Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Baada ya ngojangoja ya muda mrefu ss hatimaye majina yametolewa hii leo.Wanafunzi wamepangwa ktk makundi mawili A&B.Kama ckosei ni kundi A tu ndio waliopata mikopo na B wamekosa.Kwa mtazamo wangu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
TCU imeachia mambo mpweto TCU SELECTED APPLICANTS AND LOAN ALLOCATION FOR ACADEMIC YEAR 2011/2012
1 Reactions
0 Replies
10K Views
Wanajamvi naomba mnifahamishe kwa TUICO BEDA ada kiasia cha 3,262500.00 mi hapo natakiwa kulipa kiasi gani? Kwani nimetafuta www.tumaini.ac.tz haina fees structure nawakishalisha kwenu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tme ya vyuo vikuu nchini imetoa majina ya watu waliochaguliwa kujiunga na vyuo, tatizo langu ni ile pesa ya mkopo waliyotoa haina mchanganuo kama ni:- -ada ya mwaka au ni miaka yote? -ni pamoja...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF, kama wewe ni mtumiaji wa gesi nyumbani kwako, fungua hii linki ili ujihabarishe jinsi ya kuepuka kununua mitungi iliyokwisha muda wake ambayo ni hatari kwa usalama wetu. MICHUZI: Gas...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
TCU ilikuwa imekwisha weka majina ya waliochaguliwa vyuoni pamoja na waliopata mkopo na waliokosa mkopo.Lakini ghafla majina hayo ymeondolewa pasipo kuelezwa chochote. Awali tuliokuwa tunaangalia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kmpyuta 21 ‘zadoda’ Sekondari kukosa umeme Send to a friend Tuesday, 30 August 2011 21:24 0diggsdigg Phinias Bashaya, Bukoba KOMPYUTA 21 zilizotolewa na mfadhili katika Shule ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Waungwana, nauliza ivi; walimu wa diploma na degree wanaajiriwa lini na serikali?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Gpa
sorry wadau,<br /> Hivi katika hali ya kawaida,gpa huwa inaongezeka kadri miaka ya kusoma inavyosogea au inapungua kutokana na labda ugumu wa course kadri miaka inavyosogea au inategemea na mtu...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ni kweli necta hawaku-post matokeo ya kidato cha nne mwaka 2006?
0 Reactions
6 Replies
4K Views
I normally meet this word in either American English, spoken or Colloquial English. I need your help on what the word mean and in what situation is it suitable to be used. Thank you
0 Reactions
1 Replies
952 Views
PROMO PROMO PROMO Schoolbook classic is web portal for schools and academic entities. With schoolbook you can easily find different school profiles around the word, together with schools...
0 Reactions
0 Replies
849 Views
Habari wana JF? Kuna jamaa yangu aliapply kazi za uandishi wa habari wa kimataifa (vyombo vya kimataifa kama BBC, CNN, Aljazeera, etc) alipofanya interview (ya kazi) yao walimjibu kuwa tatizo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani wa jf hivi walimu wenye diploma(DSEE) wanaanza na mshiko wa sh. ngapi?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
ndugy wana jf mimi nimesoma elimu ya kibongo na ya kingereza nimeina tofauti kubwa sana kwenye kumjenga mwanafunzi.nyie wakuu muna onaje tubadilushe mfumo au?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau nimekuwa nikitatizwa na uwezo wa watu katika kufaulu mitihani. Kuna watu huwa wanafeli std 7 lakin huja kufaulu form 4, wapo wanaofaulu form 4 na kuja kufeli form 6. Na wengine wanafeli...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
moja ya cfa ya m2 ku2nukiwa mkopo ni kuangalia shule alizosoma mhusika frm primary 2 A level. Sasa kwa cc ambao 2mesoma shule lets say za matawi ya juu na kumbe behind ze scene 2likuwa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…