Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ikiwa imebaki siku moja au moja na nusu kwa std 7 kufanya mitihani yao ya kumaliza elimu ya msingi.tumezoea kuona wanafunzi wakifaulu kwa wingi kwenda sec za kata pamoja na wadau mbalimbali...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
bodi ndo vile loan imenitosa bt chuo nimepangiwa Tumaini University Iringa nilikua naomba msaada maana mpaka sasa nikienda ktk post box sioni admission latter hvyo ni mimi tu au pia vipo vyuo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Na0mbeni msaada apa wanajf ku apeal kwa mtu alopata mkopo mdogo ila hana wazaz wote wawili inawezekana? O ni kwa wale walokosa kabisa..
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Tumsifu yesu Kristo, Ninapenda kutoa taarifa ya hali halisi ya Chuo Kikuu cha Bugando. Mwezi wa saba wanafunzi wa Udaktari wa mwaka wa tatu waliandika barua kwa mkuu wa kitivo cha udaktari...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
TAFUTA SHULE BORA KWA AJIRI YA MWANAO Tembelea Schoolbook Classic | Homepage or pofya hapa Wakati wazazi wengi wanapoingiwa na wasiwasi ni vipi watoto wao watapata elimu bora ya kukidhi maisha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari!, leo napenda niwashirikishe kitu kuhusu schoolbook, unaweza kuitembelea na usijue inavyofanya kazi. lakini sasa tumekuletea video tutorials yaani semina kwa video. under schoolbook utility...
0 Reactions
0 Replies
928 Views
Unaweza sasa kuzijua shule nyingi zaidi na wasifu wake kupitia wavuti inayoitwa Schoolbook Classic, ambayo imejitolea kukusanya wasifu wa shule zote dunia na kukupa wewe mtanzania na raia wengine...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi nimepangiwa chuo cha UDOM koz ya nursing ila mkopo hawajanipa na home hawawezi nilipia na vigezo vya mkopo ninavyo nifanyeje,nimekaa home since 2009 kw issue kama hiz?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi ni kijana niliyekosa MKOPO mwaka huu.but CHUO Nimepata ARDHI(B of arts in economics)TATIZO KUBWA NI FEDHA.naombeni MSAADA WENU nifanyaje ili nipate SPONSOR yeyote atakae nisaidie ili...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani naomba mnisaidie hiyo orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo coz sijaiona kwenye tovuti ya tcu!
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Kwa wale vijana walokosa mkopo,bodi wamesema hawana pesa tena,so ndo imekula kwao mazima.source,channel ten.
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Ni vipi ninaweza kupata matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2006 mtandaoni? Natanguliza shukurani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani wana JF, nauliza kama mtu akawa ameandika education materials, mfano kitabu cha mathematics for secondary schools. Procedure zikoje ili kiweze kuwa published at the moment one does not have...
0 Reactions
0 Replies
881 Views
Wadau naombeni mawazo yenu kuhusiana na hii course ya Actuarial science. Ni course iliyoanza kufundishwa mwaka jana hapo Udsm, na je, soko lake la ajira liko vipi?
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani kama inavyofahamika kwamba waalimu wakiume wa sekondari huwa wanauhusiano wa kimapenzi na wanafunzi wao!,UNAFIKIRI NINI USHAURI WAKO KWA WALIMU HAWA NA WALE WATARAJIWA? Maana mi mwenyewe...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau kwa hapa mjini ni review class hipi poa kwa ajili ya board exams,especially module E and F
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kutengeneza tovuti (websites) siyo jambo gumu tena. ikiwa unahitaji kutengeneza tovuti yako binafsi au kuwatengenezea wengine usiwe na presha tena. utahitaji mwezi mmoja tu wa kujifunza nami...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tafadhali naomba mwenye kujua anisaidie hivi walimu wapya ‘III A' wamekwisha pangiwa vituo vya ajira?Naona kwenye website ya wizara ya elimu hakuna nitashukuru
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jaman nikitaka kuappeal ninaenda ofisi za bodi au mtando,manake cjui pa kuanzia wala fomu kama najaza inakuaje hii,please help
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hakika wengi 2lichangia na kufurahia kauli mbiu ya kufanya ELIMU KUWA UWEZO NA SI CHETI,sasa kwanini wengi mnalaumu waliopata dvs3 kupata mkopo na wale wa divs 1 kukosa,TUTAFuTE NJIA YA KUTATUA...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom