Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

SHAIRI HILI LINAITWA "KWA WALIMU WOTE" LIMEANDIKWA NA PROFESA KEZILAHABI MWALIMU NA RAFIKI YANGU. sikilizeni wimbo huu: nilipokuwa mtoto niliitwa Chacha kwa matamshi yangu ya sasa nilipokuwa...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Ni wapi Dar es salaam ninaweza kupata Kamusi ya Kiwahili/Enlish na vitabu vya kufundihsia Kiswahili kwa wale ambao Kiswahili sio lugha yao? Naomba mtu anayefahamu anijulishe tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jamani vp? kuna lolote la kuridhisha kuhusu ajira za walimu wapya?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ndg zangu naombeni direction ya mtu mzima kupata elimu ya watu wazima kama ilivyokuwa ada kwa ndg yangu mmoja aliyetaka nimwulekeze nami nikamwambia awe mpole kwn nitamwelekeza aanze wapi na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wale madaktari na watumishi wa afya wa miaka ijayo waliosimamishwa chuo kwa tuhuma za kuwa vinara wa mitafaruku wameanza kurudishwa mmoja baada ya mwingine. Kila m1 anaitwa kwenye kamati ya...
0 Reactions
1 Replies
966 Views
Wadau , Nilikuwa na pita njia ya Kwenda kisarawe kutokea Kilvya pwani, nikakuta shule ya Msing ya Tondoroni ikiwa imesambaratishwa na Tinga Tinga chini ya ulinzi mkali wa polisi. Barabara nayo...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mlimwa Secondary. Shule hii ipo kata ya mnadani. Kwa form 1 wote wanaotarajia kujiunga na Shule hyo. Mchango wa tahadhari-5000 Mchango wa Ujenzi-15000 Mchango wa Taaluma-10000 Mchango wa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Madeni yasipolipwa shule hazifunguliwi asema Mkoba Send to a friend Wednesday, 04 January 2012 20:53 0diggsdigg Gedius Rwiza MVUTANO kati ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT) na Serikali...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mamboz WanaJamvi ....... Ebwana naomba kwa aliyesoma BACHELOR OF IT anisaidie kuorozesha UNITS walizosoma kwa mwaka wa kwanza kwa mtiririko 1st to last unit jinsi ulivyosoma ww kwa semister...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Professor: Robert Shiller, Arthur M. Okun Professor of Economics, Yale University Hebu tumia byte zako kwa kujielimisha wewe mwenyewe,goodluck!!!!!! YALE ECON 252 - Financial Markets with...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Salama ndugu zangu, mwenzenu naandika thread hii nikiwa na ghadhabu juu ya hii serikali yetu inayotunyanyasa waalimu, nina madai mengi ninayodai lakini nimeishia kusikia ahadi zao kwenye vyombo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
A rich man needs................... A poor man has...................... If you eat .............u will die. Only one word fill the three blanks. PM me if you have the right answer:A S 465:
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kwa yeyote anayefahamu mambo ya Advertising anisaidie hili kuna topic inaitwa Advertising strategy and Tactics nimejitahidi kutafuta kwenye baadhi ya reference books lakini sijafanikisha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Do you like color, texture, shape, image and text? Do you enjoy working with the computer? Does the idea of creating beautiful brochures, inspiring...
0 Reactions
0 Replies
729 Views
Napenda kuwapa hongera wahusika kwa kuweza kufanikisha hii taasisi ya elimu kupanda hadhi na sasa kuwa chuo kamili yaani Catholic University of Health and Allied Science yaani wakiwa na course za...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Hivi kama waliokuwa wanachochea uvunjifu wa amani ndanda wanajulikana,serikali iwachukulie hatua gani?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
leo wanafunzi wa college ya educaton wameandamana had utawala udom na kuambiwa kwamba bum had ijumaa je litatoka?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wizara ya Elimu na Mafunzo ilitangaza kufuta matokeo ya Wanafunzi wapatao elfu 9 waliofanya Mtihani wa Kuhitimu Elimu ya Msingi mwaka 2011 kwa sababu za udanganyifu.Je,Wizara ilifanya uamuzi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
KIINI CHA TATIZO LA MIGOGORO VYUONI: Tangu kuanza kwa utekelezaji wa sera ya kuchangia elimu ya juu kumekuwepo migogoro mingi inayohusiana na mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu . Ingawa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Zoezi la kuhakiki uwepo wa kuwalipa walimu hewa pamoja na wale ambao hawafanyi kazi linatarajia kuchukua sura mpya pale ambapo walimu wote nchini watapokelea mishahara yao ya mwezi january...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Back
Top Bottom