Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wakuu wa JF ! Am looking to study into AUTOCAD, REVIT and 3ds MAX. Plz tell me any organization who can teach me, or a teacher who can teach ? PLZ PM !
0 Reactions
5 Replies
1K Views
click the link below; Wireless & Mobile Communication System - Scholarship Notice (Foreign students for fall semester 2012 wanted)
0 Reactions
1 Replies
911 Views
Ndugu zetu mlioko nje,tupeni michongo jamani,huku home loans board inatesa watu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni matumaini yangu kuwa watanzania wote tupo katika maombolezi ya maafa ya watanzania wenzetu waliopata mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunywsha.mungu ibariki tanzania mungu ibarikiafrc.ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Migomo ya vyuo vikuu ktk mwaka wa masomo wa 2011-2012 umepungua kwa kiasi kikubwa sana.serikali inapaswa kupongezwa kwa hilo.lkn hoja yangu ya msingi ipo palepale kuwa kunauwezekano mkubwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa wadau,hawa MU main campus Morogoro wana huduma ya wireless internet kwenye maktaba yao? Mliopo MU au mliopita hapo mnaweza kunisaidia hili swali,merry x-mass to all
0 Reactions
16 Replies
2K Views
nianze na salam kwako ! Sina hakika sana kama jina la ndugu Phillipo mlugo ni geni kwako.... Huyu bwana ni mmiliki wa shule moja iliyopo mbeya inaitwa southen highland kabla ya kuwa naibu waziri...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
:lol:viongozi wengi ukipata Historia zao jinsi walivyopata Elimu zao Ukiwemo na Wewe Unayefungua Uzi Huu na Mimi wachache walisoma kwa Msaada wa wazazi wao hasa Elimu za Juu na Wale wale...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
...kuna mtu anajua procedure na sehemu wanapofanya mitihani ya TOEFL?
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Hawa ni wale waliofukuzwa Chuo Kikuu cha Kata ya Ubungo, kutokana na kufunguliwa mashtaka na Jamhuri kufuatia mgomo wa tar 11 Novemba 2011. Majuzi nilionana na wawili kati yao, wakaniambia kuwa...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Binafsi nashangwaza sana na utendaji kazi wa ofisi ya Admision & DVC- ARC chini ya Prof. Ludovick Kinabo, mana haiji akilini tangu June 2010 tulipo hitimu chuo pale Udom (first intake) hadi sasa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu nimekutana na haka ka swali kwenye interview panel. Is a mosquito wildlife? If,yes Why do we kill them? If No,why? Mawazo plse! Nimejibu nilivyojibu!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya tume iliyoundwa na mh. Raisi kukamilisha kazi yake, ndio matatizo ya mikopo yameongezeka mara kadhaa. Wanafunzi wanaendesha maisha yao kwa kutegemea mikopo wamezidi kutengwa kutoka kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
habari ndugu wenzangu, niko kwenye mchakato wa kuchagua course fupi ili kuboresha CV yangu,kuna course hizi nafahamu ni nzuri na zinakurahisishia kupata nafasi ya kazi popote pale...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Prof. Karim Hirji ni mwanazuoni aliyebobea katika Biostatistics. Zaidi prof huyu, ni miongoni mwa wazalendo wachache waliobaki tanzania, ambao kwao ukweli ndiyo njia kuu ya maisha. Article hii...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Wana Baraza, ni kwa muda mrefu sasa kumekuwa na wimbi la wazazi wa kitanzania kupeleka watoto wao kwenda kupata elimu ya viwanngo mbalimbali nchini Uganda na Kenya. Mada hii lengo lake ni...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Chanzo cha migomo vyuo vikuu kwasasa ni kuchelewashwa kwa pesa ambazo kwa sasa hutolewa na chuo husika. Mpaka sasa udom kuna wanafunzi hawajapata hata la kwanza na la hawamu ya pili muda umefika...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mwanafunzi wa shule ya msingi Kakuyu huko kanda ya ziwa amefukuzwa shule kwa kumuuliza mwalimu wake wa Kiingereza ambaye pia ni mwalimu mkuu wa shule hiyo kuwa dagaa kwa Kiingereza anaitwaje...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Wanafunzi hao ambao tangu juzi walikua wanashinikiza kupewa pesa yao ya mkopo ambapo tayari walishasaini lakini pesa kupewa inakua utata.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Sababu kuu ya migomo vyuoni kwasasa ni kucheleweshewa kupatiwa fedha zao ambazo kwasasa zinatolewa na vyuo husika, mpaka sasa udom baadhi bado hawajapata hata la kwanza na la pili muda wake...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom