wake kuteuliwa tena ingawa ameomba...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Je ni halali mtumishi wa umma kujisomesha?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni muda mrefu sasa Wizara ya Elimu imekuwa ikiteua wakuu wa Vyuo ambao ni Wazee na wengine walishastaafu. Je kupeana ulaji au hakuna wengine wanaoweza kuongoza? Anapoteuliwa Mkuu wa Chuo ambaye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Matokeo ya Kidato cha nne 2011yatatoka lini?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jamani hebu tusaidieni haya matokeo nini kinaendelea ???mana presha inapanda presha inashuka.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wanafunzi Zaidi ya 400 waliomaliza stashahada ya Elimu mwaka 2011 hawajapangwa ktk vituo vya kazi na serikali kutokana na digrii inayotolewa hapa chuoni kutotambuliwa na TCU.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kuna mkuu wa shule moja inayomilikiwa na kanisa maarufu maeneo ya katiti arusha hawezi kumwajiri mwl. Wa kike hadi afanye nae tendo la ndoa, inasikitisha sana ukizingatia shule yenyewe...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kumekuwepo na majadiliano ya muda mrefu watu wakijadili kuhusu elimu hii na wengi kujadili bila kujua maana yake. Tunaweza kutafsiri kwa njia fupi tu kama Critical thinking. Kuna wanaofanikiwa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Maneno haya huwa tunatumia kila wakati hata kwenye kadi zetu za mialiko. Kitchen Party-sherehe mfundo Send off- sherehe muago Massage- kusigwa Salon- Chega
0 Reactions
5 Replies
11K Views
Snake discovered in Tanzania two years ago has been named after seven-year-old girl reddit this Associated Press guardian.co.uk, Wednesday 11 January 2012 11.23 EST This striking...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani nini sababu ya matokeo haya kucheleweshwa! Maana watu hawaishi vizuri bali nikupata presha juu ya watoto wao na wanafunzi wenyewe! Mwenye lakusema aniambie ni lini?
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Waalimu ajira mpya waliamua kulala ukumbi wa halimashauri jana tr 3/2/2012,baada ya kuona mambo hayaeleweki,hawajapewa pesa za kujikim,leo mkurugenzi ameewambia hawana pesa,hivo waende...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
serikali imetoa maagizo kwamba ajira mpya zinavyotoka watumishi wasicheleweshewe fedha za kujikimu lakini ali tofauti kwa manicipaa ya LINDI.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa anayefahamu vyuo vilivyopewa usajili wa kudumu na vya muda na NACTE mwaka 2012
0 Reactions
1 Replies
2K Views
matokeo yametangazwa nusu ya wanafunzi waliofanya mtiani huo wamefili walikua laki 4 wamefeli laki 2 source: magazeti ya leo.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
katika halli isiyo tegemewa waalim walio ripoti katika vituo vyao wameambulia kulipwa pesa ya siku saba ambayo nayo imelipwa kwa baadhi ya almashauri tu kama vile segerema na msoma huku ikisisi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hayawi hayawi sasa yamekuwa!Naibu Waziri wa Elimu atatangaza rasmi matokeo ya mtihani wa Kidato cha nne 2011.Habari hizi ni kwa mujibu wa msemaji wa wizara!
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Niko kwenye basi toka Bunda kwenda kuripti DSM -Temeke, nilikopangwa post yangu ya ajira ya ualimu, lakini nimewasiliana na wenzangu watatu ambao washaripoti mmoja yuko temeke kaambiwa warudi j4...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Back
Top Bottom