Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hivi karibuni serikali imeanza mpango wa kutoa vyakula kwa wanafunzi mashuleni lengo ni pamoja na kuwavutia watoto kwenda shule. mpango huu umekuwa ukidhaminiwa na watu binafsi pamoja na mashirika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hv hyo coz ni nzur kwel wajamen au nimshauri aibadilishe?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NDUGU ZANGU, NIMEPOKEA TAARIFA HIZI ZA HUZUNI KUTOKA KWENYE VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI KUHUSU KUWASITISHA KAZI WAHADHIRI HAO. LAKINI NINACHOJIULIZA WAHADHIRI SASA NI WENDAWAZIMU WA KUDAI MAMBO...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hakuna vita isisyo na wahanga, na katika kila ushindi wa kuna walio tolewa kama kafara ili wengi wafaidi. Katika harakati za kupigania vyama vingi wanasiasa nguli na shupavu, kama walivyo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJF wenzangu kuna ule msemo wa "Kizuri kula na nduguyo"kuna site nilipewa kwa wale wenzangu na mie tunaweza kutafuta namna ya kujiendeleza kielimu, kupata funds kwa ajili ya project na NGOs nk...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jeshi la Polisi mkoa wa Dodoma linamshikiria Afisa utumishi wa chuo kikuu cha Dodoma@UDOM, P.LIPILI kwa tuhuma ya kupatikana na madawa yadhaniwayo kuwa ya kulevyo.Chanzo cha habari hii kimeeleza...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ukisoma bachelor of science in chemisty au in biology ni lazima ujekua mwalimu wa hayo masomo husika au unaweza piga ishu nyingine kutokana na hizo course?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu binafsi! Mi mzima naendelea kupumua kwa kweli.jamani hawa tcu wanataka raia tuchukue uamuzi gani? Wanatoa hadi tarehe ya kutoa majibu halafu wanapotezea.sio mambo na ninaungana na...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Wana jf naomba tujiulize swali moja la msingi sana.hawa watu wa tcu wanatoa majina ya wanafunzi waliokosa nafasi then wanaficha ya wale waliopata ambo ni wachache kuna siri gani??? Wanataka hawa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kati ya bachelor of science in microbolgy na bachelor of science in molecular biology and biotechnology ni ipi marketable?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani naomba kuuliza. Chuo cha ustawi kimefutiwa usajiri kwamba kilikuwa hakina sifa ya kutoa shahada. Itakuwaje kwa walio pata shahada kabla ya kufutiwa usajiri huo. TCU tunaomba majibu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wana jf, hawa tcu wanenichanganya jumla. Walitoa list ya wanaotakiwa kufanya second app sikuwemo then jana nikapata info kuna list nyingine kucheki nimo na deadline imepita ila kuna opt ya kutuma...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
WATAHINIWA AMBAO HAWATARUHUSIWA KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE {CSEE}2011 HAWA HAPA, WATAHINIWA WALIOONDOLEWA KWENYE USAJILI WA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2011
0 Reactions
0 Replies
3K Views
ndugu zangu nimepotelewa na vyeti vyangu vyote kwenye daladala ya mwenge karikoo naomba msaada, siku ya jumatano
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Examination Result for: GATCE 2011 GATSCCE 2011 DSEE 2011...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Wana JF, Naamini hili ni jamvi lililojaa watu waelewa, wasomi, na wenye upembuzi yakinifu. Katika kuhitimisha masomo yangu napaswa kufanya research. Nimeamua kuangalia THE CHALLENGES...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Jamani kuna mdogo wangu amemaliza Form six HGL mwaka juzi akapata Division 3 akiwa na principle tatu.Hata hivyo kulingana hali ya maisha kuwa ngumu niliamua kumtafutia kibarua amudu kujikimu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wana jf kwa walio karibu na source yaani NECTA naomba kama matokeo yameshatolewa au lah!
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Ndugu wana jf family naombeni kufahamu kama ECKERNFORDE University kimesajiliwa
0 Reactions
16 Replies
16K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…