Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ajira za kitaa zinasumbua ndugu zanguni !!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama umekosa mkopo halafu umepangwa kati ya hvi vyuo IFM,IAA au TIA,nadhani vle vyuo wanafunz wake huwa wanadhaminiwa na wizara ya fedha na uchumi,so ka umepangwa hapo,jaribu kuwasiliana na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
jamani kuna mgogoro wa uongozi na wakufunzi wa chuo cha ustawi wa jamii kijitonyama,mgogoro ulianza siku nyingi mpaka pro Rwegoshora akaondolewa,sasa nauliza wahusika mgogoro huu utaisha lini...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Vijana kwanza nawapongeza kupata udahiri pamoja na mkopo licha ya changamoto zilizopo. Msiopata mkopo poleni sana ila msikate tamaa, mkaripoti kigumu ivyo ivyo kwakuwa kuna nafasi za kukata...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Nimepangwa bachelor of science with eduction n sitaki kuja kufundisha nipeni maujanja hapo....mi naona niunge masters
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Jjamani hawa TCU wameweka amount of loan, bila mchanganuo, naomba mnisaidie zile pesa walizoweka ni ada pekeyake? au ni pamoja na michango mingine? nawasilisha, nisaidieni
0 Reactions
98 Replies
8K Views
Jamn nina kka yangu anataka kumtoa mtto ktk shule ya baraa sec ya hapa arusha anataka kumpeleka longido sec je kwa mnaoifahamu je inafundsha? Naomben msaada 2nataka elimu bora.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Waungwana nina ndugu yangu alifanya 2nd application tangu hawa TCU na HESLB wametoa post dogo hana amani kama nae ana weza kupata mkopo.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Eti waungwana,kuna dogo huku kitaa kapata chuo Mzumbe bt coz haielew elewi,ye alisoma pCB na matokeo yake ni dv 1 pts 9,anaulza ka anaweza kuhama chuo to Sua kupiga veterinary medicine?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
nimesoma malengo ya somo la civics(uraia) kwa shule za sekondari na nimegundua hakuna sababu hata moja ya msingi ya kwanini somo hilo lifundishwe kwa kiingereza.zaidi ya 98% ya mambo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ngugu wanajamii, kama kuna mtu mwenye data kuhusu chuo cha ustawi wa jamii Dsm tafadhali anishushie.nahitaji kujua kuhusu kozi mbalimbali na ada zake. kama kutakuwa na prospectus au website site...
0 Reactions
5 Replies
14K Views
Wana JF, hakika iddi imepita salama. Naanza muongo mpya kwa kujiuliza ni namna gani wahitimu wa shahada za juu ktk chuo cha SUA wanaorodhesaha shahada zao katika CV. Masters prog nyingi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni ktk mtihani wa Islamic Knowledge Source: Daily News THE Northern Pemba region has taken the lead in the final primary schools' results on Islamic knowledge examinations held in the country...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
wakuu naomba msada katika hili;hivi kuna degree ya peace?,manake naona wenzangu na mimi(J makamba) wana shahada hiyo ya kwanza
0 Reactions
0 Replies
799 Views
Wanajamii naombeni mnitajie (website ya Tanzania board of procurement and supplies) kwa wanaoijua tafadhari ASANTENI
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salaam wana JF Huwa najiuliza wingi wa vyuo Tanzania kuanzia certificate had degree ni ishara ya kukua kwa Elimu au ni biashara? Nawakilisha kwenu!!!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana jf ninatatizwa na kiwango cha fedha kilichotolewa na bodi kuna watu hyo fedha inazidi gharama ya koz kwa miaka yote mitatu e.g jamaa yangu kapewa 3,147,500 na gharama ya koz/mwaka...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Kwa mwenye uzoefu au ujuzi hata taarifa yoyote juu ya taratibu ninazopaswa kuzifuata ninapoandika kitabu kitakachotumika kwa rejea ya ufundishiaji mashuleni. Taratibu ni zipi, kwa uandishi wa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
  • Poll Poll
Thank you for your time, one of the schoolbook classic's objectives is to make schools open and social, through web and internet. The main themes here is to create a centralized way of accessing...
0 Reactions
0 Replies
902 Views
The new school profile for one school has been added in schoolbook classic today, you can see the profile through schoolbook classic site here and be first of your friends to see it. Thanks!!!
0 Reactions
0 Replies
845 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…