Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Inasikitisha kuona hapa tz mwanafunzi ananyimwa mkopo wakati serikali hiyohiyo inamgharamia mwanafunzi mmoja TSh 20,525,000/= kwa mwaka hapo nchini msumbiji. Kwa habari za kuaminika nilizozipata...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Wadau naomba kuuliza kama nchini china kuna vyuo vikuu vinavyofundisha degree ya kwanza kwa miaka mitatu na inatambulika? Nauliza kwasababu nimeona vyuo vikuu karibu vyote vya china vinatoa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ninaangalia kipindi cha TBC, kushuka kwa kiwango cha ufaulu tatizo ni nini? wapo Singida huko sijui ni Wilaya gani katika shule za sekondari Changa na Koro, shule ina wanafunzi watatu wa kidato...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau nataka kwenda kusoma nchini china, bachelor of business administration (bba) kwa miaka mitatu kwenye chuo kikuu kinachofundisha program zake kwa kiingereza. Naomba kuuliza kama kuna vyuo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Si kipindi kirefu toka TCU na HESLB kutoa taarifa zao kuhusu MKOPO waliotoa kwa baadhi ya wanafunzi kutokana na vigezo vyao ambavyo vinatutia mashaka sisi tulio kosa na jamii kiujumla.kuna makundi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Maelezo yapo hapa chini naomba msome usome asante. News Information on the 2nd round of applications Tanzania Commission for Universities (TCU) wishes to...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
tukiwa kama chama cha Haki za binadamu tumeungana na LHRC kufuatilia hali tete ya wanafunzi asilimia 30.7 kukosa mikopo↲ Pamoja tunaweza toeni mawazo
0 Reactions
8 Replies
1K Views
kuna mazingra ya rushwa kati ya heslb, tcu dhidi ya vyuo visivyo na umaarufu, ambavyo kwa mfumo huu wa tcu ni vigumu kupata wanafunz hapo ndipo dili zinachezwa, ndio maana m2 ana E E F kapewa chuo...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Wadau mimi ni mmojawapo kati ya wale tuliokua wizara ya elimu kulalamika kuhusu kunyimwa mkopo na heslb. Kwa taarifa mpaka tulivyoondoka pale wizarani saa 12 jioni, bodi ya mikopo ilikiri kua kuna...
4 Reactions
45 Replies
5K Views
Kuna dogo hapa kachaguliwa to parsue BACHELOR OF SCIENCE IN ENVIRONMENTAL ENGENEERING at ARDHI UNIVERSITY. So shida yangu,nataka kujua 1. hii coz inahusika na nini hasa ,2.mtu aliye graduate coz...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
serikali ya Tz imeridhia kushirikiana na cuba ktk elimu ya watu wazima. source: chanel ten
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Na Maggid Mjengwa, TUMESOMA , kuwa wanafunzi wapatao elfu 14,000 wenye sifa za kujiunga na masomo ya elimu ya juu wamekosa sifa za kupata mikopo kutoka bodi hiyo. Hii ni taarifa ya...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
wadau naombeni mnisaidie kujua kama ile tabia ya wakuu wa wilwya ya kuchapa walimu viboko itaendelea ili nijiandae kwa kuvaa nguo ngumu ikiwezekana ngozi kabisa. lakini pia je kitendo cha kuchapa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nataka niende kusoma IT diploma je nitapata wapi chuo kizur na kinachotoa elimu nzuri?naomba msaada
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wana JF. Nina kijana ambaye alipata division two katika mtihani wa form six na amechaguliwa kusoma uchumi ARDHI university. Cha kushanganza kijana huyu kakosa mkopo kwa comment ya "NOT A...
0 Reactions
65 Replies
7K Views
Katibu mkuu wa wizara ya Elimu amewaagiza bodi ya mikopo kupitia upya wale waliokosa mkopo na walopata mkopo ila haki itendeke kwa kila mmojawajo. My take: Wanafunzi zaidi ya 800 inasemekana...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wana~jamvi,kuna dogo hapa kachaguliwa kusoma UDSM,B.A.in Statistics mkopo kapewa 2.83Milioni,sasa naomba anayejua kuhusu haya yafuatayo anijuze ili nijue jinsi ya kumsaidia.1)Siku za...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu,wale wote mlokua na mikopo ktk yale majina ya mwanzo bac frm nw jìhesabuni hamna mkopo,zoezi linarudiwa upya.source,mtu wa karibu na bodi ya mikopo.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Heshima mbele. natumia nafasi hii kuwaasa serikali waachane na siasa kwenye maswala ya elimu.mitihani ya darasa la 7 imekuwa rahisi sana kiasi kwamba hata mtoto wa darasa la 5 akiifanya anaweza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
gharama za course nayoenda kusoma ni mil 1 na laki 3,nimepewa mil 3 laki 9...hizi ni %ngapi?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom