Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Tangu kuondolewa Tido Muhando kila siku habari za TBC zimejaa makosa ya kipuuzi. Mara habari ikwame, mara utangulizi uliotolewa utofautiane na habari inayo onyeshwa, mara wakosee herufi katika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani nisaidieni anuani za vyuo vya Clinical officer vya serikali
0 Reactions
0 Replies
809 Views
Nyaraka zinaonyesha bodi ya mikopo ilikabidhi fedha za wanafunzi kwa chuo tarehe 16/12/2011, lakini hadi leo hii wanafunzi hawajapewa fedha zao
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanafunzi wa chuo cha elimu Udom wamekusanyika utawala mkuu kutaka pesa zao ambazo zimeshafika chuoni,wamesaini lakini hawajalipwa. Makamu mkuu wa chuo adai pesa zitatoka kabla ya Ijumaa.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
click the link below and join the online classroom, educate yourself in business, travel and tourism ECC Online Classroom: BTEC Approved Centre
1 Reactions
0 Replies
992 Views
Kuna taarifa za kuaminika kuwa mda huu wanafunzi wa kitivo cha elimu UDOM wameanza mgomo kwa maandamano kuelekea utawala mkuu ili kushinikiza malipo ya fedha zao za kujikimu. Hii ni baada ya pesa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wanafunzi wanaosomea ualimu kitivo cha elimu Udom wapo mbioni kugoma. Tukio limeanza jana baada ya kubandika matangazo ya mkasanyiko wa wanafunzi wote katika moja ya mabwalo ya wanafunzi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wanafunzi wa kitivo cha elimu wamekutanika katika moja ya majengo ya hostel linaloitwa block F. Mkusanyiko huo ambao umehitimisha kwa makubaliano kua wakutane kesho sa11 alfajiri kuelekea...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani wana jf naomba mnisaidie mwenye contact na hichi chuo nataka kuwasiliana nao mfano namba ya simu,p.o box nk.
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Nawapongeza wadau wote waliokwaa gamba la CPA anzeni mwaka 2012 na furaha ya kukwaa gamba!Ila msisahau sheria mama ya hii gamba!
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Nyaraka zinaonyesha bodi ya mikopo ilikabidhi fedha za wanafunzi kwa chuo tarehe 16/12/2011, lakini hadi leo hii wanafunzi hawajapewa fedha zao
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu Tutumie uzi huu kuelimishana kuulizana na uhabarishana juu ya masuala mbali mbali kuhusu KALENDA Kuna kalenda aina ngapi? Zinafuata mfumo gani? Tofauti ya aina moja ya kelenda na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
INSPIRE CONSULTANTS LTD, INAWATANGAZIA CPA(T) - REVIEW CLASSES FOR MODULE E & F AT BIAFRA SEC FROM 9TH JANUARY 2012 FROM 1800HRS TO 2000HRS. WOTE MNAKARIBISHWA. Contact: Joshua +255 717 043486
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu,nina mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana,ila kwa bahati mbaya hakufanikiwa kupata credit,sasa anahitaji kusoma ucc(university computing centre),ili aanze na cheti,diploma...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Pamoja na serikali kujitamba kwamba ni chuo kikubwa ktk ukanda afrika mashariki na kati, hadi leo wahadhiri wa chuo kikuu cha dodoma hawajalipwa mishahara yao ya mwezi disemba. Na hakuna dalili...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Hii ni dhahiri kuwa kuna ufujaji mkubwa wa pesa za wanachuo wa UDSM, Kampasi ya Mlimani kupitia taasisi yao ya uwakilishi, DARUSO. Bajeti ya DARUSO iliyokuwa Mil. 78 imekuwa supplied na mil. 26...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
wanangu wa UDSM chuo cha taifa nawatakieni heri ya mwaka mpya . mungu atujalie mwakani tuendeleze harakati na madesa kama kawaida yetu. SOLIDARITY FOREVER
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Namshukru Mwenyezi Mungu mimi nimeuona mwaka mpya wa 2012. Mwaka mpya nimeuona baada ya jua kuzama maana ndiyo mpango wa Mungu maana siku huhesabiwa pale jua linapo zama na ndo hivyo Mungu...
0 Reactions
0 Replies
990 Views
Hivi ni kwanini TANZANIA haiwapi kipaumbele WANAUCHUMI kama nchi nyingine? wakati wanauchumi ndo nguzo la taifa ktk uchumi wa nchi.maamuzi mengi (kiuchumi) yaserikali ye2 yanafanywa na watu ambao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa waliopata kusoma Mzumbe nadhani watakubaliana na mimi kuwa Mzumbe University wanawajali wanafunzi wake zaidi. Kwa list kamili na vyuo vingine labda inaweza kuwa kama ifuatavyo, Mzumbe...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom