Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hebu jamani naombeni msaada nifanyeje? TCU walitoa orodha ya wale ambao hawakuchaguliwa kwa kukosa credits,jina langu halikuwemo kwenye orodha hiyo.cha kushangaza TCU wametoa majina ya...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wanajf mnakumbuka mwaka jana walimu wenye stashahada walichelewa kuajiliwa mpaka 24 jan.mwaka huu.Kutokana na hali inayojionesha kwa sasa kwa wale wa tcu na mikopo, nahisi mambo ya ajira kwa...
0 Reactions
0 Replies
927 Views
Jamani hii bodi ya mikopo inafanya vitu ambavyo havieleweki, tumetoka bodi ya mikopo wametujibu vibaya sana, nitawajuza zaidi watakavyotujibu huku wizarani.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mimi ni tha one nilie kosa MKOPO mwaka huu.but wazaz wameamua kunilipia but wanauwezo wakulipa ADA only.mambo mengine amesema hawawez.je kip mhimu ambacho inatakiwa nikalipe ili...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
It is despicable! We are back to square one. During Nyerere's time our politicians belittled the value of education. We changed phrases from "Kufaulu" to "Kuchaguliwa" to try to belittle...
0 Reactions
1 Replies
963 Views
Ndugu wan JF, Natafuta kitabu cha Hekaya za Abunuwasi; yeyote aliyenacho naomba anijuzu ili nifanye malipo yake. Au kwa msaada unaweza kutia hapa JF kwa pdf. Natanguliza shukrani za dhati
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Mim naona wanafunzi waliokosa mkopo hawajatendewa haki kwan pesa wanazopewa wanafunz watarudisha mbona mabilion mengine yanapotea bure kwa kumnufaisha mtu mmoja au wawil tu,je tanzania...
1 Reactions
41 Replies
5K Views
Sakata lililotikisa sekta ya elimu mkoani kagera mwanzoni mwa mwaka huu limechukua sura nyingine baada ya wafanyakazi 9 kufukuzwa shule. Watu hao wanatuhumiwa kwa ufisadi na kuficha madhambi ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
naomba kwa yeyote anaweza nisaidia kupata hii nondo inaitwa "Global outsourcing" by gervais and barrar 2006. Nipo huku kwetu Tz
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Je? Unahitaji shule yako kufahamika kitaifa na kimataifa. Tembelea schoolbook, inayo jibu. ni rahisi kutumia na bure kabisa. Tembelea Schoolbook Classic | Homepage
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii ndio takwimu iliyopo. Wanafunzi 23,340 sawa na asilimia 70 ya watakaojiunga na vyuo vikuu nchini kwa mwaka wa masomo wa 2011/12 watapata mikopo kutoka Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Kuna best wangu amepangwa chuo cha Tumaini Iringa na TCU.. Ila yupo maeneo ambayo yapo mbali na huduma za kijamii, ningependa anayejua tarehe ya kufungua ni ipi naomba aniambie ili niweze...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Angalia chanel 10,wanahojiwa,
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Waungwana,my young sister kachaguliwa coz inaitwa bachelor in economics and finance kwenye chuo IAA,nimejaribu kuulzia kwa wa2 wanasema hyo coz hapa tanzania ni mpya.kuna yeyote anae weza niambia...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Kuna tetesi nimezipata jana hapa mkoani Iringa kutoka kwa wadau wa jirani kabisa wa chuo kikuu cha Ruaha kilichopo mkoani Iringa ambacho ni branch ya SAUT. Inasemekana kua katika mwaka ujao wa...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Am abt to go crazy, jaman nsaidieni, is there a way ya kuappeal niweze pata mkopo, coz sjapata and i got the priorities
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ngugu wanajamii forum naomba kuuliza kama kunamtu amechaguliwa muhimbili kusomea doctor of medicine na cbg, nauliza kwasababu niliomba kama first choice hawaja nichagua bali wamenipangia nursing...
0 Reactions
20 Replies
10K Views
plz naomba kufahamu,ili mtu awe lecturer ktk university/any other educational institution; 1.first degree yake anatakiwa awe na GPA gani? 2.masters awe na GPA gan? -accoding to TCU criteria...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari zenu wana jf, ningependa kujua kutoka kwa mtu yeyote ambaye ni mfanyakaz wa heslb , ni vigezo vp walivyovi2mia kutoa mikopo, coz naona wadogo zetu wengi wa science especially udaktari, na...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu habari zenyu? Mimi ni miongoni mwa wale applicants wa 2nd round,nimejaribu kucheki kwenye orodha A na B za matokeo waliyotoa bila kuliona jina langu na si mimi tu kwani kuna washkaji...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom