Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Matokeo jaman ya second round lin mnisaidie ndugu
0 Reactions
2 Replies
991 Views
Ndugu zangu wana JF naombeni kwa yeyote anayekifahamu hiki chuo cha Kampala International (KIU) vizuri anijuze jinsi tu kilivyo kuhusu masuala ya elimu na mambo mengine Asanteni sana.
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Toka TCU watoe majina nakusikia wanafunzi wakilalama ikanibidi nifanye utafiti kuna wanafunzi wengi wenye div 3 ambao kwa miaka ya nyuma ila wapate mkopo inabidi wachague UALIMU AMA KWENDA KUSOMEA...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Closest Human Ancestor May Rewrite Steps in Our Evolution - Yahoo! News
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Hii serikal yetu inajikanganya yenyewe,leo naibu wazir wa elimu kwenye kipindi cha MIAKA 50 YA UHURU NA MAENDELEO KTK ELIMU chanel 10 amesema kigezo muhimu cha kupata mkopo kwa wanafunzi wa elimu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi karibuni nimepata taarifa kutoka kituo kimoja cha watoto yatima Magu. Wamekuwa wakiwapeleka watoto wao kusoma Uingereza kwa miaka mitatu sasa, lakini ili waweze kwenda UK wanahitaji barua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Imeripotiwa kuwa mwanafunzi wa kike kutoka shule ya KIBAKWE wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma ameshindwa kufanya mtihani wa VII. Hii ni kutokana na kupewa ujauzito na mwalimu wake mkuu. Mara baada...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nawaombeni mnisaidie, nataka kujua mitihani ya TAHOSA (Tz head of school ass.) inalipiwa shilingi ngapi? Je, kuna tofauti yeyote ya malipo hayo kati ya shule na shule?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
wakuu mimi nilikua nauliza ivi mtu anayesomea degree ya insurance and risk management au mtu anayesomea procurement and logistic management ni yup anaeweza kupata ajira/kazi itakayo m-boost ili...
0 Reactions
0 Replies
983 Views
Habari zenu wakuu, Siku ya Ijumaa ya tarehe 2/9/2011 TCU kwa kushirikiana na HESLB walitoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kiwango cha mikopo...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Nimesikitishwa na kitendo cha waandishi wa habari kuingia na video camera kwenye chumba cha mtihani na kuwapiga picha wanafunzi wakati wakifanya mtihani. Kitendo hiki kinaweza kuwaathiri...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Sijui watawala watatuambia nini kwa hili yaani mwanafunzi wa darasa la 7 anafanya mitihani huku akiwa ameketi chini!! dah hii inasikitisha na hii imetokea kwenye roho ya Tanzania ni jiji la Dar es...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mzee wa shamba ni kitabu cha riwaya kali sana ya kusimumua. Kutoka kwa mwandishi juma kidogo sasa kinapatikana mitaani kwa sh 3000 tu. Kwa wale ambao bahati mbaya kitabu hiki hakijawafikia huko...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Morning wana jamii... jamani naomba kujua ni wanafunzi wangapi wanamaliza darasa la saba leo nchi nzima?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Salaam wakuuu, kitendo cha serikali ya jamhuri ya muungano wa TANZANIA, kupitia waziri mwenye dhamana yani mheshimiwa KAWAMBWA, Kuwatelekeza idadi kubwa ya wadogozetu kwa kutowadhamini mikopo ili...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Nawatakia Mtihani mwema.. Nakumbuka miaka hiyo furaha niliyokuwa naiwazia baada ya kumaliza shule ya msingi. Wishing You All The Best!
0 Reactions
33 Replies
4K Views
TCU wamenipanga udsm, ningependa kujua bei ya hiyo form ya kujiunga na chuo. Naomba sana kama unajua nijuze na mimi ili nijipange.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wana jf naombeni ushauri wenu ,nimechaguliwa chuo kikuu ila sijapata mkopo, what can i do so that i can get loan????
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika toka loans board,ni kwamba,kutokana na malalamiko meng juu jins mikopo ilvotolewa,zoezi la kuwachambua wale wote wenye dv 1 nd 2 afu wamekosa mkopo litarudiwa na...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
please, yeyote mwenye prospectus ya ardhi university naomba aniwekee hapa niweze kui-download, coz website ya ardhi ina kama week hivi inanigomea kufunguka.. natanguliza shukrani..
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom