Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu John mkoani hapa, umekifunga chuo hicho na kutaka wanafunzi kuondoka chuoni hapo baada ya kutokea vurugu zinazohusiana na madai ya fedha za kujikimu kutoka Bodi...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
wana Jf, hii ni udhalilishaji wa kutisha wa kufunga mwaka. ni hiv, wizara imetuma barua tar 15 dec ikiwataka wakufunz wote warudi kazini wale walioko likizo na walioko.masomoni kuwa tar 19...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Jamani wasomi hamjambo?Nataka nimpeleke mdogo wangu MUSOMA UTALII COLLEGE TAWI LA TABORA.JE Hivi vyuo visivyo na majina makubwa vinafaa?Vp wakati wa kutafuta ajira atatambulika kama...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
This is a list of colleges and universities which do not have educational accreditation. Degrees or other qualifications from unaccredited institutions may not be accepted by civil service or...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Bila kujali ile shahada yake ya kwanza ya uzamivu PhD,hivi majuzi yaani mwanzoni wa Desemba 2011 Mh. Dk E.Nchimbi alitunukiwa nyingine pale Mzumbe University baada ya kuipigia kitabu kwa muda...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hii ni kutokana na wanafunzi kutokupewa bum la pili hadi sasa na kuna wengine hilo la kwanza bado, baadhi ya wanafunzi wameskika wakisema hawatajali uwepo wa hati za viapo vya kutokugoma...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hii ni kutokana na wanafunzi kutokupewa bum la pili hadi sasa na kuna wengine hilo la kwanza bado, baadhi ya wanafunzi wameskika wakisema hawatajali uwepo wa hati za viapo vya kutokugoma. Ukienda...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mpaka sasa wanafunzi wote wa chuo kikuu cha mtakatifu john MAZENGO DODOMA nao wamefukuzwa na jeshi la polisi na chuo kufungwa kutokana namadai yao yaliyokuwa yanaendelea kwa siku 2 mfululzo, baada...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hiki kituko nimekishuhudia leo baada ya ndugu yangu kwenda kwenye hospitali tatu tofauti na kupata majibu ya vipimo vya malaria tofauti kwa 'case' moja ile ile. Kwamba alienda kwenye maabara A ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana JF nimepata taarifa chuo kikuu cha st.john kimefungwa ghafla baada ya wan. kushinikiza walipewe pesa zao za kujikimu. Kwa taarifa iliyotolewa hapo kinasema wanafunzi wanaoishi hosteli...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Lile lindi la migomo vyuoni linaendelea. Leo chuo Kikuu cha St. Johns (zamnia Mazengo secondari) kimefungwa baada ya kuwa na mgomo baridi kwa muda sasa. Kimefungwa hadi tarehe 2/1/2012. Source...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hello jf!!eti ni kweli watu wanaograduate mzumbe,pindi wanapoenda kufanya masters kwenye vyuo vingne,wengi wao huwa wanafeli ukilinganisha na wenzao waliotoka udsm na sua,kama ni kweli tatzo ni...
1 Reactions
54 Replies
7K Views
WanaJF ninashida na historia ya sheria ya ndoa,kama unavyanzo vya habari na vitabu vya mtandaoni naomba uniwekee hapa,maana nimegoogle ngoma nzito na kuna report naandika,
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Dear all, Experienced experts in proposal writting, dissertation editing and general help available for you at a very affordable cost. In case you are in need for such help you simply give us a...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Baraza la elimu limetangaza kuwafutia wanafunz zaid ya elfu tsa matokeo yao ya darasa la saba:sawa wamekosea kuigiliziana lakini wanafunz wte hwa wataenda wap 2kumbuke kwamba sio wazazi wote wenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau nisaidieni kwa kuweka mtihani mwingine baada ya watoto kufaulu na kupangiwa shule ili kuendelea na masoma ya sekondari ni kufuta mtihani wa taifa? Mbona sielewe tunaenda wapi? Kwenye mfumo...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu karibu tujaiaine kuhusu mafanikio Mapungufu, changamoto na mambo mbali bali kuusu elimu inayotolewa Tanzania. Katika mada hii tuwe huru kuongeza mitaaala, wazazi, shule na wanafuznzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hata kama nimwaka kesho kuatwa basi wizara ituarifu ajira mpya za walimu lini! Wengine ndio plan 'a' za maisha!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habar za jion wakuu?eti jamani mshahara wa mwez uliopita nilikatwa 65000 nikafuatilia walimu wenzangu wachache nao wakadai wamekatwa kama mimi! Tulivyofuatilia tukaambiwa ni toka hazina je nani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wanafunzi wa UDSM wamewasaliti wenzao waliofukuzwa kwa kuendelea na masomo huku haki za wenzao zikikandamizwa, hii ni tofauti kabisa UDSM inayojulikana kwa kutetea haki za kila mwanafunzi...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Back
Top Bottom